< Jesajas 25 >
1 Kungs, Tu esi mans Dievs, es Tevi gribu paaugstināt, slavēt Tavu vārdu; jo Tu esi darījis brīnumus. Tavi padomi no sen dienām ir patiesība un uzticība.
Ee Bwana, wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza na kulisifu jina lako, kwa maana katika ukamilifu wa uaminifu umetenda mambo ya ajabu, mambo yaliyokusudiwa tangu zamani.
2 Jo Tu pilsētu esi padarījis par akmeņu kopu, stipru pili par gruvešiem, svešu ļaužu skaistos namus, ka tā vairs nav pilsēta, - nemūžam to vairs neuzcels.
Umeufanya mji kuwa lundo la kifusi, mji wenye ngome kuwa magofu, ngome imara ya wageni kuwa si mji tena, wala hautajengwa tena kamwe.
3 Tāpēc Tevi slavēs stipra tauta, varenu ļaužu pilsētas Tevi bīsies.
Kwa hiyo mataifa yenye nguvu yatakuheshimu, miji ya mataifa katili itakuheshimu wewe.
4 Jo Tu esi patvērums nabagam, patvērums vājam viņa bēdās, aizsegs pret plūdiem, pavēnis pret karstumu; jo tie briesmīgie šņāc kā plūdi pret mūri.
Umekuwa kimbilio la watu maskini, kimbilio la mhitaji katika taabu yake, hifadhi wakati wa dhoruba na kivuli wakati wa hari. Kwa maana pumzi ya wakatili ni kama dhoruba ipigayo ukuta
5 Tā kā karstumu izkaltušā zemē, tā Tu nospiedi svešo ļaužu trakumu; kā karstums caur padebeša ēnu, tā briesmīgo ļaužu dziesma apklusa.
na kama joto la jangwani. Wewe wanyamazisha makelele ya wageni; kama vile hari ipunguzwavyo na kivuli cha wingu, ndivyo wimbo wa wakatili unyamazishwavyo.
6 Un Tas Kungs Cebaot darīs uz šī kalna visām tautām taukas dzīres, dzīres no veca vīna, no taukiem ēdieniem un no veca izkāsta vīna.
Juu ya mlima huu Bwana Mwenye Nguvu Zote ataandaa karamu ya vinono kwa mataifa yote, karamu ya mvinyo wa zamani, nyama nzuri sana na divai zilizo bora sana.
7 Un Viņš izdeldēs uz šī kalna to vaiga apsegu, ar ko visas tautas ir apsegtas, un to deķi, ar ko visi pagāni apklāti.
Juu ya mlima huu ataharibu sitara ihifadhiyo mataifa yote, kile kifuniko kifunikacho mataifa yote,
8 Viņš nāvi aprīs mūžīgi. Un Tas Kungs Dievs noslaucīs asaras no visiem vaigiem un atņems Savu ļaužu negodu no visas zemes virsas; jo Tas Kungs to ir runājis.
yeye atameza mauti milele. Bwana Mwenyezi atafuta machozi katika nyuso zote; ataondoa aibu ya watu wake duniani kote. Bwana amesema hili.
9 Un tai dienā sacīs: redzi, šis ir mūsu Dievs, uz Viņu esam gaidījuši, ka Viņš mūs izpestī. Šis ir Tas Kungs, uz Viņu esam gaidījuši, lai priecājamies un līksmojamies par Viņa pestīšanu.
Katika siku ile watasema, “Hakika huyu ndiye Mungu wetu; tulimtumaini, naye akatuokoa. Huyu ndiye Bwana, tuliyemtumaini; sisi tushangilie na kufurahia katika wokovu wake.”
10 Jo Tā Kunga roka dusēs uz šā kalna. Bet Moabs taps samīts apakš Viņa, tā kā salmi top samīdīti mēslos.
Mkono wa Bwana utatulia juu ya mlima huu, bali Moabu atakanyagwa chini kama majani makavu yakanyagwavyo kwenye shimo la mbolea.
11 Un Viņš tur izpletīs Savas rokas tā kā peldētājs tās izpleš peldēdams, un Dievs pazemos viņa greznību līdz ar viņa roku viltību.
Watakunjua mikono yao katikati yake, kama vile mwogeleaji akunjuavyo mikono yake ili aogelee. Mungu atashusha kiburi chao licha ya ujanja wa mikono yao.
12 Un tavus augstos stipros pils mūrus Viņš gāzīs, pazemos un pīšļos metīs pie zemes.
Atabomoa kuta ndefu za maboma yako na kuziangusha chini, atazishusha chini ardhini, mpaka mavumbini kabisa.