< Jeremijas 6 >
1 Bēgat, Benjamina bērni, no Jeruzālemes, bazūnējat Tekoā, ceļat ugunszīmi BetKeremē, jo bēdas rādās no ziemeļa puses un liels posts.
“Kimbieni kwa usalama wenu, enyi watu wa Benyamini! Kimbieni kutoka Yerusalemu! Pigeni tarumbeta katika Tekoa! Inueni ishara juu ya Beth-Hakeremu! Kwa kuwa maafa yanaonekana yakitoka kaskazini, na uharibifu wa kutisha.
2 Es izdeldu Ciānas meitu, to jauko un vēlīgo.
Nitamwangamiza Binti Sayuni, aliye mzuri sana na mwororo.
3 Gani uz viņu nāks ar saviem ganāmiem pulkiem, tie uzcels teltis visapkārt ap viņu, tie noganīs ikviens savu vietu.
Wachungaji pamoja na makundi yao watakuja dhidi yake; watapiga mahema yao kumzunguka, kila mmoja akichunga kundi lake mwenyewe.”
4 Taisāties uz karu pret viņu, ceļaties, ejam pašā dienas vidū. Ak vai, (bēdas) mums! Jo vakars metās un ēnas paliek garākas.
“Jiandaeni kwa vita dhidi yake! Inukeni tumshambulie mchana! Lakini, ole wetu, mchana unaisha, na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.
5 Ceļaties, un ejam pašā naktī un izpostīsim viņas jaukos namus.
Kwa hiyo inukeni, tufanye mashambulizi usiku, na kuharibu ngome zake!”
6 Jo tā saka Tas Kungs Cebaot: nocērtiet kokus un uzmetiet valni pret Jeruzālemi; šī ir tā pilsēta, kas taps piemeklēta. Viņas vidū ir tik netaisnība vien.
Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Kateni miti mjenge boma kuzunguka Yerusalemu. Mji huu ni lazima uadhibiwe, umejazwa na uonevu.
7 Kā avots izverd savu ūdeni, tā viņa izverd savu ļaunumu. Varasdarbu un postu tur dzird, kaušanās un plēšanās bez mitēšanās ir manā priekšā.
Kama vile kisima kinavyomwaga maji yake, ndivyo anavyomwaga uovu wake. Ukatili na maangamizi yasikika ndani yake, ugonjwa wake na majeraha yake viko mbele yangu daima.
8 Pieņem mācību, Jeruzāleme, lai Mana dvēsele no tevis nenogriežas, lai Es tevi nedaru par tuksnesi, par zemi bez iedzīvotāja.
Pokea onyo, ee Yerusalemu, la sivyo nitageukia mbali nawe na kuifanya nchi yako kuwa ukiwa, asiweze mtu kuishi ndani yake.”
9 Tā saka Tas Kungs Cebaot: kas atliek no Israēla, to tie otrā reizē nolasīs kā vīna koku. Ņem traukus atkal rokā kā vīna ogu lasītājs.
Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Wao na wayakusanye mabaki ya Israeli kwa uangalifu kama kwenye mzabibu; pitisha mkono wako kwenye matawi tena, kama yeye avunaye zabibu.”
10 Uz ko lai es runāju un dodu liecību, ka tie to dzird? Redzi, viņu ausis ir neapgraizītas, ka tie nevar dzirdēt. Redzi, Tā Kunga vārds tiem ir par apsmieklu, pie tā tiem nav labs prāts.
Niseme na nani na kumpa onyo? Ni nani atakayenisikiliza mimi? Masikio yao yameziba, kwa hiyo hawawezi kusikia. Neno la Bwana ni chukizo kwao, hawalifurahii.
11 Tādēļ es esmu pilns Tā Kunga bardzības, ka nevaru valdīties. Izgāz to arī pār bērniem uz ielām, un pār to jaunekļu draudzi kopā, jo vīri un sievas tiks aizņemti, veci un kas mūžu piedzīvojuši.
Lakini nimejaa ghadhabu ya Bwana, nami siwezi kuizuia. “Wamwagie watoto walioko barabarani, na juu ya vijana waume waliokusanyika; mume na mke watakumbwa pamoja ndani yake, hata nao wazee waliolemewa na miaka.
12 Un viņu nami taps citiem līdz ar tīrumiem un sievām; jo Es izstiepšu Savu roku pret tās zemes iedzīvotājiem, saka Tas Kungs.
Nyumba zao zitapewa watu wengine, pamoja na mashamba yao na wake zao, nitakapounyoosha mkono wangu dhidi ya wale waishio katika nchi,” asema Bwana.
13 Jo visi ir mantas kārīgi, tā mazi kā lieli; tā pravietis kā priesteris, visi dzen viltību.
“Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkubwa kabisa, wote wana tamaa ya kupata faida zaidi; manabii na makuhani wanafanana, wote wanafanya udanganyifu.
14 Un tie dziedina Manas tautas vainu kā par nieku, sacīdami: miers, miers! Kur tomēr miera nav.
Wanafunga majeraha ya watu wangu bila uangalifu. Wanasema, ‘Amani, amani,’ wakati hakuna amani.
15 Tie krituši kaunā, ka darījuši negantību. Bet tie nemaz nekaunas un neprot kauna. Tāpēc tie kritīs starp tiem kritušiem; kad es tos piemeklēšu, tad tiem būs krist, saka Tas Kungs.
