< Ecechiela 3 >
1 Un Viņš sacīja uz mani: Cilvēka bērns, ēd, kas tavā priekšā, ēd šo satīto grāmatu, un ej un runā uz Israēla namu.
Akanambia, “Mwanadamu, kile ulichokikuta, kula. Kula hili gombo, kisha nenda kaongee na nyumba ya Israeli.”
2 Tad es atdarīju savu muti, un Viņš man deva ēst to satīto grāmatu.
Basi nikafungua kinywa changu, na akanilisha hilo gombo.
3 Un Viņš sacīja uz mani: Cilvēka bērns, dod savam vēderam ēst un pildi savas iekšas ar šo satīto grāmatu, ko Es tev dodu. Tad es ēdu, un tas bija manā mutē tik salds kā medus.
Akanambia, “Mwana wa adamu, lisha tumbo lako na jaza tumbo lako kwa hili gombo ambalo nimekupa!” Basi nikalila, na lilikuwa tamu kama asali kwenye mdomo wangu.
4 Un Viņš sacīja uz mani: Cilvēka bērns, ej pie Israēla nama un runā uz tiem Manus vārdus.
Kisha akanambia, “Mwana wa adamu, nenda kwenye nyumba ya Israeli na ongea maneno yangu kwao.
5 Jo tu netopi sūtīts pie ļaudīm, kam tumša valoda un grūta mēle, bet uz Israēla namu,
Kwa kuwa hujatumwa kwa watu wenye maneno ya kushangaza au lugha ngumu, lakini kwa nyumba ya Israeli-
6 Ne pie lielām tautām, kam tumšas valodas un grūtas mēles, kuru vārdus tu nevari saprast; bet pie tiem Es tevi esmu sūtījis, tie tevi var saprast.
sio kwa taifa lenye nguvu ya maneno ya ajabu au lugha ngumu ambao maneno yao hutaweza kuyaelewa! Kama nikikutuma kwao, watakusikiliza.
7 Bet Israēla nams negribēs tevi klausīt, tāpēc ka tie Mani negrib klausīt. Jo visam Israēla namam ir bieza piere un cieta sirds.
Lakini nyumba ya Israeli haitakuwa tayari kukusikiliza, kwa kuwa hawako tayari kunisikiliza mimi. Hivyo nyumba yote ya Israeli ni paji gumu na moyo mgumu.
8 Redzi, tavu vaigu Es daru cietu kā viņu vaigu, un tavu pieri biezu kā viņu pieri
Kumbe nimeufanya uso wako kama kaidi kama nyuso zao na paji lako kuwa gumu kama mapaji yao.
9 Tavu pieri Es esmu darījis kā dimantu, cietāku pār klinti. Nebīsties no tiem un neiztrūksties no viņu vaiga; jo tie ir atkāpēju suga.
Nimekufanya paji lako kama almasi, gumu kuliko jiwe la kiberiti! Usiwaogope wala kufadhaika kwa nyuso zao, kwa kuwa ni nyumba ya uasi.”
10 Un Viņš sacīja uz mani: Cilvēka bērns, ņem pie sirds visus Manus vārdus, ko Es uz tevi runāšu, un klausies tos ar savām ausīm.
Kisha akanambia, “Mwana wa adamu, maneno yote niliyokutangazia-yachukue kwenye moyo wako na wasikize kwa sikio lako!
11 Un ej pie tiem aizvestiem, pie savu ļaužu bērniem, un runā uz tiem un saki uz tiem: tā saka Tas Kungs Dievs; - vai tie nu klausa, vai neklausa.
Kisha nenda kwa watumwa, kwa watu wako, na uzungumze nao. Waambie, 'Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo; iwapo watasikia au hapana.”
12 Tad Tas Gars mani pacēla, un es dzirdēju aiz sevis liela trokšņa balsi, kad Tā Kunga godība pacēlās no savas vietas,
Kisha Roho akaniinua juu, na nikasikia nyuma yangu sauti yenye tetemeko la aridhi: “Ubarikiwe utukufu wa Yahwe kutoka mahali pake!”
13 Un (es dzirdēju) to dzīvo spārnus, kas viens pie otra sniedzās, un to skrituļu rībēšanu viņiem līdzās un liela trokšņa skaņu.
Ilikuwa sauti ya mabawa ya viumbe hai vilipokuwa vikigusana kila kimoja, na sauti ya magurudumu ambayo yalikuwa pamoja na hivyo viumbe, na sauti ya tetemeko kubwa arithi.
14 Tad Tas Gars mani pacēla un mani aizņēma, un es gāju rūgts sava gara karstumā, bet Tā Kunga roka bija pār mani stipra.
Roho akaniinua juu na kunichukua, Nikaenda kwa uchungu katika hasira kali rohoni mwangu, kwa kuwa mkono wa Yahwe ulikuwa na nguvu ukigandamiza juu yangu!
15 Un es nonācu uz Telabību pie tiem aizvestiem, kas dzīvoja pie Ķebaras upes, un paliku tur, kur tie dzīvoja, un paliku tur viņu vidū septiņas dienas ļoti noskumis.
