< Ījaba 21 >

1 Bet Ījabs atbildēja un sacīja:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 Klausāties, klausāties manu valodu, un tā mani iepriecinājāt.
“Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
3 Paciešaties man runājot, pēc apsmejiet manu valodu.
Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
4 Vai tad es vaidu par cilvēkiem, un kā lai mans prāts nav skumīgs?
Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
5 Skatāties uz mani, tad jūs iztrūcināsities un liksiet roku uz muti.
Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
6 Kad es to pieminu, tad es iztrūkstos, un šaušalas pārņem manu miesu.
Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
7 Kāpēc bezdievīgi paliek dzīvi, top veci, un vareni spēkā?
Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
8 Viņu sēkla pastāv viņu priekšā līdz ar viņiem, un viņu bērni priekš viņu acīm.
Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
9 Viņu namam ir miers bez bailēm, un Dieva rīkste nenāk pār tiem.
Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
10 Viņa vērsis aplec un nepaliek bez augļiem, viņa govs vedās un neizmetās.
Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
11 Savus bērnus tie izlaiž kā avju pulku, un viņu puikas lēkā.
Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
12 Tie ir līksmi ar bungām un koklēm un priecājās ar stabules skaņu.
Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
13 Tie pavada savas dienas labklājībā, un acumirklī tie iegrimst kapā. (Sheol h7585)
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol h7585)
14 Taču tie sacījuši uz Dievu: Nost no mums, jo Tavus ceļus mēs negribam atzīt.
Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
15 Kas ir tas Visuvarenais, ka mēs tam kalpotu, un kāds labums mums atlec, ka to piesauktu?
Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
16 (Bet) redzi, viņu labums nestāv viņu rokā; tādēļ bezdievīgo padoms lai ir tālu nost no manis.
Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
17 Cikkārt tad izdziest bezdievīgo gaišums, un posts tiem uznāk, ka Dievs (tiem) liek valgus Savā dusmībā?
Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
18 Ka tie ir kā rugāji priekš vēja un kā pelus, ko vētra aizrauj.
Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
19 Dievs pataupot viņa nelaimi uz viņa bērniem. Lai Viņš to viņam pašam atmaksā, ka pats to mana.
Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
20 Viņa paša acis lai redz savu postu, un pats lai dzer no tā Visuvarenā bardzības.
Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
21 Jo kādas tam bēdas par savu namu, kad paša vairs nav, kad viņa mēnešu skaits ir beigts.
Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
22 Kas mācītu saprašanu Dievam, kas arī tos augstos tiesā?
Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
23 Viens nomirst pilnā spēkā visā mierā un laimē;
Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
24 Viņa trauki ir pilni piena, un viņa kauli ir tauki no smadzenēm.
Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
25 Cits atkal mirst ar rūgtu dvēseli un nekad nav baudījis labuma.
Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
26 Tie kopā guļ pīšļos, un abus tārpi apklāj.
Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
27 Redzi, es zinu jūsu domas un jūsu gudrību, ar ko jūs mani gribat nomākt.
Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
28 Jo jūs sakāt: kur ir tā varenā nams, un kur to bezdievīgo telts un dzīve?
Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
29 Vai neesat vaicājuši, kas tālus ceļus gājuši; vai nezināt, ko tie stāsta?
Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
30 Ka ļaunais glābjās nelaimes dienā, un bardzības dienā tie top pasargāti.
kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
31 Kas viņam acīs pārmetīs viņa ceļu, kas viņu sodīs, kad tas ko dara?
Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
32 Ar godu viņš top pavadīts kapā, un kaps tam stāv par dzīvu piemiņu.
Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
33 Kapa smiltis ir viņam vieglas, un visi cilvēki iet viņam pakaļ, kā tie priekš viņa bijuši bez skaita.
Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
34 Kā tad jūs mani tik velti iepriecinājat? Jūsu atbildes ir un paliek blēņas.
Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”

< Ījaba 21 >