< Otra Mozus 7 >

1 Tad Tas Kungs sacīja uz Mozu: redzi, Es tevi Faraonam esmu licis par Dievu, un Āronam, tavam brālim, būs būt tavam pravietim.
Kisha Bwana akamwambia Mose, “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu kwa Farao, naye Aroni, huyo ndugu yako, atakuwa nabii wako.
2 Tev būs runāt visu, ko es tev pavēlēšu, un Āronam tavam brālim, būs runāt uz Faraonu, ka tam būs atlaist Israēla bērnus no savas zemes.
Utasema kila kitu nitakachokuagiza, naye Aroni ndugu yako atamwambia Farao awaachie Waisraeli watoke katika nchi yake.
3 Un es apcietināšu Faraona sirdi un vairošu savas zīmes un savus brīnumus Ēģiptes zemē.
Lakini nitaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu. Ingawa nitazidisha ishara na maajabu katika Misri,
4 Un Faraons jums neklausīs, un Es likšu Savu roku uz Ēģiptes zemi un izvedīšu Savu pulku, Savus ļaudis, Israēla bērnus, no Ēģiptes zemes caur lielām sodībām.
hatawasikiliza. Kisha nitaupeleka mkono wangu juu ya Misri, na kwa matendo makuu ya hukumu nitavitoa vikundi vyangu, watu wangu Waisraeli.
5 Un ēģiptiešiem būs atzīt, ka Es esmu Tas Kungs, kad Es Savu roku izstiepju pār Ēģiptes zemi un Israēla bērnus izvedu no viņu vidus.
Nao Wamisri watajua kuwa Mimi ndimi Bwana nitakapounyoosha mkono wangu dhidi ya Misri na kuwatoa Waisraeli watoke humo.”
6 Tad Mozus un Ārons darīja, kā Tas Kungs tiem bija pavēlējis, - tā tie darīja.
Mose na Aroni wakafanya sawasawa kama vile Bwana alivyowaagiza.
7 Un Mozus bija astoņdesmit gadus vecs un Ārons astoņdesmit un trīs gadus vecs, kad tie runāja uz Faraonu.
Mose alikuwa na umri wa miaka themanini na Aroni alikuwa na umri wa miaka themanini na mitatu walipozungumza na Farao.
8 Un Tas Kungs runāja uz Mozu un Āronu un sacīja: kad Faraons ar jums runās un sacīs, rādiet savus brīnumus, tad tev būs Āronam sacīt:
Bwana akamwambia Mose na Aroni,
9 Ņem savu zizli un nomet to Faraona priekšā, ka tas top par čūsku.
“Farao atakapowaambia, ‘Fanyeni muujiza,’ basi mwambie Aroni, ‘Chukua fimbo yako na uitupe chini mbele ya Farao,’ nayo fimbo itakuwa nyoka.”
10 Tad Mozus un Ārons gāja pie Faraona un darīja tā, kā Tas Kungs bija pavēlējis; un Ārons nometa savu zizli Faraona priekšā un viņa kalpu priekšā, un tas tapa par čūsku.
Ndipo Mose na Aroni wakaenda kwa Farao wakafanya sawasawa kama vile Bwana alivyoagiza. Aroni akaitupa ile fimbo yake chini mbele ya Farao na maafisa wake, nayo ikawa nyoka.
11 Tad Faraons sauca tos gudros un tos burvjus, un Ēģiptes burvji darīja arīdzan tā ar savām buršanām.
Farao naye akawaita watu wenye maarifa na wachawi na waganga wa Kimisri, nao wakafanya vivyo hivyo kwa siri ya uganga wao.
12 Un ikviens nometa savu zizli, un tie tapa par čūskām, bet Ārona zizlis aprija viņu zižļus.
Kila mmoja alitupa fimbo yake chini, nayo ikawa nyoka. Lakini fimbo ya Aroni ikazimeza zile fimbo zao.
13 Tomēr Faraona sirds apcietinājās, tā ka viņš tiem neklausīja, kā Tas Kungs bija sacījis.
Hata hivyo moyo wa Farao ukawa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na Aroni, sawasawa kama vile Bwana alivyokuwa amesema.
14 Tad Tas Kungs sacīja uz Mozu: Faraona sirds ir cieta, viņš liedzās, tos ļaudis atlaist.
Kisha Bwana akamwambia Mose, “Moyo wa Farao ni mgumu, anakataa kuwaachia watu kuondoka.
