< Jesajas 57 >
1 Taisnais iet bojā, un nav neviena, kas to ņem pie sirds, un dievbijīgie top aizrauti, un neviens to neliek vērā. Jo taisnais top aizrauts, pirms ļaunums nāk.
Mwenye haki hupotea, wala hakuna hata mmoja awazaye hilo moyoni mwake; watu wanaomcha Mungu huondolewa, wala hakuna hata mmoja anayeelewa kuwa wenye haki wameondolewa ili wasipatikane na maovu.
2 Kas savu taisno ceļu gājuši, nāk pie miera un dus savos kambaros.
Wale waendao kwa unyofu huwa na amani; hupata pumziko walalapo mautini.
3 Bet jūs, nākat šurp, zīlnieces bērni, laulības pārkāpēja un maucinieces dzimums.
“Lakini ninyi: Njooni hapa, ninyi wana wa wachawi, ninyi wazao wa wazinzi na makahaba!
4 Par ko jūs smejaties? Pret ko jūs atplēšat savu muti un izstiepjat savu mēli? Vai jūs neesat pārkāpēju bērni un viltnieku dzimums?
Mnamdhihaki nani? Ni nani mnayemcheka kwa dharau, na kumtolea ndimi zenu? Je, ninyi si watoto wa waasi, uzao wa waongo?
5 Jūs esat sakarsuši uz dievekļiem apakš visiem zaļiem kokiem un nokāvāt bērnus pie upēm apakš akmens kalnu stūriem.
Mnawaka tamaa katikati ya mialoni na chini ya kila mti uliotanda matawi; mnawatoa kafara watoto wenu kwenye mabonde na chini ya majabali yenye mianya.
6 Pie gludeniem upes akmeņiem bija tava daļa, tā bija tava tiesa, un tiem tu izlēji dzeramu upuri un upurēji ēdamu upuri; vai Man ar to bija mierā būt?
“Sanamu zilizo katikati ya mawe laini ya mabondeni ndizo fungu lenu; hizo ndizo sehemu yenu. Naam, kwa hizo mmemimina sadaka za vinywaji, na kutoa sadaka za nafaka. Katika haya yote, niendelee kuona huruma?
7 Tu taisīji savu gultu lielā un augstā kalnā, ir tur tu uzkāpi, upurus upurēt.
Umeweka kitanda chako juu kwenye kilima kirefu kilichoinuka, huko ulikwenda kutoa dhabihu zako.
8 Un aiz durvīm un stenderēm tu liki savu piemiņas zīmi, jo atstādamies no manis tu atsedzi un kāpi un taisīji platu savu gultu un līki ar tiem.
Nyuma ya milango yako na miimo yako umeweka alama zako za kipagani. Kwa kuniacha mimi, ulifunua kitanda chako, umepanda juu yake na kukipanua sana; ulifanya patano na wale ambao unapenda vitanda vyao, nawe uliangalia uchi wao.
9 Tu iemīlēji viņu gultu un uzlūkoji to vietu. Tu gāji ar eļļu pie ķēniņa un nesi daudz smaržīgu zāļu, un tālu sūtīji savus vēstnešus un meties zemē līdz ellei. (Sheol )
Ulikwenda kwa Moleki ukiwa na mafuta ya zeituni, na ukaongeza manukato yako. Ukawatuma wajumbe wako mbali sana, ukashuka kwenye kaburi lenyewe! (Sheol )
10 Tu nopūlējies savā garā ceļā un nesacīji: velti! Tu atradi jaunu spēku, tāpēc tu nenoguri.
Ulikuwa umechoshwa na njia zako zote, lakini hukusema, ‘Hakuna tumaini.’ Ulipata uhuisho wa nguvu zako, kwa sababu hiyo hukuzimia.
11 Bet no kā tev bija bail un ko tu bijies? Jo tu paliki par meli un Mani nepieminēji un neņēmi pie sirds. - Vai nav tā, kad Es sen dienām klusu cietis, tad tu Manis nebīsties?
