< Ecechiela 16 >

1 Atkal Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Cilvēka bērns, dari Jeruzālemei zināmas viņas negantības un saki:
“Mwanadamu, mwambie Yerusalemu kuhusu machukizo yake,
3 Tā saka Tas Kungs Dievs uz Jeruzālemi: tavs rads un tava dzimtene ir no Kanaāna zemes, tavs tēvs bija Amorietis, un tava māte Etiete.
na useme, 'Bwana Yahwe asema hivi kwa Yerusalemu: Mwanzo wako na kuzaliwa kwako kulichukua nafasi katika nchi ya Kanaani; baba yako alikuwa Mwamori, na mama yako alikuwa Mhiti.
4 Un tava piedzimšana (bija tāda): tai dienā, kad tu dzimi, tava naba netapa apgraizīta, un ar ūdeni tu netapi mazgāta, ka kļūtu šķīsta, nedz ar sāli berzta, nedz autos ietīta.
Katika siku ya kuzaliwa kwako, mama yako hakukata kitovu chako, wala hakukuosha kwenye maji usafishwe au kukuchua kwa chumvi, wala kukusitiri nguo.
5 Neviena acs par tevi neapžēlojās, ka kaut kā žēlodama tevi būtu kopusi, bet tevi nometa laukā; tik nicināta bija tava dvēsele tai dienā, kad tu dzimi.
Hakuna jicho lililokuhurumia kufanya haya mambo kwa ajili yako, kukuhurumia wewe. Katika siku uliyozaliwa, kwa kuchukiwa uhai wako, ulitupwa nje uwandani.
6 Kad Es tev garām gāju, tad Es tevi redzēju tavās asinīs saminamu, un sacīju uz tevi tavās asinīs: dzīvo! Tiešām, Es sacīju uz tevi tavās asinīs: dzīvo!
Lakini nilipita karibu nawe, nalikuona ukijinyonga kwa damu yako mwenyewe, “kubaki hai!”
7 Es tevi ļoti esmu vairojis, kā augļus tīrumā, un tu esi iezēlusi un uzaugusi un ienākusies lielā skaistumā. Tavas krūtis ir piebriedušas un tavi mati paauguši; bet tu biji kaila un plika.
Nimekufanya ukue kama mmea katika shamba. Umeongezeka na kuwa mkubwa, na umekuwa mzuri wa wazuri. Maziwa yako yakawa thabiti, na nywele zako zikawa nyingi, ingawa ulikuwa uchi huna nguo.
8 Un kad Es tev garām gāju un tevi redzēju, raugi, tad bija tas laiks tevi iemīlēt. Tad Es Savus spārnus izpletu pār tevi un apsedzu tavu kailumu un tev zvērēju un nācu ar tevi derībā, saka Tas Kungs Dievs, un tu Man piederēji.
Nilipita karibu nawe tena, na nalikuona. Tazama! wakati wa upendo umefika kwako, hivyo nikatandika joho langu juu yako na kufunika uchi wako. Kisha nikaapa kwako na kukuleta kwenye agano-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-na ukawa wangu.
9 Un Es tevi mazgāju ar ūdeni un noskaloju tavas asinis no tevis un svaidīju tevi ar eļļu.
Basi nilikuosha kwa maji na kukufuta damu yako, na kukupaka mafuta.
10 Es tevi arī apģērbu ar izrakstītām drēbēm un tev apvilku pasarkanas kurpes, un tev apjozu šķīstu audekli un tevi apsedzu ar zīdu.
Nilikuvalisha nguo ya taraza na kukuwekea makuzi ya ngozi kwenye miguu yako. Nilikufungia kwa kitani kizuri na kukufunika kwa hariri.
11 Un Es tevi skaisti izpušķoju un liku gredzenus ap tavām rokām un ķēdi ap tavu kaklu.
Kisha nalikupamba kwa vito, na kukuvalisha vikuku kwenye mikono yako, na mkufu kwenye shingo yako.