15 Ej rītu pie Faraona; redzi, viņš ies ārā pie ūdens; ej viņam pretim upes malā, un ņem savā rokā to zizli, kas par čūsku bijis pārvērsts,
Nenda kwa Farao asubuhi wakati anapokwenda mtoni. Ngoja ukingoni mwa Naili ili uonane naye, na uchukue mkononi mwako fimbo ile iliyobadilishwa kuwa nyoka.
16 Un saki uz viņu: Tas Kungs, tas Ebreju Dievs, mani sūtījis pie tevis sacīdams: atlaid Manus ļaudis, ka tie Man kalpo tuksnesī! - Bet redzi, tu līdz šim neesi klausījis.
Kisha umwambie, ‘Bwana, Mungu wa Waebrania, amenituma nikuambie: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu jangwani. Lakini hadi sasa hujasikiliza.
17 Tā saka Tas Kungs: pie tā tev būs atzīt, ka Es esmu Tas Kungs: redzi, es sitīšu ar to zizli, kas manā rokā, pār upes ūdeņiem, tad tie pārvērtīsies par asinīm.
Hili ndilo Bwana asemalo: Kwa hili utajua kuwa Mimi ndimi Bwana: Fimbo iliyo mkononi mwangu nitapiga nayo maji ya Naili nayo yatabadilika kuwa damu.
18 Un tās zivis, kas upē, nomirs, tā ka upe smirdēs un ēģiptiešiem riebsies ūdeni dzert no upes.
Samaki waliomo katika Mto Naili watakufa, nao mto utanuka vibaya, Wamisri hawataweza kunywa hayo maji yake.’”
19 Un Tas Kungs sacīja uz Mozu: Saki Āronam: ņem savu zizli un izstiep savu roku pār Ēģiptes ūdeņiem un pār viņu strautiem un pār viņu ezeriem un pār visiem viņu ūdens krājumiem, ka tie pārvēršās par asinīm; un asinis būs visā Ēģiptes zemē, koku un akmeņu traukos.
Bwana akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Chukua ile fimbo yako unyooshe mkono wako juu ya maji ya Misri, juu ya chemchemi na mifereji, juu ya madimbwi na mabwawa yote,’ navyo vitabadilika kuwa damu. Damu itakuwa kila mahali katika Misri, hata kwenye vyombo vya miti na vya mawe.”
20 Tad Mozus un Ārons darīja tā, kā Tas Kungs bija pavēlējis, un viņš pacēla to zizli un sita to upes ūdeni, Faraonam redzot un viņa kalpiem redzot tad viss ūdens upē pārvērtās par asinīm.
Mose na Aroni wakafanya kama vile Bwana alivyokuwa amewaagiza. Akainua fimbo yake machoni pa Farao na maafisa wake na kuyapiga maji ya Mto Naili, na maji yote yakabadilika kuwa damu.
21 Un zivis upē apmira, un upe smirdēja, un ēģiptieši nevarēja dzert to ūdeni no upes, un visā Ēģiptes zemē bija asinis.
Samaki katika Mto Naili wakafa, nao mto ukanuka vibaya sana kiasi kwamba Wamisri hawakuweza kunywa maji yake. Damu ilikuwa kila mahali katika nchi ya Misri.
22 Un Ēģiptes burvji darīja tāpat ar savu buršanu, tā ka Faraona sirds apcietinājās, un viņš tiem neklausīja, kā Tas Kungs bija sacījis.
Lakini waganga wa Misri kwa kutumia siri ya uganga wao wakafanya vivyo hivyo, nao moyo wa Farao ukawa mgumu, hakuwasikiliza Mose na Aroni, kama vile Bwana alivyokuwa amesema.
23 Un Faraons griezās atpakaļ un nāca savā namā un arī to neņēma pie sirds.
Badala yake, Farao akageuka, akaenda kwenye jumba lake la kifalme, wala hakulitia hili moyoni.
24 Bet visi ēģiptieši raka ap upi pēc ūdens, ko dzert, jo no ūdens upē nevarēja dzert.
Nao Wamisri wote wakachimba kandokando ya Mto Naili kupata maji ya kunywa, kwa sababu hawakuweza kunywa maji ya mto.
25 Un tā pagāja pilnas septiņas dienas, kamēr Tas Kungs upi bija sitis.
Zilipita siku saba baada ya Bwana kuyapiga maji ya Mto Naili.

< Otra Mozus 7 >