< Hozejas 9 >

1 Nepriecājies, Israēl, ar gavilēšanu kā tās tautas, jo tu dzen maucību, atkāpdamies no sava Dieva, tu mīļo mauku algu uz visiem labības kloniem.
Usifurahie, ee Israeli; usishangilie kama mataifa mengine. Kwa kuwa hukuwa mwaminifu kwa Mungu wako; umependa ujira wa kahaba kwenye kila sakafu ya kupuria nafaka.
2 Klons un eļļas spaids viņus nemielos un jaunais vīns tos pievils.
Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai havitalisha watu, divai mpya itawapungukia.
3 Tie nepaliks Tā Kunga zemē, bet Efraīms griezīsies atpakaļ uz Ēģipti, un Asīrijā tie ēdīs nešķīstu.
Hawataishi katika nchi ya Bwana, Efraimu atarudi Misri na atakula chakula kilicho najisi huko Ashuru.
4 Tie Tam Kungam nenesīs dzeramus upurus no vīna, un viņu kaujamie upuri viņam nepatiks; tie viņiem būs kā bēru maize. Visi, kas to ēd, apgānās, jo viņu maize ir priekš viņiem pašiem, un nenāk Tā Kunga namā.
Hawatammiminia Bwana sadaka ya divai wala dhabihu zao hazitampendeza. Dhabihu kama hizo zitakuwa kwao kama mkate wa waombolezaji; nao wote wazilao watakuwa najisi. Chakula hiki kitakuwa kwa ajili yao wenyewe; kisije katika Hekalu la Bwana.
5 Ko tad jūs darīsiet svētkos un Tā Kunga svētā dienā?
Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa, katika siku za sikukuu za Bwana?
6 Jo redzi, tiem jāaiziet tā posta dēļ, Ēģipte tos sapulcinās, Memfisa viņus apraks. Nātres mantos viņu sudraba dārgumus, ērkšķi būs viņu dzīvokļos.
Hata ikiwa wataokoka maangamizi, Misri atawakusanya, nayo Memfisi itawazika. Hazina zao za fedha zitasongwa na michongoma, nayo miiba itafunika mahema yao.
7 Piemeklēšanas dienas nākušas, atmaksāšanas dienas ir klāt, Israēls to samanīs! Tie pravieši ir ģeķi, tie gara vīri ir traki, - visa tava lielā nozieguma un lielā naida dēļ.
Siku za adhabu zinakuja, siku za malipo zimewadia. Israeli na afahamu hili. Kwa sababu dhambi zenu ni nyingi sana na uadui wenu ni mkubwa sana, nabii anadhaniwa ni mpumbavu, mtu aliyeongozwa na Mungu anaonekana mwendawazimu.
8 Efraīms lūko manam Dievam garām, un pravieši ir palikuši par slazda valgiem uz visiem viņa ceļiem, naids ir viņu dieva namā.
Nabii, pamoja na Mungu wangu, ndiye mlinzi juu ya Efraimu, hata hivyo mitego inamngojea katika mapito yake yote, na uadui katika nyumba ya Mungu wake.
9 Tie ir dziļi maitājušies tā kā Ģibejas dienās; viņš pieminēs viņu noziegumu, viņš piemeklēs viņu grēkus.
Wamezama sana katika rushwa, kama katika siku za Gibea. Mungu atakumbuka uovu wao na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.
10 Es atradu Israēli kā vīna ogu ķekarus tuksnesī, Es ieraudzīju jūsu tēvus kā pirmajus augļus pie vīģes koka; bet tie nogāja pie BaālPeora un padevās tam bezkaunīgam un tapa tik neganti kā viņu drauģeļi.
“Nilipompata Israeli, ilikuwa kama kupata zabibu jangwani; nilipowaona baba zenu, ilikuwa kama kuona matunda ya kwanza katika mtini. Lakini walipofika Baal-Peori, walijiweka wakfu kwa ile sanamu ya aibu, nao wakawa najisi kama kitu kile walichokipenda.
11 Efraīma godība aizskries kā putns, ka tur ne dzemdēs, nedz taps grūtas, nedz ieņems.
Utukufu wa Efraimu utaruka kama ndege: hakuna kuzaa, hakuna kuchukua mimba, hakuna kutunga mimba.
12 Un jebšu tie savus bērnus uzaudzinātu, tomēr Es tiem tos gribu laupīt, ka cilvēku neatliek. Ak vai, tiem, kad Es no tiem būšu atstājies!
Hata wakilea watoto, nitamuua kila mmoja. Ole wao nitakapowapiga kisogo!
13 Efraīms, ko Es biju izredzējis, būt par Tiru, bija stādīts skaistā vietā, bet Efraīmam savi bērni jaiznes slepkavam.
Nimemwona Efraimu, kama Tiro, aliyeoteshwa mahali pazuri. Lakini Efraimu wataleta watoto wao kwa mchinjaji.”
14 Dod tiem, ak Kungs! Ko lai Tu dodi? Dod tiem neauglīgas miesas un izsīkušas krūtis.
Wape, Ee Bwana, je, utawapa nini? Wape matumbo ya kuharibu mimba na matiti yaliyokauka.
15 Visa viņu negantība ir Gilgalā, tur Es tos ienīdēju. Viņu ļauno darbu dēļ Es tos izdzīšu no Sava nama, Es joprojām tos vairs nemīļošu; - visi viņu lielkungi ir atkāpēji.
“Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, niliwachukia huko. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza katika nyumba yangu. Sitawapenda tena, viongozi wao wote ni waasi.
16 Efraīms ir sasists, viņu sakne ir izkaltusi; tie nenesīs nekādus augļus; un jebšu tie dzemdinātu, tomēr Es viņu miesas mīlulīšus gribu nokaut.
Efraimu ameharibiwa, mzizi wao umenyauka, hawazai tunda. Hata kama watazaa watoto, nitawachinja watoto wao waliotunzwa vizuri.”
17 Mans Dievs tos atmetīs, tāpēc ka tie Viņam neklausīja, un tie būs bēguļi starp tautām.
Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii; watakuwa watu wa kutangatanga miongoni mwa mataifa.

< Hozejas 9 >