< Pirmā Mozus 4 >
1 Un Ādams atzina Ievu, savu sievu, un tā tapa grūta un dzemdēja Kainu un sacīja: es esmu dabūjusi vīru ar To Kungu.
Mwanume akalala na Hawa mke wake. Akabeba mimba na akamzaa Kaini. Akasema, “nimezaa mwanaume kwa msaada wa Yahwe.”
2 Un tā vēl dzemdēja viņa brāli, Ābelu; un Ābels palika par avju ganu, bet Kains palika par zemes kopēju.
Kisha akazaa ndugu yake Habili. Sasa Habili akawa mchungaji, lakini Kaini alilima udongo.
3 Un notikās pēc kāda laika, ka Kains Tam Kungam upuri nesa no zemes augļiem.
Ikawa kwamba baada ya muda Kaini alileta sehemu ya mazao ya ardhi kama sadaka kwa Yahwe.
4 Un Ābels arīdzan nesa no savu avju pirmdzimtiem un no viņu taukiem. Un Tas Kungs uzlūkoja Ābelu un viņa upuri.
Habili pia, alileta sehemu ya wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona. Yahwe akamkubali Habili pamoja na sadaka yake,
5 Bet Kainu un viņa upuri Viņš neuzlūkoja. Tad iedegās Kaina bardzība, un viņa vaigs raudzījās nikni.
lakini Kaini pamoja na sadaka yake Mungu hakuikubali. Kwa hiyo Kaini alikasirika sana, na uso wake ukakunjamana.
6 Un Tas Kungs sacīja uz Kainu: kam tu esi apskaities, un kādēļ tavs vaigs raugās nikni?
Yahwe akamwambia Kaini, “kwa nini umekasirika na kwa nini uso wako umekunjamana?
7 Vai nav tā: ja tu darīsi pareizi, tad vari savu vaigu pacelt; bet ja tu darīsi nepareizi, tad grēks guļ priekš durvīm un tīko pēc tevis, - bet tu, valdi pār viņu. Un Kains runāja ar savu brāli Ābelu.
Kama ukifanya vema, je hutapata kibali? lakini kama hutafanya lilio jema, dhambi iko inakuotea mlangoni na inatamani kukutawala, lakini inakupasa uishinde.
8 Un notikās, kad tie bija laukā, tad Kains cēlās pret Ābelu, savu brāli, un to nokāva.
Kaini akamwambia Habili ndugu yake. Hata wakati walipokuwa shambani, Kaini aliinuka dhidi ya Habili ndugu yake na akamuua. (Katika tafsiri za kale zinasema, Kaini alimwambia Habili ndugu yake, “twende mashambani.” Na wakati walipokuwa shambani, Kaini alimuinukia Habili ndugu yake na kumuua).
9 Un Tas Kungs sacīja uz Kainu: kur ir Ābels, tavs brālis? Un tas sacīja: es nezinu. Vai tad es sava brāļa sargs?
Kisha Yahwe akamuuliza Kaini, “Ndugu yako Habili yuko wapi?” Akasema, “sijui. Je mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”
10 Un Viņš sacīja: ko tu esi darījis? Tava brāļa asiņu balss brēc uz Mani no zemes.
Yahwe akasema, “umefanya nini? damu ya ndugu yako inaniita mimi kutokea ardhini.
11 Un nu esi nolādēts, nost no zemes, kas savu muti atpletusi, tava brāļa asinis saņemt no tavām rokām.
Na sasa umelaaniwa wewe kutoka ardhi ambayo imefungua kinywa chake kupokea damu ya ndugu yako kutoka mikononi mwako.
12 Kad tu zemi strādāsi, tad tā vairs tev nedos savu spēku; tekulis un bēglis tu būsi virs zemes.
Utakapo ilima ardhi, kuanzia sasa na kuendelea haita kuzalia wewe nguvu yake. Utakuwa mkimbizi na mtu asiye na makao duniani.”
13 Un Kains sacīja uz To Kungu: mans noziegums ir lielāks, nekā to varētu panest.
Kaini akamwambia Yahwe, “Adhabu yangu ni kubwa kuliko uwezo wangu wa kustahimili.
14 Redzi, Tu mani šodien izdzen no zemes, un man būs paslēpties no Tava vaiga un es būšu tekulis un bēglis virs zemes, un notiks, ka ikviens, kas mani atrod, tas mani nokaus.
