< Ījaba 36 >

1 Un Elihus vēl runāja un sacīja:
Elihu akaendelea kusema:
2 Pagaidi man vēl maķenīt, es tev mācīšu, jo no Dieva puses vēl kas jāsaka.
“Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa ajili ya Mungu.
3 Es meklēšu savu atzīšanu no tālienes un gādāšu savam radītājam taisnību.
Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali, nami nitamhesabia haki Muumba wangu.
4 Jo tiešām, mana valoda nav meli; tavā priekšā ir, kam atzīšanas netrūkst.
Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo; mmoja aliye mkamilifu katika maarifa yuko pamoja na wewe.
5 Redzi, Dievs ir varens un tomēr neatmet, Viņš ir varens gudrības spēkā.
“Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu; ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika shauri lake.
6 Viņš bezdievīgam neliek dzīvot, un bēdīgam nes tiesu.
Hawaachi waovu waendelee kuishi, bali huwapa walioteswa haki yao.
7 Viņš nenovērš savas acis no taisnā, bet pie ķēniņiem uz goda krēsla, tur Viņš tiem liek sēdēt mūžam, ka top paaugstināti.
Yeye haondoi macho yake kwa wenye haki; huwaketisha penye viti vya enzi pamoja na wafalme na kuwatukuza milele.
8 Un kur cietuma ļaudis ir ķēdēs un top turēti bēdu saitēs,
Lakini ikiwa watu wamefungwa kwenye minyororo, wakiwa wameshikiliwa na kamba za mateso,
9 Tur Viņš tiem dara zināmu viņu darbu un viņu pārkāpumus, ka cēlušies lepnībā.
huwaonyesha yale waliyoyatenda, kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.
10 Viņš tiem atdara ausi mācībai, un saka, lai atgriežas no netaisnības.
Huwafanya wao kusikia maonyo, na huwaagiza kutubu uovu wao.
11 Ja tie nu klausa un Viņam kalpo, tad tie pavada savas dienas labumā un savus gadus laimē.
Kama wakitii na kumtumikia, wataishi siku zao zilizobaki katika mafanikio, na miaka yao katika utoshelevu.
12 Un ja tie neklausa, tad tie krīt caur zobenu un mirst bez atzīšanas.
Lakini wasiposikiliza, wataangamia kwa upanga, nao watakufa pasipo maarifa.
13 Bet kam neskaidra sirds, tie kurn, tie nepiesauc, kad Viņš tos saistījis.
“Wasiomcha Mungu moyoni mwao huficha chuki; hata anapowafunga, hawamwombi msaada.
14 Tā tad viņu dvēsele mirst jaunībā, un viņu dzīvība paiet ar mauciniekiem.
Wanakufa wangali vijana, miongoni mwa wanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.
15 Bet bēdīgo Viņš izpestī viņa bēdās, un atver viņa ausis bēdu laikā.
Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao, na kuzungumza nao katika dhiki zao.
16 Tāpat Viņš tevi izraus no bēdu rīkles uz klaju vietu, kur bēdu nav, un tavs galds būs pilns ar treknumu.
“Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki, ili kukuweka mahali palipo na nafasi mbali na kizuizi, hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa vyakula vizuri.
17 Bet ja tu esi pilns bezdievīgas tiesāšanās, tad tiesa un sodība tevi ķers.
Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili ya uovu; hukumu na haki vimekukamata.
18 Lai sirds rūgtums tev jel neskubina zaimot, un tā lielā pārbaudīšana lai tevi nenovērš.
Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri; usipotoshwe kwa fungu kubwa la rushwa.
19 Vai tu ar brēkšanu no bēdām tiksi vaļā, vai cīnīdamies ar visu spēku?
Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi vinaweza kukusaidia usiingie kwenye dhiki?
20 Neilgojies pēc tās nakts, kas noceļ tautas no savas vietas.
Usiutamani usiku uje, ili uwaburute watu mbali na nyumba zao.
21 Sargies, negriezies pie netaisnības, jo tā tev vairāk patīk nekā pacietība.
Jihadhari usigeukie uovu, ambao unaupenda zaidi kuliko mateso.
22 Redzi, Dievs ir augsts savā spēkā; kur ir tāds mācītājs, kā Viņš?
“Mungu ametukuzwa katika nguvu zake. Ni nani aliye mwalimu kama yeye?
23 Kas Viņam raudzīs uz Viņa ceļu, vai kas uz Viņu sacīs: Tu dari netaisnību?
Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake, au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?
24 Piemini, ka arī tu paaugstini Viņa darbu, par ko ļaudis dzied.
Kumbuka kuzitukuza kazi zake, ambazo watu wamezisifu katika wimbo.
25 Visi ļaudis to skatās ar prieku, cilvēks to ierauga no tālienes.
Wanadamu wote wameiona; watu wanaikazia macho kwa mbali.
26 Redzi, Dievs ir augsts un neizmanāms, Viņa gadu pulku nevar izdibināt.
Tazama jinsi Mungu alivyo mkuu, kupita ufahamu wetu! Hesabu ya miaka yake haitafutiki.
27 Viņš savelk ūdens lāsītes, un lietus līst no viņa miglas.
“Yeye huvuta juu matone ya maji, ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito;
28 Tas līst no padebešiem un pil uz daudz cilvēkiem.
mawingu huangusha chini maji yake, nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu.
29 Vai var izprast, kā padebeši izplešas, un kā Viņa dzīvoklis rīb?
Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu, jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake.
30 Redzi, Viņš ģērbjas zibeņu spīdumā un apklājās ar jūras dziļumiem.
Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka, naye huvifunika vilindi vya bahari.
31 Jo tā Viņš soda tautas un dod barības papilnam.
Hivi ndivyo atawalavyo mataifa, na kuwapa chakula kwa wingi.
32 Viņa abējās rokās spīdumi, un Viņš tiem rāda, kur lai sper.
Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi, na kuuagiza kulenga shabaha yake.
33 Pērkona balss sludina Viņu nākam, un ganāmi pulki, ka Viņš tuvu.
Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja; hata mifugo hujulisha kukaribia kwake.

< Ījaba 36 >