< Jesajas 65 >

1 Es topu meklēts no tiem, kas pēc Manis nevaicāja, Es topu atrasts no tiem, kas Mani nemeklēja. Es esmu sacījis uz tautu, kas Manu vārdu nepiesauca: redzi, še Es esmu, redzi, še Es esmu.
Nilikuwa tayari kuchaguliwa na wale ambao hawakuniomba; Nilikuwa tayari kupatikana kwa wale ambao hawakunitafuta. Nilisema, ''Niko hapa!' kwa taifa ambalo halikuita jina langu.
2 Es izplešu Savas rokas cauru dienu uz pārgalvīgiem ļaudīm, kas uz nelaba ceļa staigā pēc savām pašu domām,
Nimetawanya mikono yangu siku zote kuwasumbua watu wangu, wanao tembea katika njia isiyopasa, wanaotembea kwa kufuata mawazo yao wenyewe na mipango yao.
3 Uz ļaudīm, kas vienmēr Mani kaitina, kas Manā priekšā upurē dārzos un kvēpina uz ķieģeļiem,
Kuna watu wanoendelea kunipinga mimi, wanatoa sadaka zao katika bustani, na kuchoma ubani juu ya matofali.
4 Kas sēž pie kapenēm un kapu alās paliek pa naktīm un ēd cūku gaļu, un negantas sulas ir viņu traukos.
Wamekaa miongoni mwa makaburi na kuangalia usiku kucha, na hula nyama ya nguruwe na mchuzi mchafu wa nyama katika vyombo vyao.
5 Kas saka: paliec, nenāc man klāt, jo es esmu svēts priekš tevis. Šie būs par dūmiem Manā dusmībā, par uguni, kas deg cauru dienu.
Wanasema, 'Simama mbali, usisogee karibu na mimi, maana mimi ni mtakatifu zaidi yako.' Vitu hivi ni moshi katika pua zangu, moto uwakao mchana kutwa.
6 Redzi, tas ir Manā priekšā rakstīts: Es necietīšu klusu, bet Es atmaksāšu, un pat viņu azotē Es atmaksāšu
Tazama, imeandikwa mbele yangu: Sitanyamaza, Maana nitawalipa wao tena; nitafanya malipo yao katika miguu yao,
7 Jūsu noziegumus un jūsu tēvu noziegumus kopā, saka Tas Kungs, ka ir kvēpinājuši uz kalniem un Mani zaimojuši uz pakalniem; tāpēc viņu algu Es papriekš atmaksāšu viņu azotē.
kwa sababu ya dhambi zao na dhambi za baba zao kwa pamoja.'' asema Yahwe. ''Nitawajibu wao kwa kuchoma ubani juu ya milima na kunifanyia mimi juu ya vilima. Hivyo basi nitapima juu ya matendo yao ya kale katika miguu yao.''
8 Tā saka Tas Kungs: tā kā kad vīnu atrod ķekarā un saka: nemaitā to, jo svētība tur iekšā, tāpat Es darīšu Savu kalpu dēļ, ka Es tos visus nenomaitāju.
Yahwe asema hivi, ''Ikiwa kama juisi itapatikana katika nguzo ya zabibu, wakati mmoja ataposema, 'Usihiaribu hiyo, maa kuna uzuri ndani yake; hichi ndicho nitakachokifanya kwa niaba ya watumishi wangu: Sitawaribu wao wote.
9 Bet Es no Jēkaba radīšu dzimumu un no Jūda, kas manto Manus kalnus, un Mani izredzētie to iemantos, un Mani kalpi tur dzīvos.
Nitazileta koo kutoka kwa Yakobo, na kutoka Yuda wao ambao watairithi milima yangu. Niliowachagua watairithi aridhi, na watumishi wangu wataishi pale.
10 Un Šarons taps par avju ganībām, un Ahora ieleja par lopu laidaru priekš Maniem ļaudīm, kas Mani meklējuši.
Sharoni itakuwa malisho ya makundi, na bonde la Akori itakuwa sehemu ya kupumzikia ya makundi yangu, kwa watu wangu wanaonitafuta mimi.
11 Bet jūs, kas no Tā Kunga atkāpušies, kas Manu svēto kalnu aizmirstat un galdu sataisiet tam Gad (Liktenim) un dzeramus upurus ielejat tai Meni (Laimei), -
Lakini yeye aliyeachana na Yehwe, anayeusahau mlima wangu mtakatifu, anayeandaa meza kwa bahati ya mungu, na kujaza kikombe cha mvinyo uliochanganywa na miungu inayoitwa Hatama.
12 Es jūs arī nolikšu zobenam, ka jums visiem būs locīties pie kaušanas, tāpēc ka Es esmu aicinājis, bet jūs neesat atbildējuši, Es esmu runājis, un jūs neesat klausījuši, bet darījuši, kas ļauns bija Manās acīs, un izraudzījušies, kas Man nepatika.
Nitaufikisha mwisho wenu kwa upanga, na wato mtainama chini kwa kuchinjwa, Kwa sababu nilipokuita wewe, haukuitikia; nilipozungumza haukunisikliza. lakini mlifanya yaliyo mabaya katika macho yangu na kuchagua kufanya yasiyo nipendeza mimi.''
