< Hozejas 13 >

1 Kad Efraīms runāja, tad cēlās bailes; viņš augsti cēlās iekš Israēla, bet viņš noziedzās caur Baālu un mira.
Efraimu alipozungumza, kulikuwa na tetemeko. Alijikuza katika Israeli, lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa.
2 Un nu tie vēl vairāk grēko, un no sava sudraba tie sev taisa elku stabus, dievekļus pēc sava prāta; tas visnotaļ ir kalēju darbs; uz tiem šie runā, cilvēku upurētāji, tie skūpsta teļus.
Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi. Wanatengeneza sanamu za chuma kutoka kwenye fedha zao, sanamu kwa kadiri ya ufanisi wao, zote ni kazi ya mafundi. Watu wanasema juu yao, 'Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama.'
3 Tādēļ tie būs kā rīta mākoņi un kā rīta rasa, kas izzūd kā pelavas no klona, un kā dūmi no skursteņa top aizdzīti.
Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi, kama umande unaoondoka mapema, kama makapi yanayotokana na upepo kutoka kwenye sakafu, na kama moshi utokao kwenye bomba.
4 Bet Es esmu Tas Kungs, tavs Dievs, kamēr no Ēģiptes zemes, un Dieva bez manis tu nepazīsti neviena, un Pestītāja bez Manis nav neviena.
Lakini mimi ndimi Bwana, Mungu weko, tangu nchi ya Misri. Hutamjua Mungu mwingine bali mimi; wala zaidi yangu, hakuna mkombozi mwingine.
5 Es par tevi zināju tuksnesī, tai sausā zemē.
Nilikujua jangwani, katika nchi yenye kame.
6 Kad tiem bija ganība, tad tie pieēdās; kad tie bija pieēdušies, tad viņu sirds lepojās, tāpēc tie Mani aizmirsa.
Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba; na wakati uliposhiba, moyo wako ukainuliwa. Kwa sababu hiyo umenisahau.
7 Tādēļ Es tiem paliku kā lauva, kā pardelis Es glūnēju uz ceļa.
Nitakuwa kama simba; kama chui nitaangalia kando ya njia.
8 Es tos sastapšu kā lācis, kam bērni laupīti, un saplosīšu viņu cieto sirdi, Es tos tur aprīšu kā lauva; tie zvēri virs zemes tos saplosīs.
Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
9 Tas tev par postu, Israēl, ka tu esi pret Mani, pret savu palīgu.
Nitawaangamiza, Israeli; nani atakayekusaidia?
10 Kur nu ir tavs ķēniņš? Lai tas tev palīdz visās tavās pilsētās! Un kur tavi tiesneši, par kuriem tu sacīji: dod man ķēniņu un virsniekus?
Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?
11 Es tev devu ķēniņu savā dusmībā un to esmu atņēmis savā bardzībā.
Nimekupa mfalme kwa hasira yangu, nikamchukua kwa ghadhabu yangu.
12 Efraīma noziegumi ir sakrāti, viņa grēki ir glabāti.
Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.
13 Viņam nāks dzemdētājas sāpes; viņš ir negudrs bērns, jo tas laikā neiet mātes ceļā.
Atakuwa na uchungu wa kujifungua, lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni.
14 Es tos atpestīšu no elles, Es tos atsvabināšu no nāves. Nāve, kur ir tavs mēris, elle, kur ir tavs posts! Žēlums nebūs priekš Manām acīm. (Sheol h7585)
Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol h7585)
15 Lai viņš arī augļus nes brāļu vidū, bet rīta vējš nāks, Tā Kunga vējš celsies no tuksneša, un viņa aka izkaltīs, un viņa avots izsīks; šis laupīs mantu un visus dārgumus.
Ingawa Efraimu anafanikiwa kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana utapiga kutoka jangwani. Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji. Adui yake atapora ghala lake la kila kitu cha thamani.
16 Samarija ies postā, jo tā savam Dievam ir turējusies pretī, tā kritīs caur zobenu, viņu bērni taps satriekti un viņu grūtās sievas taps uzšķērstas.
Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu amemuasi dhidi ya Mungu wake. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watatambuliwa wazi.

< Hozejas 13 >