< Jesajas 27 >

1 Tai dienā Tas Kungs ar Savu cieto, lielo un stipro zobenu piemeklēs Levijatanu, to žiglo čūsku, un Levijatanu, to lunkano čūsku, un nokaus to lielo pūķi, kas jūrā.
Katika siku hiyo Yahwe kwa upanga wake ulio mgumu, mkubwa na mkali, atamadhibu Leviathani na nyoka yule anayetambaa kwa kupenya, na atamuua mnyama anayeishi baharini.
2 Tai dienā būs jauks vīna dārzs, dziediet par to.
Siku hiyo: Shamba la zabibu, litawaimbia.
3 Es, Tas Kungs, to pasargu, ik acumirkli Es to slacinu, lai neviens to neaiztiek, nakti un dienu Es to sargāju.
''Mimi Yahwe ni mlinzi wake; Ninalimwagia maji kila wakati; hivyo hakuna anayelimiza, Ninalilinda usiku na mchana.
4 Dusmu Man vairs nav. - Ja būtu Manā priekšā ērkšķi un dadži, karā Es pret tiem celtos un tos visus sadedzinātu,
Sina hasira, Oh, kama mbigiri na miiba! Katika vita nitatembea dhidi yao; Nitawachoma wote kwa pamoja;
5 Ja tie nemeklē Manu palīgu, un neder mieru ar Mani, mieru ja neder ar Mani.
labda wafahamu ulinzi wangu na wafanye amani na mimi, waache wafanye amani na mimi.
6 Nākošā laikā Jēkabs iesakņosies, Israēls zaļos un ziedēs un zemes virsu pildīs ar augļiem.
Kwa siku inayokuja, Yakobo atachukua mzizi; Israeli itatoa maua na kuchipua; na itaijaza aridhi yote kwa matunda.''
7 Vai Viņš to tā sitis, kā Viņš viņa sitējus sitis? Vai Viņš to tā kāvis, kā Viņš viņu kāvējus kāvis?
Je Yahwe alimshambulia Yakobo na Israeli na hayo mataifa yaliyomshambulia? Je Yakobo na Israeli waliuliwa na wao kama mliowachinja katika mataifa mliowauwa wao?
8 Mēreni Tu viņu sodīji, kad to liki aizvest, to gauži vētīdams rīta vēja dienā.
Kitika kipimo halisi cha kuridhisha, watume Yakobo na Israeli mbali; aliwaondosha mbali kwa upepo mkali, katika siku ya upepo wa mashariki.
9 Tādēļ Jēkaba noziegums caur to top salīdzināts, un kad viņa grēki atņemti, tad šie ir visi tie augļi, ka visus altāra akmeņus darīs par izkaisītiem gruvekļiem; Ašeras un saules stabi nepastāvēs.
Hivyo kwa njia hii, maovu ya Yakobo yatalipiwa, maana hii itakuwa matunda yote yakuomdolewa dhambi zake: pale atakapofanya mathebau ya mawe kama chokaa na kuviangamiza katika vipande vipande, na hakuna nguzo za Ashera au madhebau itakayoachwa imesimama.
10 Jo tā stiprā pilsēta būs tukša, tās mājvietas taps pamestas un atstātas kā tuksnesis; tur teļi taps ganīti, un tur tie gulsies un noēdīs viņa krūmus.
Maana mji imara umeharibiwa, makao yake na faragha yake yameachwa kama jangwa. Kuna ndama wanachungwa, na huko ndiko atakapo lala na kuyala matawi yake.
11 Kad viņa zari būs nokaltuši, tad tie taps nolauzti, un sievas nāks un ar tiem kurinās. Jo tie ir ļaudis, kam prāta nav, tādēļ viņu Radītājs par tiem neapžēlosies, un kas tos ir darījis, tas viņiem žēlastības neparādīs.
Matawi yake yatakaponyauka yatanguka. Wanawake watakuja na kuyatumia kutengeneza moto, maana hawa sio watu waelewa. Hivyo basi Muumba wao hatakuwa na huruma juu yao, na yeye aliyewaumba atakuwa na huruma juu yao.
12 Un notiks tai dienā, tad Tas Kungs augļus sakrās no lielupes malas līdz Ēģiptes upei; un jūs visi līdz tapsiet salasīti, Israēla bērni.
Na siku hiyo itakuwa kwamba Yahwe atapururua kutoka mto Efrate mpaka Wadi ya Misri na njie, watu wa Israeli, tutakusanyika mahali pamoja mmoja mmoja.
13 Un tai dienā ar lielu bazūni taps bazūnēts, un tad nāks, kas pazuduši Asura zemē un kas izdzīti Ēģiptes zemē, un pielūgs To Kungu uz tā svētā kalna Jeruzālemē.
Siku hiyo tarumbeta kubwa litapulizwa; na watu waliopotea katika nchi ya Asiria watakuja, na waliotupwa katika nchi ya Misri, watamuabudu Yahwe katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.

< Jesajas 27 >