“Ni nani uliyemhofu hivyo na kumwogopa hata ukawa mwongo kwangu, wala hukunikumbuka au kutafakari hili moyoni mwako? Si ni kwa sababu nimekuwa kimya muda mrefu hata huniogopi?
12 Es darīšu zināmu tavu taisnību un tavus darbus, ka tie tev nepalīdzēs.
Nitaifunua haki yako na matendo yako, nayo hayatakufaidi.
13 Kad tu brēksi, tad lai tev palīdz tavs (dievekļu) pulks; bet vējš tos visus aiznesīs, un vēsma tos aizraus. Bet kas uz Mani paļaujas, tas iemantos zemi un Manu svēto kalnu.
Utakapolia kwa kuhitaji msaada, sanamu zako ulizojikusanyia na zikuokoe! Upepo utazipeperusha zote, pumzi peke yake itazipeperusha, Lakini mtu atakayenifanya kimbilio lake, atairithi nchi na kuumiliki mlima wangu mtakatifu.”
14 Un Viņš sacīs: līdziniet, līdziniet, sataisiet ceļu, atņemat šķēršļus no Manu ļaužu ceļa.
Tena itasemwa: “Jengeni, jengeni, itengenezeni njia! Ondoeni vikwazo katika njia ya watu wangu.”
15 Jo tā saka tas Augstais un Varenais, kas dzīvo mūžīgi un kā vārds ir svēts: Es dzīvoju augstībā un svētā vietā un pie tā, kam sagrauzts un pazemīgs gars, ka dzīvu daru garu pazemīgiem un dzīvu daru sirdi sagrauztiem.
Kwa maana hili ndilo asemalo Aliye juu, yeye aliyeinuliwa sana, yeye aishiye milele, ambaye jina lake ni Mtakatifu: “Ninaishi mimi mahali palipoinuka na patakatifu, lakini pia pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na mwenye roho ya unyenyekevu, ili kuzihuisha roho za wanyenyekevu na kuihuisha mioyo yao waliotubu.
16 Jo Es nebāršos mūžīgi nedz dusmošos bez gala; jo priekš Mana vaiga nonīktu gars un tās dvēseles, ko esmu radījis.
Sitaendelea kulaumu milele, wala sitakasirika siku zote, kwa kuwa roho ya mwanadamu ingezimia mbele zangu: yaani pumzi ya mwanadamu niliyemuumba.
17 Es biju apskaities par viņu grēcīgo mantas kārību un tos situ un apslēpos un apskaitos, taču tie atkāpušies aizgāja pa savas sirds ceļu.
Nilighadhibika na tamaa yake ya dhambi; nilimwadhibu, nikauficha uso wangu kwa hasira, na bado aliendelea katika njia zake za tamaa.
18 Es ieraudzīju viņu ceļus, un tos dziedināšu, un Es tos vadīšu un došu prieku tiem, kas apbēdināti.
Nimeziona njia zake, lakini nitamponya, nitamwongoza na kumrudishia upya faraja,
19 Es radīšu lūpu augļus: miers, miers lai ir tiem, kas tālu un kas tuvu, saka Tas Kungs, un Es tos dziedināšu.
nikiumba sifa midomoni ya waombolezaji katika Israeli. Amani, amani, kwa wale walio mbali na kwa wale walio karibu,” asema Bwana. “Nami nitawaponya.”
20 Bet tie bezdievīgie ir kā aizkustināta jūra, kas nevar nostāties, un viņas viļņi izmet dūņas un dubļus.
Bali waovu ni kama bahari ichafukayo, ambayo haiwezi kutulia, mawimbi yake hutupa takataka na matope.
21 Bezdievīgiem nav miera, saka mans Dievs.
Mungu wangu asema, “Hakuna amani kwa waovu.”