12 Es liku arī pieres sprādzi pie tava vaiga un ausu sprādzi pie tavām ausīm un goda kroni uz tavu galvu.
Nalitia hazama katika pua yako na hereni katika masikio yako, na taji nzuri juu ya kichwa chako.
13 Tā tu biji izgreznota ar zeltu un sudrabu, un tavas drēbes bija dārgs audeklis un zīds un izrakstīts darbs. Tu ēdi kviešus un medu un eļļu, un tu biji ļoti skaista, un tev izdevās labi, un tu tiki ķēniņa godā.
Hivyo ulipambwa kwa dhahabu na fedha, na ulivaa kitani safi, hariri, na ngu za taraza; ulikula unga mzuri, asali, na mafuta, na ulikuwa mzuri sana, na ukawa malkia.
14 Un slava no tevis izgāja pa pagānu tautām par tavu skaistumu, jo tas bija pilnīgs caur Manu glītumu, ko Es tev biju pielicis, saka Tas Kungs Dievs.
Umaarufu wako ukaenda miongoni mwa mataifa kwa sababu ya uzuri wako, kwa kuwa ulikuwa mkamili katika ukuu niliokuwa nimekupa-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
15 Bet tu biji droša ar savu skaistumu un paļaudamās uz savu slavu tu paliki par mauku un padevies maucībā ikkatram, kas gāja garām, un viņam piederēji.
Lakini ulitumaini uzuri wako, na ukafanya kama kahaba kwa sababu ya umaarufu wako; umeyamwaga matendo yako ya kikahaba kwa kila aliyepita karibu, ili kwamba uzuri wako uwe wake.
16 Un tu ņēmi no savām drēbēm un taisīji sev raibus elku altārus un maukoji tur, kā vēl nav ne bijis, nedz būs.
Kisha ulichukua nguo zako na pamoja nao umepatengeneza mahali pa juu kwa ajili yako palipambwa kwa rangi tofauti tofauti, na hapo ulifanya kama kahaba. Hii haitatokea. Wala haitatokea.
17 Tu arī ņēmi Mana zelta un Mana sudraba jaukos glītumus, ko Es tev biju devis, un taisīji sev vīru tēlus un maukoji ar tiem.
Umevichukua vito vizuri vya dhahabu na fedha nilizowapatia, na umejitengenezea sanamu za wanaume, na umefanya pamoja nao ukahaba afanyao.
18 Un tu ņēmi savas izrakstītās drēbes un tās tiem uzsedzi, un liki Manu eļļu un Manas kvēpināmās zāles tiem priekšā.
Ulichukua nguo zako za tarizi na kuwafunika, na kuwawekea mafuta yangu na manukato mbele yao.
19 Un Manu maizi, ko Es tev devu, miltus un eļļu un medu, ar ko Es tevi ēdināju, to arīdzan tu viņiem cēli priekšā par saldu smaržu. Tā tas noticis, saka Tas Kungs Dievs.
Mkate wangu niliokupatia-ulitengenezwa kwa unga mzuri, mafuta, na asali-umeviweka mbele yao kwa ajili ya kunukia harufu nzuri, kwa kuwa hivi ndivyo ilivyotokea-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
20 Tu arī ņēmi savus dēlus un savas meitas, ko tu man biji dzemdējusi, un tos tiem upurēji par barību. Tā kā vēl par maz būtu, maucību vien dzīt,
Kisha uliwachukua watoto wako ulionizalia, na kuwatoa sadaka kwa picha ili waliwe kama chakula. Je! matendo yako ya kikahaba ni kitu kidogo?
21 Tu arī Manus bērnus kāvi un tos nodevi, un tiem liki priekš viņiem caur uguni iet.
Umewachinja watoto wangu na kuwatupia kwenye moto.
22 Un visā savā negantībā un savā maucībā tu nepieminēji savas jaunības dienas, kad tu biji plika un kaila un saminama savās asinīs.
Katika machukizo yako yote na matendo yako ya kikahaba hukutafakari kuhusu siku za ujana wako, wakati ulipokuwa uchi na bila nguo kama kama umepigwa katika damu.
