< Jeremijas 26 >
1 Jojaķima, Josijas dēla, Jūda ķēniņa, valdīšanas iesākumā šis vārds no Tā Kunga notika sacīdams:
Mwanzoni mwa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, neno hili lilikuja kutoka kwa Bwana:
2 Tā saka Tas Kungs: stājies Tā Kunga nama pagalmā, un runā uz visām Jūda pilsētām, kas nāk pielūgt Tā Kunga namā, visus vārdus, ko Es tev esmu pavēlējis uz tiem runāt, neatrauj ne vārda.
“Hili ndilo Bwana asemalo: Simama katika ua wa nyumba ya Bwana na useme na watu wote wa miji ya Yuda wanaokuja kuabudu katika nyumba ya Bwana. Waambie kila kitu nitakachokuamuru, usipunguze neno.
3 Varbūt tie klausīs un atgriezīsies ikviens no sava niknā ceļa, tad Man arī būs žēl tā ļaunuma, ko Es tiem domāju darīt viņu darbu ļaunuma dēļ.
Huenda watasikiliza, na kila mmoja akageuka kutoka njia yake mbaya. Kisha nitawahurumia na kuacha kuwaletea maafa niliyokuwa ninapanga kwa sababu ya maovu waliyofanya.
4 Saki tad uz tiem: tā saka Tas Kungs: ja jūs Man neklausīsiet un nestaigāsiet Manā bauslībā, ko Es jums esmu devis,
Waambie, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Ikiwa hamtanisikiliza na kuifuata sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu,
5 Ka jūs klausiet Manu kalpu, to praviešu, vārdiem, ko Es vienmēr pie jums sūtu vienā sūtīšanā, kam jūs taču neesat klausījuši,
nanyi ikiwa hamtayasikiliza maneno ya watumishi wangu manabii, ambao nimewatuma kwenu tena na tena (ijapokuwa hamkuwasikiliza),
6 Tad Es šo namu darīšu tā kā Šīlo, un šo pilsētu Es likšu par lāstu visām zemes tautām.
ndipo nitaifanya nyumba hii kama Shilo na mji huu kuwa kitu cha kulaaniwa na mataifa yote ya dunia.’”
7 Un priesteri un pravieši un visi ļaudis dzirdēja Jeremiju šos vārdus runājam Dieva namā.
Makuhani, manabii na watu wote wakamsikia Yeremia akiyasema maneno haya ndani ya nyumba ya Bwana.
8 Kad Jeremija bija pabeidzis visu runāt, ko Tas Kungs bija pavēlējis runāt uz visiem ļaudīm, tad priesteri un pravieši un visi ļaudis viņu sagrāba un sacīja: tiešām, mirt tev jāmirst.
Lakini mara tu Yeremia alipomaliza kuwaambia watu kila kitu Bwana alichomwamuru kukisema, basi makuhani, manabii na watu wote walimkamata wakisema, “Ni lazima ufe!
9 Kā tu drīksti Tā Kunga Vārdā sludināt un sacīt: šis nams būs tā kā Šīlo, šī pilsēta būs postā bez iedzīvotāja! Un visi ļaudis sapulcējās pret Jeremiju Tā Kunga namā.
Kwa nini unatoa unabii katika jina la Bwana kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa na kuachwa tupu?” Nao watu wote wakamkusanyikia na kumzunguka Yeremia ndani ya nyumba ya Bwana.
10 Kad nu Jūda lielkungi to dzirdēja, tad tie nogāja no ķēniņa nama uz Tā Kunga namu un apsēdās priekš Tā Kunga jauno vārtu durvīm.
Maafisa wa Yuda waliposikia kuhusu mambo haya, wakapanda kutoka jumba la kifalme, wakaenda katika nyumba ya Bwana na kushika nafasi zao kwenye ingilio la Lango Jipya la nyumba ya Bwana.
11 Tad tie priesteri un tie pravieši runāja uz tiem lielkungiem un uz visiem ļaudīm un sacīja: šis vīrs ir nāvi pelnījis, jo viņš pret šo pilsētu ir sludinājis, kā jūs savām ausīm dzirdējuši.
Kisha makuhani na manabii wakawaambia maafisa pamoja na watu wote, “Mtu huyu anastahili ahukumiwe kifo kwa sababu ametoa unabii mbaya dhidi ya mji huu. Mmesikia kwa masikio yenu wenyewe!”
12 Bet Jeremija runāja uz visiem lielkungiem un uz visiem ļaudīm un sacīja: Tas Kungs mani sūtījis, sludināt pret šo namu un pret šo pilsētu visus vārdus, ko jūs esat dzirdējuši.
Kisha Yeremia akawaambia maafisa wote na watu wote: “Bwana amenituma kutoa unabii dhidi ya nyumba hii na mji huu mambo yote mliyoyasikia.
13 Nu tad, griežaties uz labiem ceļiem un pie labiem darbiem, un paklausiet Tā Kunga, sava Dieva, balsij, tad Tam Kungam būs žēl tā ļaunuma, ko Viņš pret jums runājis.
Sasa tengenezeni njia zenu na matendo yenu, na kumtii Bwana Mungu wenu. Ndipo Bwana atawahurumia na kuacha kuleta maafa aliyokuwa ameyatamka dhidi yenu.
