< Otra Mozus 5 >

1 Un pēc tam Mozus un Ārons gāja un sacīja uz Faraonu: tā saka Tas Kungs, Israēla Dievs: atlaid manus ļaudis, ka tie man svētkus tur tuksnesī.
Baada ya mambo haya kutokea, Musa na Aruni walienda kwa Farao na kumwambia, ““Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli anasema: 'Waache watu wangu waende, ili wapate kunifanyia karamu jangwani.'”
2 Bet Faraons sacīja: kas tas tāds Kungs, kā balsij man būs klausīt un Israēli atlaist? Es To Kungu nepazīstu, un Israēli arī neatlaidīšu.
Farao akasema, “Yahwe ni nani? Kwa nini mimi nisikiliz sauti yake na kuwaacha Israeli waende? Mimi simjui Yahwe; na la zaidi, sitawaacha Israeli waende.”
3 Tad tie sacīja: tas Ebreju Dievs mūs ir sastapis, lai mēs ejam treju dienu gājumu tuksnesī, upurēt Tam Kungam, savam Dievam, lai Viņš pār mums nenāk ar mēri vai ar zobenu.
Wakasema, “Mungu wa Waebrania amekutana nasi. Tuache twende safari jangwani kwa siku tatu ili tutoe sadaka kwa Yahwe Mungu wetu ili asituadhibu kwa mapigo au kwa upanga.”
4 Tad Ēģiptes ķēniņš uz tiem sacīja: jūs, Mozus un Ārons, - kam jūs tos ļaudis atturat no viņu darbiem? Ejat pie savas kalpošanas!
Lakini mfalme wa Misri aliwaambia, “Musa na Aruni, kwa nini mnawatoa watu kazini mwao? Nendeni kazini kwenu.”
5 Vēl Faraons sacīja: redzi, ļaužu tai zemē tā jau daudz, un jūs tos vēl gribat atturēt no viņu kalpošanas?
Pia alisema, “Sasa kuna Waebrania wengi nchini mwetu, na ninyi mnawafanya waache kazi zao.”
6 Un Faraons tai dienā ļaužu uzraugiem un virsniekiem pavēlēja un sacīja:
Siku ile ile, Farao alitoa amri kwa wasimamizi na wanyapara wa wale watu. Akasema,
7 Jums turpmāk nebūs tiem ļaudīm dot salmus pie ķieģeļu taisīšanas, kā vakar un aizvakar; tiem pašiem būs iet un sev salmus meklēt.
“Tofauti na ilivyokuwa mwanzo, “Tofauti ni ilivyokuwa awali, msiwapatie tena watu majani ya kutengenezea tofali. Waacheni wao waende kujitafutia majani wenyewe.
8 Un to ķieģeļu pulku, ko tie citkārt taisījuši, jums tiem tā pat būs uzlikt, jums no tiem neko nebūs atraut; jo tie ir bez darba, tādēļ tie brēc un saka: iesim, upurēsim savam Dievam!
Ingawa wanapaswa kuleta hesabu sawa ya matofali watakayotengeneza kama ilivyokuwa awali. Msipokee pungufu, kwasababu wao ni wavivu. Ndiyo maana wanapiga kelele na kusema, 'turuhusu tuende tukamtolee sadaka Mungu wetu.'
9 Lai tiem vīriem tā kalpošana top grūtāka, ka tiem ir darbs, un tie negriežās pie blēņām.
Waongezeeni kazi wanaume ili wasipate tena muda wa kusikiliza maneno ya upotoshaji.”
10 Tad tie ļaužu uzraugi un virsnieki izgāja un runāja uz tiem ļaudīm sacīdami: Tā saka Faraons: es jums vairs nedošu salmus.
Kwa hiyo viongozi wa watu na waangalizi wao waliwajulisha watu. Walisema, “Hivi ndivyo farao amesema: 'Sitawapeni tena malighafi.
11 Ejat paši, dabūjiet sev salmus kur dabūdami, bet no jūsu darba nekas netaps atlaists.
Nyinyi wenyewe mtaenda kutafuta majani popote mtakapopata, lakini kazi zenu hazitapunguzwa.
12 Tad tie ļaudis izklīda pa visu Ēģiptes zemi, ka tie rugājus sakrātu salmu vietā.
Basi watu hao wakatawanyika katika nchi yote ya Misri ili wapate kukusanya matakataka badala ya majani.