23 Un notika pēc visas tavas bezdievības, - (Vai! Vai tev! saka Tas Kungs Dievs.)
Ole! Ole wako! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-kwahiyo, zaidi ya hapo kwa haya maovu yote,
24 Tu sev taisīji kalnu altārus un elku altārus ikkatrā ielā.
umejijengea chumba cha chini kwa chini katika kila sehemu ya watu wengi.
25 Un pie visām ceļu jūtīm(sākumiem) tu uztaisīji savus elku altārus, un sagānīji savu skaistumu; tu izpleti savas kājas pret visiem, kas gāja garām, un dzini lielu maucību.
Umepajenga mahali pako palipoinuka kwenye kichwa cha kila njia na kuunajisi uzuri wako, kwa kuwa umeutoa mwili wako kwa kila mtu apitaye karibu na umefanya matendo mengi zaidi ya ukahaba.
26 Tu maukojies ar Ēģiptes bērniem, saviem kaimiņiem, kas lieli miesā un tu vairoji savu maukošanu, Mani kaitināt.
Umetenda kama kahaba pamoja na Wamisri, tamaa ya jirani zako, na umetenda matendo mengi zaidi ya kikahaba, ili kuchochea hasira yangu.
27 Redzi! Tad Es Savu roku izstiepu pret tevi un atrāvu Savu nospriesto tiesu un tevi nodevu tavām ienaidniecēm, Fīlistu meitu prātam, kas tava negodīga ceļa dēļ kaunējās.
Tazama! Nitakunyooshea mkono wangu na kupunguza chakula chako. Nitauchukua uhai wako juu ya adui zako, binti za Wafilisti, ambao walikuwa na haya ya tabia yako ya uchafu.
28 Un tad tu maukojies ar Asura bērniem, jo tu nevarēji gan dabūt; tiešām, tu ir ar tiem maukodamās nevarēji gan dabūt.
Umetenda kama kahaba pamoja na Waashuru kwa sababu hukuweza kuridhika. Umetenda kama kahaba na bado hukuridhika.
29 Bet tu savu maukošanu vairoji līdz veikalnieku zemei, līdz Kaldejai, arī ar to tev nebija gan.
Umefanya matendo mengi zaidi ya kikahaba katika nchi ya jamii ya wana maji wa Ukaldayo, na wala hukuridhika kwa hayo.
30 Tik kārīga ir tava sirds, saka Tas Kungs Dievs, ka tu tādas lietas dari, proti lielas maukas darbu;
Jinsi moyo wako ulivyo dhaifu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-kwamba utaweza kuyafanya haya mambo yote, matendo ya aibu ya kikahaba?
31 Ka tu savus kalna altārus taisīji pie visām ceļu jūtīm un savus elku altārus taisīji ikkatrā ielā, un nebija kā cita mauka, smādēdama maukas algu;
Mmepajenga mahali penu pa juu kwenye kichwa cha kila mtaa na kufanya chumba cha chini kwa chini katika kila sehemu ya watu wengi. Bado hukuwa kama kahaba kwa sababu ulikataa kulipwa ujira.
32 Tā kā laulības pārkāpēja sieva, kas sava vīra vietā pielaiž svešus.
Wewe mwanamke mzinifu, wewe upokeaye wageni badala ya mume wako.
33 Visām citām maukām top dota alga, bet tu savu algu dod visiem saviem drauģeļiem un tos apdāvini, lai tie visapkārt pie tevis nāk, ar tevi maukoties.
Watu hulipa kwa kila kahaba, lakini wewe huwapa mshara wako wapenzi wako wote na kuwapa rushwa ili waje kwako pande zote kwa matendo yako ya kikahaba.
34 Tā notiek pie tevis citādi, nekā pie citām sievām tavā maucībā, tādēļ ka neviens tev nedzenās pakaļ maukoties; tu piedāvā naudu, bet tev naudas nedod; citāda tu esi tapusi.