Kwa hakika umenifukuza siku hii ya leo kutoka kwenye ardhi hii, na sitaonekana mbele ya uso wako. Nitakuwa mkimbizi na mtu nisiye na makao katika dunia, na yeyote atakaye niona ataniua.”
15 Un Tas Kungs uz to sacīja: tādēļ, kas Kainu nokauj, tas taps septiņkārt atriebts. Un Tas Kungs pielika Kainam zīmi, lai to nenokautu, kas to atrastu.
Yahwe akamwambia, “ikiwa mtuyeyote atamuua Kaini, kisasi kitakuwa juu yake mara saba.” Kisha Yahwe akaweka alama juu ya Kaini, ili kwamba kama mtu awayeyote akimuona, mtu huyo asimshambulie.
16 Un Kains aizgāja no Tā Kunga vaiga un mita Nodzemē, Ēdenei pret rītiem.
Kwa hiyo Kaini akatoka mbele ya uwepo wa Yahwe na akaishi katika nchi ya Nodi, mashariki mwa Edeni.
17 Un Kains atzina savu sievu, un tā tapa grūta un dzemdēja Ēnohu; un viņš uztaisīja pilsētu un nosauca tās pilsētas vārdu pēc sava dēla vārda Ēnohu.
Kaini akamjua mke wake na akapata mimba. Akamzaa Henoko. Akajenga mji na akauita kwa jina la mwanae Henoko.
18 Un Ēnoham dzima Īrads, un Īrads dzemdināja Meūjaēlu, un Meūjaēls dzemdināja Metusaēlu, un Metusaēls dzemdināja Lāmehu.
Kwa Henoko akazaliwa Iradi. Iradi akamzaa Mehuyaeli. Mehuyaeli akamzaa Methushaeli. Methushaeli akamzaa Lameki.
19 Un Lāmehs apņēma divas sievas; pirmai bija vārds Ada, un otrai bija vārds Cilla.
Lameki akajitwalia wake wawili: jinala mmoja alikuwa Ada, na jina la yule mwingine alikuwa Sila.
20 Un Ada dzemdēja Jabalu; tas ir tēvs bijis tiem, kas teltīs dzīvoja un lopus audzināja.
Ada akamzaa Yabali. Huyu ndiye alikuwa baba yao na wale walioishi hemani ambao wanafuga wanyama.
21 Un viņa brāļa vārds bija Jubals; tas ir tēvs bijis visiem koklētājiem un stabulniekiem.
Ndugu yake aliitwa Yubali. Huyu alikuwa baba yao na wale wapigao kinubi na filimbi.
22 Un Cilla arīdzan dzemdēja Tubalkaīnu, kas bija visādu vara un dzelzs rīku kalējs. Un Tubalkaīna māsa bija Naēma.
Sila naye akamzaa Tubal Kaini, mfua vyombo vya shaba na chuma. Dada yake na Tubal Kaini alikuwa Naama.
23 Un Lāmehs sacīja uz savām sievām: Ada un Cilla, klausiet manu balsi, jūs Lāmeha sievas, ņemiet vērā manus vārdus! Jo es vīru nokauju par savu vāti un jaunekli par savu brūci.
Lameki akawaambia wake zake, Ada na Sila, sikieni sauti yangu; ninyi wake wa Lameki, sikilizeni nisemacho. Kwa kuwa nimemuua mtu kwa kunijeruhi, kijana kwa kunichubua.
24 Jo Kains taps septiņkārt atriebts, bet Lāmehs septiņdesmit septiņkārt.
Ikiwa Kaini atalipiwa kisasi mara saba, ndipo Lameki atalipiwa kisasi mara sabini na saba.”
25 Un Ādams atzina atkal savu sievu, un tā dzemdēja dēlu un nosauca viņa vārdu Setu; jo (tā sacīja: ) Dievs man ir licis citu dzimumu Ābela vietā, jo Kains to ir nokāvis.
Adam akamjua mke wake tena, na akazaa mtoto mwanaume. Akamuita jina lake Sethi na akasema, “Mungu amenipatia mtoto mwingine wa kiume kwa nafasi ya Habili, kwa kuwa Kaini alimuuwa.”
26 Un Setam arī dzima dēls, un tas nosauca viņa vārdu Enosu. Tai laikā iesāka piesaukt Tā Kunga vārdu.
Mtoto wa kiume alizaliwa kwa Sethi na akamuita jina lake Enoshi. Wakati huo watu walianza kuliitia jina la Yahwe.