< Salamans Mācītājs 6 >
1 Ir ļaunums, ko es redzēju pasaulē, kas grūti panesams cilvēkiem:
Kuna ubaya ambao nimeuona chini ya jua, na ni mbaya kwa watu.
2 Vīrs, kam Dievs devis bagātību un mantu un godu, un viņam priekš savas sirds nekāda trūkuma nav no visa, kas tik viņam gribās, un Dievs viņam nedod vaļas no tā ēst, bet svešs vīrs to apēd; tā ir niecība un liels ļaunums.
Mungu anaweza kumpa mtu mali na utajiri na heshima kwa kiasi kwamba hakosi chochote anachokitamani mwenyewe, lakini kisha hampi uwezo wa kukifurahia. Badala yake mtu mwingine hutumia vitu vyake. Huu ni mvuke, teso baya.
3 Ja vīrs simts bērnus dzemdinātu un daudz gadus dzīvotu, un tam būtu garš mūžs, un viņa dvēsele nebautītu no tā labuma, un tam arī netiktu ne kapa vieta, tad es saku, ka nelaika(nedzīvi piedzimušam) bērnam labāki ir nekā tādam.
Kama mtu akizaa watoto mia moja na kuishi miaka mingi, ili kwamba siku za miaka yake ni nyingi, lakini kama moyo wake hautosheki kwa mema na hazikwi kwa heshima, kisha ninasema kwamba, mtoto aliyezaliwa akiwa amekufa ni bora kuliko alivyo.
4 Jo niecībā šis nāk, un tumsībā šis aiziet, un ar tumsību šī vārds top aizklāts.
Hata mtoto huyo amezaliwa bila faida na anapita katika giza, na jina lake linabaki limefichika.
5 Arī sauli šis nav redzējis nedz atzinis, - šim labāka dusa nekā tam.
Ingawa mtoto huyu haoni jua au kujua kitu chochote, ana pumziko ingawa mtu huyo hakupumzika.
6 Un jebšu tas divtūkstoš gadus dzīvotu un laba neredzētu, - vai visi nenoiet uz vienu vietu?
Hata kama mtu akiishi miaka elfu mbili lakini hajifunzi kufuraia vitu vizuri, aenda sehemu moja kama mtu yeyote yule.
7 Viss cilvēka pūliņš ir priekš viņa mutes, bet sirds no tā nepaēdās.
Ingawa kazi yote ya mtu ni kujaza mdomo wake, ila hamu yake haishibi.
8 Jo kas atlec gudram vairāk nekā ģeķim? Kas nabagam, kas zin staigāt cilvēku vidū?
Hakika ni faida gani aliyo nayo mwenye hekima kuliko mpumbavu? Ni faida gani aliyo nayo masikini hata kama anajua jinsi ya kutenda mbele ya watu?
9 Labāki ir acīm redzēt, nekā sirdī iekārot; arī tā ir niecība un grābstīšanās pēc vēja.
Ni bora kuridhika na kile ambacho macho hukiona kuliko kutamani kile ambacho hamu isiyo tulia inatamani, ambayo pia ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.
10 Kas notiek, tā vārds jau sen ir nosaukts, un ir nolikts, kas cilvēks būs, un viņš nespēj tiesāties ar to, kas ir stiprāks nekā viņš.
Chochote ambacho kimekuwepo, tayari kimekwisha kupewa jina lake, na vile mtu alivyo ni kama tayari amekwisha fahamika. Hivyo imekuwa haifai kugombana na yule ambaye ni muhukumu mkuu wa wote.
11 Tiešām, daudz vārdu ir, kas vairo niecību; un kas tur cilvēkam atlec?
Maneno mengi ambayo yanaongelewa, ndivyo yasiyo na maana yanaongezeka, kwa hiyo ni faida gani iliyopo kwa mwanadamu?
12 Jo kas zin, kas cilvēkam ir par labu šinī mūžā, ko viņš savā niecībā pavada kā ēnu? Jo kas cilvēkam var stāstīt, kas pēc viņa notiks pasaulē?
Kwa kuwa ni nani ajuaye nini kilicho kizuri kwa mtu katika maisha yake wakati wa ubatili wake, siku zilizo hesabika ambazo kwa hizo anapita kama kivuri? Ni nina anayeweza kumwambia mtu kile kitakacho kuja chini ya jua baada ya kupita?