Hivyo kuna tofauti kati yako na hao wanawake wengine, kwa kuwa hakuna hata mmoja ajaye kwako kukuuliza kulala pamoja nao. Badala yake, unawalipa. Hakuna akulipaye.
35 Tādēļ, tu mauka, klausi Tā Kunga vārdu.
Kwa hiyo, wewe kahaba, lisikilize neno la Yahwe.
36 Tā saka Tas Kungs Dievs: Tāpēc ka tavs kauns izgāzts un tavs kailums atklāts tavā maucībā ar taviem drauģeļiem un ar visiem taviem negantiem elkiem, ka tu esi izlējusi savu bērnu asinis, ko tiem esi devusi,
Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umemwaga tamaa yako na kuonyesha sehemu zako za siri kupitia matendo yako ya ukahaba pamoja na wapenzi wako wote pamoja na sanamu zako za chukizo, na kwa sababu ya damu ya watoto wako uliyowapatia sanamu zako,
37 Tādēļ redzi, Es sapulcināšu tavus drauģeļus, ar ko tu esi jaukusies, un visus, ko tu esi mīlinājusi, līdz ar visiem, ko tu esi ienīdējusi, un Es tos sapulcināšu visapkārt pret tevi, un atsegšu priekš viņiem tavu kaunu, ka tiem būs redzēt visu tavu plikumu.
kwa hiyo, tazama! Nitawakusanya wapenzi wako wote uliokutana nao, wote ambao uliowapenda na wote uliowachukia, na nitawakusanya juu yako kila upande. Nitawaonyesha wazi sehemu zako za siri hivyo wanaweza kuona uchi wako wote.
38 Es tevi sodīšu pēc laulības pārkāpēju un asins izlējēju tiesas, un izliešu tavas asinis bargās dusmās.
Kwa kuwa nitakuadhibu kwa uasherati na kumwaga damu, na nitaleta juu yako damu ya hasira yangu na hasira kali.
39 Un Es tevi nodošu viņu rokā, un tie nolauzīs tavus kalna altārus un apgāzīs tavus elku altārus un tev novilks tavas drēbes un tev atņems tavus dārgos greznumus un tevi atstās pliku un kailu.
Nitakutia kwenye mikono yao hivyo watakutupa chini kwenye chumba cha chini kwa chini na kupavunja mahali pako pa juu na watakuvua nguo zako na kuchukua vito vyako vyote. watakuacha uchi bila nguo.
40 Un tie sasauks pret tevi ļaužu pulku un tevi nomētās ar akmeņiem un tevi sakaus ar saviem zobeniem.
Kisha wataleta kundi la watu juu yako na kukupiga kwa mawe, na kukukata kwa panga zao.
41 Un tavus namus tie sadedzinās ar uguni un tev nesīs tiesu priekš daudz sievu acīm. Es tavai maucībai darīšu galu, ka tu vairs nepiedāvāsi maukas algu.
Watachoma nyumba zako na kufanya matendo mengi ya adhabu juu yako kwenye uso wa wanawake wengi, kwa kuwa nitakusimamisha ukahaba wako, na hutawalipa tena wapenzi wako.
42 Un Es izdarīšu Savu bardzību pret tevi, ka Mana karstā dusmība atstājās no tevis un Es tieku pie miera un vairs nedusmojos.
Kisha nitatuliza ghadhabu yangu juu yako; hasira yangu itakuacha, kwa kuwa nitaridhika, na sitakuwa na hasira tena.
43 Tāpēc ka tu neesi pieminējusi savas jaunības dienas un Mani ar visu to kaitinājusi, redzi, tad ir Es metu tavus grēkus uz tavu galvu, saka Tas Kungs Dievs; lai tu vairs nepadodies bezkaunībai pie visām tavām negantībām.
Kwa sababu hukuzikumbuka siku za ujana wako na kunifanya nitetemeke kwa hasira kwa sababu ya haya mambo yote, kwa hiyo, tazama! Mimi mwenyewe nitashusha kwa kichwa chako mwenyewe adhabu kwa kile ulichokifanya-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo. Hutaongeza ukahaba kwa matendo yako yote ya machukizo?
