< Trešā Mozus 17 >

1 Un Tas Kungs runāja uz Mozu un sacīja:
Yahweh akamwambia Musa,
2 Runā uz Āronu un uz viņa dēliem un uz visiem Israēla bērniem, un saki tiem: šis ir tas vārds, ko Tas Kungs pavēlējis sacīdams:
“Zungumza na Aroni na wanawe, na watu wote wa Israeli. Waambie mambo ambayo ameamru Yahweh:
3 Ikviens no Israēla nama, kas lēģerī nokaus kādu vērsi vai teļu vai kazu, vai ārā aiz lēģera ko nokaus,
Mtu yeyote wa Isreli anayeua fahali au mwana—kondoo au mbuzi kambini, au amuuaye nje ya kambi, ili kumtoa dhabihu—
4 Un to nenesīs priekš saiešanas telts durvīm, upuri upurēt Tam Kungam Tā Kunga dzīvokļa priekšā, tam vīram asinis taps pielīdzinātas, tā kā viņš būtu izlējis asinis; tāpēc tam vīram būs tapt izdeldētam no viņa ļaudīm,
kama hamleti katika ingilio la hema la kukutania ili kumtoa dhabihu kwa Yahweh mbele za hema lake la kukutania, mtu huyo ana hatia ya damu iliyomwagika. Amemwaga damu, na mtu huyo ni sharti akatiliwe mabali kutoka miongoni mwa watu wake.
5 Lai Israēla bērni pienes savus upurus, ko tie uz lauka grib upurēt, lai tos pienes priekš saiešanas telts durvīm pie priestera, un lai tos upurē Tam Kungam par pateikšanas upuriem.
Kusudi la amri hii ni kwamba watu wa Israeli wataleta dhabihu zao kwa Yahweh kwenye ingilio la hema la kukutania, watazileta kwa kuhani ziweze kutolewa kuwa matoleo ya shukrani kwa Yahweh, badala ya kutoa dhabihu hadharani katika shamba.
6 Un priesterim būs slacīt tās asinis uz Tā Kunga altāri priekš saiešanas telts durvīm, un būs iededzināt tos taukus par saldu smaržu Tam Kungam.
Kuhani atainyunyiza damu juu ya madhabahu ya Yahweh kwenye ingilio la hema la kukutania; atayachoma mafuta yake ili kutoa harufu ya kupendeza mbele za Yahweh.
7 Un savus upurus tiem arī vairs nebūs upurēt tiem jodiem(ļauniem gariem), kam pakaļ tie mauko; lai tas viņiem ir par likumu uz viņu pēcnākamiem mūžam.
Ni lazima watu wasitoe tena dhabihu zao kwa sanamu za mbuzi, ambazo kwazo hutenda kama makahaba. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yao katika vizazi vya watu wao vyote.
8 Saki tad viņiem: ikviens no Israēla nama un no svešiniekiem, kas mīt jūsu starpā, kad tas grib upurēt dedzināmu vai kaujamu upuri,
Ni lazima uwaambie, 'Mtu yeyote wa Israeli, au Mgeni yeyote aishiye miongoni mwao, atoweye dhabihu
9 Un to nenesīs priekš saiešanas telts durvīm, to sataisīdams Tam Kungam, šim vīram būs tapt izdeldētam no saviem ļaudīm.
na asiilete kwenye ingilio la hema la kukutania ili kuitoa kwa Yahweh, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.'
10 Un ikviens no Israēla nama un no svešiniekiem, kas mīt jūsu starpā, kas kaut kādas asinis ēd, pret to, kas ēd asinis, Es celšu Savu vaigu un to izdeldēšu no viņa ļaudīm.
Na Mtu yeyote wa Israeli, au yeyote wa Wageni anayeishi miongoni mwao, ambaye hunywa damu; nitamkatilia mbali atoke miongoni mwa watu wake.
11 Jo miesas dvēsele ir asinīs, tādēļ Es jums tās esmu devis uz altāri, lai jūsu dvēseles ar tām top salīdzinātas, jo asinis salīdzina caur dvēseli.
Kwa kuwa uhai wa mnyama yeyote umo katika damu yake. Nimeitoa damu yake kwenu kufanya upatanisho juu ya madhabahu kwa ajili ya uhai wenu, kwa sababu ni damu ndiyo ifanyayo upatanisho, kwa kuwa ni damu ipatanishayo kwa ajili ya uhai
12 Tādēļ Es Israēla bērniem esmu sacījis: nevienam no jums nebūs ēst asinis, arī tam svešiniekam, kas mīt jūsu starpā, nebūs ēst asinis.
Kwa hiyo Niliwaambia Watu wa Israeli kwamba hayupo miongoni mwenu impasaye kula damu, wala yeyote wa Wageni aishiye miongoni mwenu atakaye kula damu.
13 Ikkatram no Israēla bērniem un no svešiniekiem, kas jūsu starpā, kas medī kādu meža zvēru vai putnu, kas ēdams, tam būs izliet viņa asinis un tās apraust ar zemi.
Na yeyote miongoni mwa watu wa Israeli, au yeyote wa Wageni aishiye miongoni mwenu ni lazima aimwage damu ya mnyama na kuifukia hiyo damu kwa mafumbi.
14 Jo ar ikvienas miesas dvēseli ir tā: viņas asinis ir viņas dvēsele, tāpēc es esmu sacījis Israēla bērniem: jums nebūs ēst nekādas miesas asinis, jo ikvienas miesas dvēsele ir viņas asinis; ikkatram, kas to ēd, būs tapt izdeldētam.
Kwa kuwa uhai wa kila kiumbe umo katika damu yake. Ni kwa sababu hii niliwaambia watu wa Israeli, ni lazima msile damu ya kiumbe cho chote, kwa kuwa maisha ya kila kiumbe chenye uhai ni damu yake. Yeyeote ailaye ni lazima akatiliwe mbali.
15 Un kurš no iedzīvotājiem vai svešiniekiem ēd maitu vai saplosītu, tam būs mazgāt savas drēbes un pērties ūdenī un nešķīstam būt līdz vakaram, tad viņš taps šķīsts.
Mtu yeyote alaye mnyama aliyekufa au ambaye amelaruliwa na wanyama pori, ama yule mtu ni mwenyeji wa kuzaliwa au ni mgeni aishiye miongoni mwenu, ni lazima atazifua nguo zake na kujiosha katika maji, naye atakuwa najisi hata jioni. Kisha atakuwa safi.
16 Bet ja viņš nemazgās un nepērs savu miesu, tad viņam būs nest savu noziegumu.
Lakini kama hazifui nguo zake au kuosha mwili wake, ni lazima aichukue hatia yake”.

< Trešā Mozus 17 >