Hivyo nikaenda kwa watumwa huko Tel Abibu waliokuwa wakiishi karibu na Kebari Kanali, na niliishi miongoni mwao huko kwa mda wa miaka saba, kushinda kabisa katika mshangao.
16 Un pēc septiņām dienām Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
Kisha ikatokea baada ya siku saba kwamba neno la Yahwe likanijia, likisema,
17 Cilvēka bērns, Es tevi esmu licis par sargu Israēla namam, ka tev no Manas mutes būs klausīties to vārdu un viņiem no Manas puses piekodināt.
“Mwana wa adamu, nimekufanya uwe mwangalizi kwa ajili ya nyumba ya Israeli, hivyo sikiliza neno kutoka kinywani mwangu, na uwapatie onyo langu.
18 Kad Es saku uz bezdievīgo: tu mirdams mirsi, - un tu viņu nepamāci un nerunā, ka tu bezdievīgo atgriezi no viņa bezdievīgā ceļa un viņu paturi dzīvu, tad bezdievīgais nomirs savā noziegumā, bet viņa asinis Es prasīšu no tavas rokas.
Nitakaposema kwa waovu, 'Utakufa hakika' na usimuonye au kuzungumza onyo kwa waovu kuhusu matendo yao maovu hivyo anaweza kuishi-yule muovu atakufa kwa ajili ya dhambi yake, lakini nitaitaka damu yake kutoka kwenye mkono wako.
19 Bet kad tu bezdievīgo pamāci un viņš neatgriežas no savas bezdievības un no sava bezdievīgā ceļa, tad viņš nomirs savā noziegumā, bet tu savu dvēseli esi izglābis.
Lakini kama ukimuonya muovo, na asiuache uovu wake au kutoka matendo yake maovu, kisha atakufa kwa dhambi yake, lakini utaokoa maisha yako mwenyewe.
20 Un kad taisnais nogriežas no savas taisnības un dara ļaunu, tad Es viņam likšu piedauzīties, un tas mirs; kad tu viņu neesi pamācījis, tad viņš nomirs savos grēkos, un viņa taisnība, ko viņš darījis, netaps pieminēta, bet viņa asinis Es prasīšu no tavas rokas.
Kama mwenye haki ataicha haki yake na kutenda yasiyohaki, na nikaweka kizuizi mbele yake, atakufa. Kwasababu hukumuonya, atakufa katika dhambi yake, na sintokumbuka matendo ya haki aliyoyafanya, lakini nitaitaka damu yake kutoka kwenye mkono wako.
21 Bet kad tu taisno pamāci, ka tam taisnam nebūs grēkot, un viņš negrēko, tad viņš tiešām dzīvos, tāpēc ka tas ir tapis pamācīts, un tu savu dvēseli esi izglābis.
Lakini kama ukimuonya mwenye mtu mwenye haki kuacha kufanya dhambi halafu akaacha kutenda dhambi, ataishi hakika tangu alipo unywa; na utakuwa umeokoa maisha yako mwenyewe.”
22 Un Tā Kunga roka bija tur uz manis, un Viņš uz mani sacīja: celies, ej ārā ielejā, un tur Es ar tevi runāšu.
Hivyo mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu huko, akanambia, “Inuka! nenda uwandani, na nitaongea na wewe huko!”
23 Tad es cēlos un izgāju ielejā, un redzi, tur stāvēja Tā Kunga godība, tā kā tā godība, ko es biju redzējis pie Ķebaras upes. Un es nokritu uz savu vaigu.
Nikainuka na kwenda uwandani, na huko utukufu wa Yahwe ulisimama, kama utukufu ambao niliokuwa nimeuona karibu na Kebari Kanali; hivyo nikaanguka kifudifudi.
24 Tad gars nāca iekš manis un mani cēla kājās, un Viņš runāja uz mani un sacīja uz mani: ej, ieslēdzies savā namā.
Roho akaja kwangu na kusimama juu ya miguu yangu; akaongea na mimi, na kunambia, “Nenda na jifungie mwenyewe kwenye nyumba yako,
25 Un redzi, tu cilvēka bērns, tev apliks virves, un tevi ar tām saistīs, un tu no tām nevarēsi noiet viņu vidū.
kwa sasa, mwana wa adamu, wataweka kamba juu yako na kukufunga ili usiweze kutoka nje miongoni mwao.
26 Un Es tavai mēlei likšu pielipt pie zoda, un tu paliksi mēms un tiem nebūsi par pārmācītāju; jo tie ir atkāpēju suga.
Nitaufanya ulimi wako ugandamane na paa ya mdomo wako, ili kwamba uwe kimya, na hutaweza kuwakemea, kwa kuwa ni nyumba ya waasi.
27 Bet kad Es ar tevi runāšu, tad Es atdarīšu tavu muti, un tev būs sacīt uz tiem: tā saka Tas Kungs Dievs! Kas klausa, lai klausa, un kas neklausa, lai neklausa; jo tie ir atkāpēju suga.
Lakini nitakapozungumza na wewe, nitafungua mdomo wako hivyo utawaambia, 'Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.' Yeye asikiaye na asikie; yeye asiyesikia na asisikie, kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi!”