13 Un tie uzraugi tos spieda, sacīdami: Pabeidziet savu dienas darbu it tāpat, kā kad jums salmi bija.
Wasimamizi wao wakawahimiza na kusema, “Malizeni kazi zenu, sawa na wakati ule majani yalipokuwapo.”
14 Un Israēla bērnu uzraugi, ko Faraona virsnieki pār tiem bija iecēluši, tapa sisti, un uz tiem sacīja: kāpēc jūs neesat pabeiguši savu nospriesto darbu pie ķieģeļu dedzināšanas kā papriekš, ne vakar, ne šodien?
Wanyapara wa Farao wakawapiga wasimamizi wa Waisraeli, watu walewale ambao waliwaweka kuwa wasimamizi wa watumishi. Wale Wanyapara wakakazana kuwauliza, “Kwanini hamjatimiza idadi ya matofali inayotakiwa kwenu, siku ya jana na hata leo kama ambavyo mlifanya siku za nyuma?”
15 Tad Israēla bērnu uzraugi gāja un brēca uz Faraonu un sacīja: kāpēc tu saviem kalpiem tā dari?
Basi Wanyapara wa wana wa Israeli wakamwendea Farao na kumlilia. Walisema, “Kwanini unawatendea watumishi wako hivi?
16 Taviem kalpiem salmus nedod, un mums saka: taisāt ķieģeļus; un redzi, tavi kalpi top sisti, un tā ir tavas tautas vaina.
Sisi watumishi wako hatupewi majani tena, lakini bado wanatuambia sisi, “Tengenezeni tofali!' Sisi watumwa wako tunapigwa sasa, lakini kosa hilo ni la watu wako.”
17 Tad Faraons sacīja: jūs esat sliņķi, sliņķi jūs esat, tāpēc jūs sakāt, iesim, upurēsim Tam Kungam.
Lakini Farao akasema, “Ninyi ni wavivu! Wavivu ninyi! Ninyi mwasema, 'Turuhusu twende kumtolea Yahwe sadaka.'
18 Tad nu ejat pie darba, salmus jums nedos, bet ķieģeļu skaits jums jātaisa.
Sasa rudini kazini. Hamtapewa majani tena, lakini mnapaswa kutengeneza idadi ile ile ya matofali.”
19 Tad Israēla bērnu uzraugi redzēja, ka viņi postā, tāpēc ka sacīja: jums nebūs atraut no nospriestā dienas darba ķieģeļiem.
Wanyapara wa wana wa Israeli wakagundua ya kuwa walikuwa kwenye shida kubwa mara walipoambiwa, “Hamtapunguza kamwe idadi ya matofali mnayotengeneza kila siku.”
20 Un tie sastapa Mozu un Āronu, kas tur stāvēja tos sagaidīt, kad tie no Faraona izgāja,
Wakakutana na Musa na Haruni, waliokuwa wamesimama nje ya Ikulu wakati wanatoka kwa Farao.
21 Un sacīja uz tiem: lai Tas Kungs jūs redz un soda, tāpēc ka jūs mūsu smaržu esat smirdošu darījuši pie Faraona un pie viņa kalpiem, viņiem rokā dodami zobenu, mūs nokaut.
Wakawaambia Musa na Haruni, “Yahwe awatazame ninyi na kuwaadhibu, kwa sababu mmetufanya sisi kuonekana wabaya mbele ya Farao na watumishi wake. Mmetia upanga mikononi mwao ili watuue.”
22 Tad Mozus atgriezās pie Tā Kunga un sacīja: Kungs, kāpēc Tu šiem ļaudīm esi darījis ļaunu? Kāpēc tad Tu mani esi sūtījis?
Musa akarudi kwa BWANA na kumwambia, “Bwana, kwanini umewatenda mabaya watu hawa? Kwanini kunituma mimi kwanza?
23 Jo kamēr es esmu gājis pie Faraona, runāt Tavā vārdā, viņš tiem ļaudīm dara ļaunu, un Tu Savus ļaudis glābt neesi glābis.
Tangu nilipokuja kwa Farao kusema naye kwa jina lako, amewatenda mabaya watu hawa, wala hujawaokoa watu wako hata kidogo.”

< Otra Mozus 5 >