Je, wanaona aibu kwa ajili ya tabia yao inayochukiza mno? Hapana, hawana aibu hata kidogo; hawajui hata kuona haya. Kwa hiyo wataanguka miongoni mwa hao walioanguka, watashushwa chini nitakapowaadhibu,” asema Bwana.
16 Tā saka Tas Kungs: stājaties uz ceļiem un raugāt un vaicājiet pēc tiem senajiem ceļiem, kurš tas labais ceļš, un staigājiet pa to, tad jūs atradīsiet dusu savai dvēselei. Bet tie saka: mēs negribam staigāt.
Hivi ndivyo asemavyo Bwana: “Simama kwenye njia panda utazame, ulizia mapito ya zamani, ulizia wapi ilipo njia nzuri, uifuate hiyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu. Lakini ninyi mlisema, ‘Hatutaipita hiyo.’
17 Es arī esmu iecēlis sargus pār jums, klausāties uz trumetes skaņu. Bet tie saka: mēs negribam klausīties.
Niliweka walinzi juu yenu na kusema, ‘Sikieni sauti ya tarumbeta!’ Lakini mkasema, ‘Hatutasikiliza.’
18 Tāpēc klausāties, tautas, un ņem vērā, draudze, kas viņu starpā notiek.
Kwa hiyo sikilizeni, enyi mataifa, angalieni, enyi mashahidi, lile litakalowatokea.
19 Klausies, zeme! Redzi, Es vedīšu ļaunumu pār šiem ļaudīm, viņu padomu augļus, jo tie neklausās uz Manu vārdu, un Manu bauslību tie atmet.
Sikia, ee nchi: Ninaleta maafa juu ya watu hawa, matunda ya mipango yao, kwa sababu hawakusikiliza maneno yangu na wameikataa sheria yangu.
20 Par ko tad Man tas vīraks, kas nāk no Sabas, un tās labās niedres no tālās zemes? Jūsu dedzināmie upuri Man nepatīk, un jūsu kaujamie upuri Man nemīlami.
Unanifaa nini uvumba kutoka Sheba, au udi wa harufu nzuri kutoka nchi ya mbali? Sadaka zako za kuteketezwa hazikubaliki, dhabihu zako hazinifurahishi mimi.”
21 Tādēļ Tas Kungs tā saka: redzi, Es šiem ļaudīm likšu piedauzekļus, un tēvi un bērni kopā pie tiem piedauzīsies, kaimiņš ar kaimiņu ies bojā.
Kwa hiyo hivi ndivyo asemavyo Bwana: “Nitaweka vikwazo mbele ya watu hawa. Baba na wana wao watajikwaa juu yake, majirani na marafiki wataangamia.”
22 Tā saka Tas Kungs: redzi, tauta nāk no ziemeļa zemes, un liela tauta celsies no pasaules malām;
Hivi ndivyo asemavyo Bwana: “Tazama, jeshi linakuja kutoka nchi ya kaskazini, taifa kubwa linaamshwa kutoka miisho ya dunia.
23 Tā nes stopus un šķēpus, tā ir briesmīga un nežēlīga, viņu balss kauc kā jūra, un tie jāj uz zirgiem; tie ir apbruņoti kā karavīri pret tevi, Ciānas meita.
Wamejifunga pinde na mkuki, ni wakatili na hawana huruma. Wanatoa sauti kama bahari inayonguruma wanapoendesha farasi zao. Wanakuja kama watu waliojipanga tayari kwa vita ili kukushambulia, ee Binti Sayuni.”
24 Kad mēs par viņiem baumas dzirdējām, tad mūsu rokas nogura, bailība mums uzbruka un sāpes kā dzemdētājai.
Tumesikia taarifa zao, nayo mikono yetu imelegea. Uchungu umetushika, maumivu kama ya mwanamke katika utungu wa kuzaa.
25 Neizejat laukā un nestaigājat pa ceļu, jo ienaidnieka zobens ir visapkārt par iztrūcināšanu.
Usitoke kwenda mashambani au kutembea barabarani, kwa kuwa adui ana upanga, na kuna vitisho kila upande.
26 Ak, mana tauta, apjoz maisu un nometies pelnos, žēlojies kā par vienīgo dēlu, bēdājies gauži, jo postītājs nāk pār mums piepeši.
Enyi watu wangu, vaeni magunia mjivingirishe kwenye majivu, ombolezeni kwa kilio cha uchungu kama amliliaye mwana pekee, kwa maana ghafula mharabu atatujia.
27 Es tevi esmu iecēlis par pārbaudītāju starp Maniem ļaudīm kā stipru pili, ka tev viņu ceļu būs atzīt un pārbaudīt.
“Nimekufanya wewe kuwa kitu cha kujaribu chuma, nao watu wangu kama mawe yenye madini, ili upate kuzijua na kuzijaribu njia zao.
28 Tie visi ir tie lielākie atkāpēji un staigā viltībā, tie ir varš un dzelzs, tie visi ir samaitātāji.
Wote ni waasi sugu, wakienda huku na huko kusengenya. Wao ni shaba na chuma, wote wanatenda upotovu.
29 Plēšas ir sadegušas, no viņu uguns nāk tikai svins, kausētājs velti kausējis, jo sārņi nav atšķirti.
Mivuo inavuma kwa nguvu, kinachoungua kwa huo moto ni risasi, lakini pamoja na kusafisha kote huku ni bure; waovu hawaondolewi.
30 Tie top nosaukti par atmestu sudrabu, jo Tas Kungs tos ir atmetis.
Wanaitwa fedha iliyokataliwa, kwa sababu Bwana amewakataa.”