44 Redzi, ikviens, kas runā līdzībās, par tevi sacīs: kāda māte, tāda meita.
Tazama! Kila mtu azungumzaye Mithali kuhusu wewe atasema, “Kama alivyo, hivyo pia ni binti yake.”
45 Tu esi savas mātes meita, kas apnikusi savu vīru un savus bērnus, un tu esi savu māsu māsa, kas apnikušas savus vīrus un savus bērnus. Jūsu māte ir Etiete un jūsu tēvs Amorietis.
Wewe ni binti wa mama yako, amchukiaye mume wake na mtoto wake, na wewe ni dada wa dada zako aliyewachukia waume zao na watoto wao. Mama yako alikuwa Mhiti, na baba yako alikuwa Mwamori.
46 Tava vecākā māsa ir Samarija ar savām meitām, kas tev dzīvo pa kreiso roku, un tava jaunākā māsa, kas dzīvo pa tavu labo roku, tā ir Sodoma ar savām meitām.
Dada yako mkubwa alikuwa Samaria na binti zake walikuwa wale waliokuwa wakiishi kaskazini, wakati dada yako mdogo alikuwa ni yule aliyekuwa akiishi kusini mwako, ambaye ni, Sodoma na binti zake.
47 Bet tu neesi staigājusi viņu ceļos un neesi darījusi pēc viņu negantības tik mazu brīdi; tu esi palikusi niknāka pār viņām visos savos ceļos.
Hukuenenda katika njia zao na kuchukua tabia zao na matendo yao, lakini katika njia zako zote ulikuwa mbaya zaidi kuliko walivyokuwa wao.
48 Tik tiešām kā Es dzīvoju, saka Tas Kungs Dievs, Sodoma, tava māsa, līdz ar savām meitām tā nav darījusi, kā tu esi darījusi ar savām meitām!
Kama niishivyo- hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-dada yako Sodoma na binti zake, hawajafanya uovu mwingi kama wewe ulivyofanya na binti zako walivyofanya.
49 Redzi, šis bija tavas māsas Sodomas noziegums: lepnība un maizes pilnība un dzīve bez bēdām bija viņai un viņas meitām; bet nabagam un bēdīgam tā nesniedza roku.
Tazama! Hii ilikuwa dhambi ya dada yako Sodoma: Alikuwa na kiburi katika mafanikio yake, uzembe na kutojali kuhusu chochote. Hakuitia nguvu mikono ya maskini na watu wahitaji.
50 Bet tie bija lepni un darīja negantības manā priekšā; to redzēdams Es tos esmu atmetis.
Alikuwa na kiburi na kufanya machukizo mbele yangu, hivyo niliwatoa kama nilivyoona.
51 Arī Samarija ne uz pusi tik daudz nav grēkojusi kā tu, un tu esi darījusi vairāk negantības nekā viņa, tā ka tu savu māsu esi taisnojusi ar visām savām negantībām, ko tu darījusi.
Samaria hakufanya hata nusu ya dhambi zako; badala yake, umefanya machukizo mengi kuliko walivyofanya, na umewonyesha hayo dada zako walikuwa bora kuliko wewe kwa sababu ya machukizo yako uyafanyayo!
52 Tad tu nesi arī savu kaunu, kad esi aizstāvējusi savas māsas ar saviem grēkiem, jo tu negantākus esi darījusi, nekā tās; viņas ir taisnākas nekā tu. Tāpēc kaunies tu arī un nesi savu kaunu, tādēļ ka tu esi taisnojusi savas māsas.
Hasa wewe, umeonyesha aibu yako mwenyewe; kwa njia hii umewaonyesha dada zako walikuwa bora kuliko wewe, kwa sababu ya dhambi ulizozifanya katika hayo machukizo yako yote. Dada zako sasa wanaonekana bora kuliko wewe. Hasa wewe, umeonyesha aibu yako mwenyewe, kwa njia hii umewaonyesha kwamba dada zako walikuwa bora kuliko wewe.