13 Tādēļ Tas Kungs Dievs tā saka: redzi, Mani kalpi ēdīs, bet jūs būsiet izsalkuši; redzi, Mani kalpi dzers, bet jūs iztvīksiet; redzi, Mani kalpi priecāsies, bet jūs tapsiet kaunā;
Bwana Yahwe asema hivi, ''Tazama, mtumishi atakula, lakini atashikwa na njaa; tazama mtumishi wangu atakunywa lakini atakuwa na kiu; tazama mtumishi wangu atashangilia, lakini atatiwa katika aibu.
14 Redzi, Mani kalpi gavilēs sirds priekā, bet jūs brēksiet sirdēstos un kauksiet satriektā garā.
Tazama, mtumishi wangu atapiga kelele za furaha kwa sababu ya furaha ya moyo, lakini utalia kwa sababu ya maumivu ya moyo, na mtapiga kelele kwa sababu ya kusagwa kwa roho zenu.
15 Un jūs atstāsiet savu vārdu Maniem izredzētiem par lāstu vārdu, un Tas Kungs Dievs tevi nokaus, bet Savus kalpus Viņš nosauks ar citu vārdu;
Nanyi mtaliacha jina lenu nyuma kama laana kwa watu niliowachagua wazungumze; Mimi Bwana Yahwe, Nitakuwa wewe; Nitawaita watumishi wangu kwa jina lingine.
16 Un kas virs zemes svētīsies, tas svētīsies pie tā patiesā Dieva, un kas virs zemes zvērēs, tas zvērēs pie tā patiesā Dieva; jo tās pirmās bēdas būs aizmirstas un priekš Manām acīm apslēptas.
Yeyote atakaye tamka baraka juu ya nchi atabarikiwa na mimi, Mungu wa kweli. Yeyote achukuae kiapo juu ya nchi anaapa na mimi, Mungu wa kweli, kwa sababu matatizo ya nyuma yatasaulika, maana yatafichwa machoni pangu.
17 Jo redzi, Es radu jaunas debesis un jaunu zemi, un tās pirmās lietas vairs nepieminēs, un tās vairs nenāks prātā.
Maana tazama, Ninakaribia kuumba mbingu mpya na nchi mpya; na mambo ya kale hayatakumbukwa tena wala kufikiriwa katika akili.
18 Bet priecājaties un līksmojaties mūžīgi mūžam par to, ko Es radu. Jo redzi, Es radīšu Jeruzālemi par prieku un viņas ļaudis par līksmību.
Lakini mtakuwa na furaha na kushangilia daima kwa nitakachokiumba. Tazama, Ninakaribia kuumba Yerusalemu mpya kama furaha na watu wake wenye furaha.
19 Un Es priecāšos par Jeruzālemi un līksmošos par Saviem ļaudīm, un tur vairs netaps dzirdēta ne raudāšanas balss, ne kaukšanas balss.
Nitafurahia juu ya Yerusalemu watu wangu; kuomboleza na kilio cha dhiki akitasikika tena ndani yake.
20 Tur nebūs vairs bērniņi, kas ilgi nedzīvos, nedz veci, kas savas dienas nepiepilda; bet jauneklis mirs simts gadus vecs būdams, un bezdievīgais taps nolādēts simts gadus vecs būdams.
Hakuna tena mtoto atakayeishi pale japo kwa siku chache; wala mzee kufa kabla ya mda wake. Yule atakayekufa katika umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama mtu mdogo. Yeyote ambaye atashindwa kufikia umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama laana.
21 Un tie uztaisīs namus un dzīvos iekš tiem, tie dēstīs vīna dārzus un ēdīs viņu augļus.
Watazijenga nyumba na kukaa huko, na watapanda mizabibu na kula matunda yake.
22 Tie neuztaisīs, lai cits tur dzīvo, un nedēstīs, lai cits to ēd; jo Manu ļaužu mūžs būs ka koku mūžs un Mani izredzētie baudīs savu roku darbu.
Hawatajenga nyumba na wengine waishi humo; hawatapanda, na wengine wale; maana kama siku za miti zitakuwa siku za watu wangu. Watu wangu wataishi kikamilifu kwa kazi ya mikono yao.
23 Tie nestrādās velti, nedz dzemdēs bērnus briesmīgam galam. Jo tie ir Tā Kunga svētīto dzimums un viņu bērnu bērni līdz ar tiem.
Hawatafanya kazi bure, wala kuzaa kwa kusikitishwa. Maana ni watoto wa waliobarikiwa na Yahwe, pamoj na koo zao.
24 Un notiks, pirms tie sauc, tad Es atbildēšu, kad tie vēl runā, tad Es klausīšu.
Kabla hawajaita, nitaitika; na wakati wanaendele kuzungumza, ntisikia. Mbwa mwitu na kondoo watachungwa pamoja, na simba atakula majani kama ng'ombe; lakini udongo utakuwa chakula cha nyoka.
25 Vilki un jēri ies kopā ganos un lauva ēdīs salmus kā vērsis, un pīšļi būs čūskas barība; tie nedarīs ļauna un nedarīs posta visā Manā svētā kalnā, saka Tas Kungs.
Hawataumiza tena wala kuharibujuu ya mlima wangu mtakatifu,'' asema Yahwe.

< Jesajas 65 >