< Jeremijas 26 >
1 Jojaķima, Josijas dēla, Jūda ķēniņa, valdīšanas iesākumā šis vārds no Tā Kunga notika sacīdams:
Mwanzoni mwa utawala wake Yehoyakimu mwana wa Yosia, neno likaja kutoka kwa Yeremia, likisema,
2 Tā saka Tas Kungs: stājies Tā Kunga nama pagalmā, un runā uz visām Jūda pilsētām, kas nāk pielūgt Tā Kunga namā, visus vārdus, ko Es tev esmu pavēlējis uz tiem runāt, neatrauj ne vārda.
“Yahwe anasema hivi: Simama katika uwanja wa nyumba yangu na sema kuhusu miji yote ya Yuda ambao huja kuabudu katika nyumba yangu. Tangaza maneno yote niliyokuamuru kuyasema kwao. Usipunguze neno lolote!
3 Varbūt tie klausīs un atgriezīsies ikviens no sava niknā ceļa, tad Man arī būs žēl tā ļaunuma, ko Es tiem domāju darīt viņu darbu ļaunuma dēļ.
Labda watasikiliza, kwamba kila mtu ataziacha njia zake mbaya, ili nighairi majanga ninayokusudia kuyaleta juu yao kwa sababu ya uovu wa matendo yao.
4 Saki tad uz tiem: tā saka Tas Kungs: ja jūs Man neklausīsiet un nestaigāsiet Manā bauslībā, ko Es jums esmu devis,
Kwa hiyo lazima useme kwao, 'Yahwe anasema hivi: Kama hamtanisikiliza ili mtembee katika sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu—
5 Ka jūs klausiet Manu kalpu, to praviešu, vārdiem, ko Es vienmēr pie jums sūtu vienā sūtīšanā, kam jūs taču neesat klausījuši,
kama hamsikilizi maneno ya watumishi wangu manabii ambao naendelea kuwatuma kwenu—lakini hamjasikiliza! —
6 Tad Es šo namu darīšu tā kā Šīlo, un šo pilsētu Es likšu par lāstu visām zemes tautām.
kisha nitaifanya nyumba hii kuwa kama Shilo; nitaifanya nyumba hii kuwa laana katika macho ya mataifa yote juu ya dunia.
7 Un priesteri un pravieši un visi ļaudis dzirdēja Jeremiju šos vārdus runājam Dieva namā.
Makuhani, manabii, na watu wote wakamsikia Yeremia akitangaza maneno haya katika nyumba ya Yahwe.
8 Kad Jeremija bija pabeidzis visu runāt, ko Tas Kungs bija pavēlējis runāt uz visiem ļaudīm, tad priesteri un pravieši un visi ļaudis viņu sagrāba un sacīja: tiešām, mirt tev jāmirst.
Kwa hiyo ikatokea kwamba Yeremia alipomaliza kutangaza aliyokuwa Yahwe alimwwamuru kuyasema kwa watu wote, makuhani, manabii, na watu wote wakamsimamisha na kusema, “Hakika utakufa!
9 Kā tu drīksti Tā Kunga Vārdā sludināt un sacīt: šis nams būs tā kā Šīlo, šī pilsēta būs postā bez iedzīvotāja! Un visi ļaudis sapulcējās pret Jeremiju Tā Kunga namā.
Kwa nini umetabiri katika jina la Yahwe na kusema kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa, pasipo wakaaji?” Kwa maana watu wote wameunda kundi dhidi ya nyumba ya Yeremia.
10 Kad nu Jūda lielkungi to dzirdēja, tad tie nogāja no ķēniņa nama uz Tā Kunga namu un apsēdās priekš Tā Kunga jauno vārtu durvīm.
Kisha wakuu wa Yuda wakasikia maneno haya na wakapanda kutoka nyumba ya mfalme kwenda kwenye nyumba ya Yahwe. Wakakaa katika njia ya lango katika Lango Jipya la nyumba ya Yahwe.
11 Tad tie priesteri un tie pravieši runāja uz tiem lielkungiem un uz visiem ļaudīm un sacīja: šis vīrs ir nāvi pelnījis, jo viņš pret šo pilsētu ir sludinājis, kā jūs savām ausīm dzirdējuši.
Makuhani na manabii wakasema kwa wakuu wa Yuda na kwa watu wote. Wakasema, “Ni haki kwa mtu huyu kufa, kwa maana ametabiri juu ya mji huu, kama mlivyosikia kwa masikio yenu!”
12 Bet Jeremija runāja uz visiem lielkungiem un uz visiem ļaudīm un sacīja: Tas Kungs mani sūtījis, sludināt pret šo namu un pret šo pilsētu visus vārdus, ko jūs esat dzirdējuši.
Kwa hiyo Yeremia akasema kwa wakuu wote na watu wote, “Yeremia amenituma kutabiri juu ya nyumb hii na mji wake, kusema maneno yote ambayo mmeyasikia.
13 Nu tad, griežaties uz labiem ceļiem un pie labiem darbiem, un paklausiet Tā Kunga, sava Dieva, balsij, tad Tam Kungam būs žēl tā ļaunuma, ko Viņš pret jums runājis.
Kwa hiyo sasa, imarisheni njia zenu na matendo yenu, na sikilizeni sauti ya Yahwe Mungu wenu kwamba ataghairi kuhusu janga ambalo ametangaza dhidi yenu.