53 Bet Es novērsīšu viņu cietumu, Sodomas un viņas meitu cietumu, un Samarijas un viņas meitu cietumu, un tavu cietumnieku cietumu viņu starpā,
Kwa kuwa nitarudisha masalia wao-masalia ya Sodoma na binti zake, na masalia ya Samaria na binti zake; lakini masalia yako yatakuwa miongoni mwao.
54 Lai tu nesi savu kaunu un kaunies par visu, ko esi darījusi, viņiem par iepriecināšanu.
Kwa kufikiria haya mambo utaonyesha aibu yako; utakuwa mnyenyekevu kwa sababu ya kila kitu ulichokifanya, na kwa njia hii utakuwa faraja kwao.
55 Kad tavas māsas, Sodoma un viņas meitas, atgriezīsies pie savas vecās būšanas, un Samarija ar savām meitām atgriezīsies pie savas vecās būšanas, tad ir tu ar savām meitām atgriezīsies pie savas vecās būšanas.
Hivyo dada yako Sodoma na binti zake watarudishwa kwenye hali yao ya zamani, na Samaria na binti zake watarudishwa kwenye mashamba yao ya zamani. Kisha wewe na binti zako watarudishwa kwenye hali yako ya kawaida.
56 Un tava māsa Sodoma nebija par valodu tavā mutē tavas lepnības laikā,
Sodoma dada yako hakutajwa hata kwa kinywa chako katika siku ulipojiinua,
57 Pirms tava bezdievība tapa atklāta, kā tanī laikā, kad tevi pulgoja Sīrijas meitas un visas apkārtējās Fīlistu meitas tevi nievāja no visām pusēm.
kabla uovu wako haujafunuliwa. Lakini sasa wewe ni kitu cha dharau kwa binti za Edomu na binti wote wa Wafilisti waliomzunguka. Watu wote wanakudharau wewe.
58 Tava bezkaunība un tavas negantības tev jānes, saka Tas Kungs.
Utaonyesha aibu yako na matendo yako ya machukizo! -hivi ndivyo Yahwe asemavyo!
59 Jo tā saka Tas Kungs Dievs: Es tev darīšu tāpat, kā tu esi darījusi, kas esi nicinājusi zvērestu un lauzusi derību.
Bwana Yahwe asema hivi: Nitashughulika na wewe kama unavyostahili, wewe uliyedharau kiapo chako kwa kulivunja agano.
60 Bet Es pieminēšu Eavu derību, ko ar tevi esmu derējis tavas jaunības dienās, un Es celšu ar tevi mūžīgu derību.
Lakini mimi mwenyewe nitalikumbuka agano langu nililolifanya pamoja nawe katika siku za ujana wako, nitaliimarisha agano la milele pamoja na wewe.
61 Tad tu pieminēsi savus ceļus, un kaunēsies, kad uzņemsi savas lielās un mazās māsas, jo Es tev tās došu par meitām, lai tās gan nav no tavas derības.
Kisha utazikumbuka njia zako na kuona aibu utakapo wapokea dada zako wakubwa na dada zako wadogo. Nitakupatia wao kama binti zako, lakini kwa sababu ya agano lako.
62 Jo Es apstiprināšu Savu derību ar tevi, un tu samanīsi, ka Es esmu Tas Kungs,
Mimi nitaweka imara agano lango pamoja nawe, nawe utajua yakwamba mimi ni Yahwe.
63 Lai tu to piemini un kaunies, un savu muti vairs neatdari sava kauna dēļ, kad Es tev visu piedošu, ko tu esi darījusi, saka Tas Kungs Dievs.
Kwa sababu ya haya mambo, utakumbuka kila kitu na kuona aibu, hutafungua mdomo wako tena kuongea kwa sababu ya aibu yako, wakati nitakapokusamehe kwa yale yote uliyoyafanya-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'

< Ecechiela 16 >