14 Bet es, redzi, es esmu jūsu rokās, dariet man, kā jūsu acīs labi un pareizi!
Lakini kwa habari yangu mimi, niko mikononi mwenu, nifanyieni lolote mnaloona kuwa ni jema na la haki.
15 Bet tomēr ziniet, kad jūs mani nokausiet, tad jūs nenoziedzīgas asinis krāsiet uz sevi un uz šo pilsētu un uz viņas iedzīvotājiem, jo Tas Kungs mani patiesi pie jums sūtījis, visus šos vārdus runāt jūsu ausīs.
Hata hivyo, jueni kwa hakika, ikiwa mtaniua, mtakuwa mmejipatia dhambi kwa damu isiyo na hatia juu yenu wenyewe, na juu ya mji huu na wote wanaoishi ndani yake, kwa maana ni kweli Bwana amenituma kwenu ili niseme maneno haya yote masikioni mwenu.”
16 Tad tie lielkungi un visi ļaudis sacīja uz tiem priesteriem un uz tiem praviešiem: pie šā vīra nav nāves vainas, jo viņš uz mums runājis Tā Kunga, mūsu Dieva, vārdā.
Kisha maafisa na watu wote wakawaambia makuhani na manabii, “Mtu huyu asihukumiwe kifo! Amesema nasi katika jina la Bwana, Mungu wetu.”
17 Arī citi vīri no zemes vecajiem cēlās un runāja uz visu ļaužu draudzi un sacīja:
Baadhi ya wazee wa nchi wakasogea mbele, wakaliambia kusanyiko lote la watu,
18 Miha no Marezas ir sludinājis Hizkijas, Jūda ķēniņa dienās, un uz visiem Jūda ļaudīm runājis un sacījis: tā saka Tas Kungs Cebaot: Ciāna taps arta kā tīrums, un Jeruzāleme būs par akmeņu kopu, un šā nama kalns taps par meža kalnu.
“Mika Mmoreshethi alitoa unabii katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda. Akawaambia watu wote wa Yuda, ‘Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “‘Sayuni italimwa kama shamba, Yerusalemu itakuwa lundo la kokoto, na kilima cha Hekalu kitakuwa kichuguu kilichofunikwa na vichaka.’
19 Vai Hizkija, Jūda ķēniņš, un visa Jūda cilts viņu nokāvuši? Vai viņš nebijās To Kungu un nepielūdza Tā Kunga priekšā. Tad Tam Kungam bija žēl tā ļaunuma, ko Viņš pret tiem bija runājis. Un vai mēs lai darām lielu ļaunumu pret savām dvēselēm?
Je, Hezekia mfalme wa Yuda au mtu mwingine yeyote katika Yuda alimhukumu Mika kufa? Je, Hezekia hakumcha Bwana na kuhitaji msaada wake? Je, Bwana hakuwahurumia na akaacha kuleta maafa aliyokuwa ametamka dhidi yao? Tunakaribia sana kujiletea maangamizo ya kutisha sisi wenyewe!”
20 Un atkal viens vīrs bija sludinājis Tā Kunga Vārdā, Ūrija, Šemajas dēls, no KiriatIearimas, un tas sludināja pret šo pilsētu un šo zemi ar tādiem pat vārdiem kā Jeremija.
(Wakati huu, Uria mwana wa Shemaya kutoka mji wa Kiriath-Yearimu alikuwa mtu mwingine aliyetoa unabii kwa jina la Bwana. Alitoa unabii juu ya mambo yaliyofanana na haya dhidi ya mji huu na nchi hii kama alivyofanya Yeremia.
21 Kad nu ķēniņš Jojaķims un visi viņa varenie un visi lielkungi viņa vārdus dzirdēja, tad ķēniņš viņu meklēja nokaut. Bet Ūrija to dzirdējis bijās un bēga un nāca uz Ēģiptes zemi.
Mfalme Yehoyakimu na wakuu wake wote na maafisa waliposikia maneno yake, mfalme alitafuta kumuua. Lakini Uria alipata habari, na kwa kuogopa akakimbilia Misri.
22 Bet ķēniņš Jojaķims sūtīja vīrus uz Ēģiptes zemi, Elnatanu, Akbora dēlu, un citus vīrus uz Ēģipti.
Hata hivyo, Mfalme Yehoyakimu alimtuma Elnathani mwana wa Akbori huko Misri, pamoja na watu wengine ili kwenda kumkamata Uria.
23 Tie izveda Ūriju no Ēģiptes un atveda pie ķēniņa Jojaķima, un tas viņu nokāva ar zobenu, un meta viņa miesas zemu ļaužu kapos.
Wakamrudisha Uria kutoka Misri na kumpeleka kwa Mfalme Yehoyakimu, ambaye alimuua kwa upanga, na mwili wake kutupwa kwenye eneo la makaburi ya watu wasio na cheo.)
24 Bet Aīkama, Safana dēla, roka bija ar Jeremiju, ka viņš tiem ļaudīm netapa rokā dots, viņu nokaut.
Zaidi ya hayo, Ahikamu mwana wa Shafani akamuunga mkono Yeremia, kwa hiyo hakutiwa tena mikononi mwa watu ili auawe.