14 Bet es, redzi, es esmu jūsu rokās, dariet man, kā jūsu acīs labi un pareizi!
Mimi mwenyewe—niangalieni! —niko mikononi mwenu. Nitendeeni yaliyo mema na sahihi katika macho yenu.
15 Bet tomēr ziniet, kad jūs mani nokausiet, tad jūs nenoziedzīgas asinis krāsiet uz sevi un uz šo pilsētu un uz viņas iedzīvotājiem, jo Tas Kungs mani patiesi pie jums sūtījis, visus šos vārdus runāt jūsu ausīs.
Lakini kwa hakika lazima mjue kwamba kama mtaniua mimi, basi mnaiweka damu isiyo na hatia juu yenu wenyewe na juu ya mji huu na wakaaji wake, kwa maana Yahwe amenituma kweli kwenu ili nitangaze maneno yote kwa ajili ya masikio yenu.”
16 Tad tie lielkungi un visi ļaudis sacīja uz tiem priesteriem un uz tiem praviešiem: pie šā vīra nav nāves vainas, jo viņš uz mums runājis Tā Kunga, mūsu Dieva, vārdā.
Kisha wakuu na watu wote wakasema kwa makuhani na manabii, “Si vyema kwa mtu huyu kufa, kwa maana ametangaza mambo haya kwetu katika jina la Yahwe Mungu wetu.”
17 Arī citi vīri no zemes vecajiem cēlās un runāja uz visu ļaužu draudzi un sacīja:
Kisha watu kutoka wazee wa nchi wakasimama na kusema kwa kusanyiko lote la watu.
18 Miha no Marezas ir sludinājis Hizkijas, Jūda ķēniņa dienās, un uz visiem Jūda ļaudīm runājis un sacījis: tā saka Tas Kungs Cebaot: Ciāna taps arta kā tīrums, un Jeruzāleme būs par akmeņu kopu, un šā nama kalns taps par meža kalnu.
Wakasema, “Mikaya Mmorashi alikuwa akitabiri katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda. Alinena kwa watu wote wa Yuda na kusema, 'Yahwe wa majeshi anasema hivi: Sayuni utalimwa kama shamba, Yerusalemu utakuwa lundo la magofu, na mlima wa hekalu utakuwa kilima kilichoota vichaka.' Hezekia mfalme wa Yuda na Yunda wote walimuua?
19 Vai Hizkija, Jūda ķēniņš, un visa Jūda cilts viņu nokāvuši? Vai viņš nebijās To Kungu un nepielūdza Tā Kunga priekšā. Tad Tam Kungam bija žēl tā ļaunuma, ko Viņš pret tiem bija runājis. Un vai mēs lai darām lielu ļaunumu pret savām dvēselēm?
Hakumwogopa Yahwe na kuutaka radhi uso wa Yahwe ili kwamba Yahwe angeghairi kuhusu janga ambalo alilitangaza kwao? Kwa hiyo tutafanya maovu makubwa zaidi juu ya maisha yetu sisi wenyewe?”
20 Un atkal viens vīrs bija sludinājis Tā Kunga Vārdā, Ūrija, Šemajas dēls, no KiriatIearimas, un tas sludināja pret šo pilsētu un šo zemi ar tādiem pat vārdiem kā Jeremija.
Wakati huo huo palikuwa na mtu mwingine ambaye alitabiri katika jina la Yahwe—Uria mwan wa Shemaya kutoka Kiriath Yearimu—pia alitabiri juu ya mji na nchi hii, akikubaliana na maneno yote ya Yeremia.
21 Kad nu ķēniņš Jojaķims un visi viņa varenie un visi lielkungi viņa vārdus dzirdēja, tad ķēniņš viņu meklēja nokaut. Bet Ūrija to dzirdējis bijās un bēga un nāca uz Ēģiptes zemi.
Lakini Mfalme Yohoyakimu na wanajeshi wake wote na watumishi wake wote waliposikia maneno yake, kisha mfalme alijaribu kumuua, lakini Uria alisikia na kuogopa, kwa hiyo alikimbia na akaenda Misiri
22 Bet ķēniņš Jojaķims sūtīja vīrus uz Ēģiptes zemi, Elnatanu, Akbora dēlu, un citus vīrus uz Ēģipti.
Kisha mfalme Yehoyakimu alituma watu kwenda Misiri—Elnathani mwana wa Achbori na watu kwenda Misiri kumfuata Uria.
23 Tie izveda Ūriju no Ēģiptes un atveda pie ķēniņa Jojaķima, un tas viņu nokāva ar zobenu, un meta viņa miesas zemu ļaužu kapos.
Wakamtoa Uria nje kutoka Misiri na kumleta kwa Mfalme Yehoyakimu. Kisha Yehoyakimu akamuua kwa upanga na kumpeleka nje kwenye makaburi ya watu wa kawaida.
24 Bet Aīkama, Safana dēla, roka bija ar Jeremiju, ka viņš tiem ļaudīm netapa rokā dots, viņu nokaut.
Lakini mkno wa Ahikamu mwana wa Shapni alikuwa pamoja na Yeremia, hivyo hakutiwa mikonono mwa watu ili auawe.