< Jesajas 15 >

1 Spriedums par Moabu. Moaba Ara pa nakti postīta, izdeldēta! Tiešām, Moaba Ķire pa nakti postīta, izdeldēta.
Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
2 Uz Baītu un Dibonu, uz elku kalniem iet raudāt; uz Nebus un uz Medbas Moabs kauc. Visas viņu galvas ir nodzītas plikas un visiem bārda nogriezta.
Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
3 Savās ielās tie iet apjozušies ar maisiem, pa saviem jumtiem un ceļiem visi kauc un plūst asarās.
Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
4 Hešbona un Eleale brēc, viņas balss top dzirdēta līdz Jācai. Tādēļ vaid paši Moaba apbruņotie, dvēsele viņam trīc.
Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
5 Mana sirds brēc par Moabu; viņa bēgļi bēg līdz Coārai, līdz EglatŠilišijai; jo uz Luķitu kāpj ar raudāšanu, un ceļā pret Horonaīm kliedz par izpostīšanu.
Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
6 Jo Nimrim ūdeņi izsīkuši; jo zāle nokaltusi, zaļums iznīcis, nekas vairs nezeļ.
Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
7 Tāpēc to krājumu, ko sakrājuši, un ko glabājuši, to tie ved pār kārklu upi.
Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
8 Jo brēkšana iet pa Moaba robežām, viņa kaukšana līdz Eglaīm, viņa kaukšana līdz Elim akai.
Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
9 Jo Dimonas ūdeņi ir pilni asiņu. Jo vēl vairāk Es uzlikšu Dimonai, lauvu tiem, kas Moabā izglābušies un tai zemē atlikuši.
Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.

< Jesajas 15 >