< Jesajas 18 >

1 Ak vai, zeme, kur spārni žvingst, viņpus Kūsa upēm;
Ole kwa nchi ya mvumo wa mabawa, kando ya mito ya Kushi,
2 Tā sūta vēstnešus pār jūru un niedru laivās pār ūdeņiem. Ejat, jūs čaklie vēstneši, pie tautas, kas bijājama tālu tālu, pie tautas, kas pavēlētāja un saminēja, kam upes zemi dala.
iwapelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari kwa mashua za mafunjo juu ya maji. Nendeni, wajumbe wepesi, kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo, kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu, taifa gomvi lenye lugha ngeni, ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito.
3 Visi jūs pasaules iedzīvotāji un jūs ļaudis virs zemes, kad karogs taps izcelts kalnos, tad redziet, un kad trumete skanēs, tad dzirdiet!
Enyi mataifa yote ya ulimwengu, ninyi mnaoishi duniani wakati bendera itakapoinuliwa milimani, mtaiona, nayo tarumbeta itakapolia, mtaisikia.
4 Jo tā Tas Kungs uz mani sacījis: “Es turēšos klusu un skatīšos no Sava mājokļa, kā karstums spiež saulei spīdot un padebesis raso pļaujama laika karstumā.”
Hili ndilo Bwana aliloniambia: “Nitatulia kimya na kutazama kutoka maskani yangu, kama joto linalometameta katika mwanga wa jua, kama wingu la umande katika joto la wakati wa mavuno.”
5 Jo priekš pašas pļaujas, kad ziedi noziedējuši un kad no ziediem ķekari jau ietekās, tad Viņš stīgas nogriezīs ar dārza nazi un zarus atņems un nokapās.
Kwa maana, kabla ya mavuno, wakati wa kuchanua ukishapita na maua yakawa zabibu zinazoiva, atayakata machipukizi kwa mundu wa kupogolea matawi, naye atakata na kuyaondoa matawi yaliyopanuka.
6 Tie visi taps atstāti kalnu ērgļiem un zemes zvēriem, un tie ērgļi tur paliek pa vasaru un visi zemes zvēri tur mīt pa ziemu.
Yote yataachwa kwa ajili ya ndege wawindao wa mlimani na wanyama pori, ndege watajilisha juu yake wakati wote wa kiangazi, nao wanyama pori wakati wote wa masika.
7 Tanī laikā Tam Kungam Cebaot nesīs dāvanas no tās tautas, kas lielu slaiku augumu, un no tās tautas, kas bijājama tālu tālu, no tās tautas, kas pavēlētāja un saminēja, kam upes zemi dala, uz to vietu, kur Tā Kunga Cebaot vārds, uz Ciānas kalnu.
Wakati huo matoleo yataletwa kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote kutoka kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo, kutoka kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu, kutoka taifa gomvi lenye lugha ngeni, ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito, matoleo yataletwa katika Mlima Sayuni, mahali pa Jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote.

< Jesajas 18 >