< Jeremijas 47 >

1 Šis ir tas vārds, kas notika uz pravieti Jeremiju pret Fīlistiem, pirms Faraons sakāva Gacu.
Hili ndilo neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu Wafilisti, kabla Farao hajaishambulia Gaza:
2 Tā saka Tas Kungs: redzi, ūdens celsies no ziemeļiem un plūdīs un pārplūdīs zemi un visu viņas pilnumu, pilsētas, un viņas iedzīvotājus; un tie cilvēki brēks, un visi zemes iedzīvotāji kauks.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Tazama jinsi maji yanavyoinuka huko kaskazini, yatakuwa mafuriko yenye nguvu sana. Yataifurikia nchi na vitu vyote vilivyomo ndani yake, miji na wale waishio ndani yake. Watu watapiga kelele; wote waishio katika nchi wataomboleza
3 No skrejošu zirgu varenā trokšņa, no viņu ratu rībēšanas un no viņu riteņu rūkšanas tēvi neraudzīsies atpakaļ pēc bērniem, jo rokas būs nogurušas,
kwa sauti ya kwato za farasi waendao mbio, kwa sauti ya magari ya adui na mngurumo wa magurudumu yake. Baba hawatageuka kuwasaidia watoto wao, mikono yao italegea.
4 Tās dienas dēļ kas nāk, postīt visus Fīlistus un izdeldēt Tiru un Sidonu līdz ar tiem citiem palīgiem; jo Tas Kungs izpostīs Fīlistus, kas atlikušies no Kaftora salas.
Kwa maana siku imewadia kuwaangamiza Wafilisti wote na kuwakatilia mbali walionusurika wote ambao wangeweza kusaidia Tiro na Sidoni. Bwana anakaribia kuwaangamiza Wafilisti, mabaki toka pwani za Kaftori.
5 Kailums nāk pār Gacu, Askalona izdeldēta, tas atlikums viņas ielejā. Cik ilgi tu pats gribi graizīties?
Gaza atanyoa kichwa chake katika kuomboleza, Ashkeloni atanyamazishwa. Enyi mabaki kwenye tambarare, mtajikatakata wenyewe mpaka lini?
6 Ak vai, Tā Kunga zobens! Cik ilgi tu nerimsi? Lien jel savās makstīs, dusi un esi klusu.
“Mnalia, ‘Aa, upanga wa Bwana, utaendelea mpaka lini ndipo upumzike? Rudi ndani ya ala yako; acha na utulie.’
7 Bet kā tam rimt? Jo Tas Kungs tam pavēlējis pret Askalonu un pret jūrmalu; uz turieni Viņš to sūtījis.
Lakini upanga utatuliaje wakati Bwana ameuamuru, wakati ameuagiza kuishambulia Ashkeloni pamoja na pwani yake?”

< Jeremijas 47 >