< Piektā Mozus 2 >

1 Tad mēs griezāmies un gājām uz tuksnesi pa niedru jūras ceļu, kā Tas Kungs uz mani bija runājis, un gājām ap Seīra kalniem daudz dienas.
Kisha tuligeuka na kuanza safari kuelekea jangwani kwa njia ya Bahari ya Mianzi, kama Yahwe alivyosema nami, tulienda kuzunguka mlima wa Seir kwa siku nyingi.
2 Un Tas Kungs uz mani runāja sacīdams:
Yahwe alizungumza nami, kusema,
3 Jūs diezgan esat gājuši ap tiem kalniem, griežaties pret ziemeļiem.
Mmeuzungunga mlima huu kwa muda mrefu; geukeni kaskazini.
4 Un pavēli tiem ļaudīm sacīdams: jums jāstaigā caur savu brāļu, Ēsava bērnu, robežām, kas Seīrā dzīvo, tie no jums bīsies.
Waamuru watu, kusema, “Mtapita kupitia mpaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau, ambao wanaishi Seir; watawaogopa ninyi. Kwa hiyo muwe makini
5 Bet tikai sargājaties, nekarojiet ar tiem, jo Es jums no viņu zemes nedošu ne pēdas platuma, jo Es Ēsavam esmu devis Seīra kalnus par daļu.
msipigane nao, kwa kuwa sitawapa nchi yoyote yao, hapana, hakuna hata vya kutosheleza unyao wa mguu kukanyanga, kwa kuwa nimekwisha mpa Esau Mlima wa Seir kama miliki.
6 Barību pērkat no viņiem par naudu, ka ēdat, un arī ūdeni pērkat no viņiem par naudu, ka dzerat.
Mtanunua chakula kutoka kwao kwa pesa, ili kwamba muweze kula, pia mtanunua maji kutoka kwao kwa pesa, ili kwamba muweze kunywa. Kwa kuwa
7 Jo Tas Kungs, tavs Dievs, tevi ir svētījis visos tavos rokas darbos, Viņš zina tavu staigāšanu caur šo lielo tuksnesi; šos četrdesmit gadus Tas Kungs, tavs Dievs, ir bijis ar tevi; nekā tev nav trūcis.
Yahwe Mungu wenu amewabariki katika kazi za mikono yenu, amejua kutembea kwenu kupitia jangwa hili kuu. Kwa hii miaka arobaini Yahwe Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi, na hamjapungukiwa chochote.
8 Un mēs gājām garām saviem brāļiem, Ēsava bērniem, kas Seīrā dzīvo, pa klajuma ceļu, no Elata un Eceonģebera, un griezušies gājām pa Moaba tuksneša ceļu.
Basi tulipita karibu na ndugu zetu, wa wazao wa Esau, ambao wanaishi Seir, mbali na barabara la Arabah, kutoka Elathi, na kutoka Ezioni Geber. Na tuligeuka na kupita karibu na jangwa la Moabu.
9 Tad Tas Kungs uz mani sacīja: neapbēdini Moabu un nekaro ar viņu, jo Es tev nedošu mantību no viņa zemes, tāpēc ka Es Aru esmu devis Lata bērniem par mantību.
Yahweh aliniambia mimi,'Usiisumbue Moabu, na usipigane nao katika vita. Kwa kuwa sitakupa nchi yake kwa miliki yako, kwa sababu nimewapa Ar wazao wa Lot, kuwa miliki yao'.
10 (Senāk tur dzīvoja Emieši, lieli un stipri un gari ļaudis, tā kā tie Enaķieši.
(Hapo awali waliishi Waemi, watu kama wakuu, wengi, na warefu kama Waanaki;
11 Tie arīdzan tapa turēti par milžiem, tā kā tie Enaķieši, un Moabieši tos sauca par Emiešiem.
hawa pia wanafikiriwa kuwa Rephaimu, kama Waanaki, lakini Wamoabi huwaita Waemi.
12 Un Seīrā senāk dzīvoja Horieši, bet Ēsava bērni tos izdzina un tos izdeldēja savā priekšā un dzīvoja viņu vietā, itin kā Israēls ir darījis savā iemantotā zemē, ko Tas Kungs viņiem ir devis.)
Wahori pia waliishi hapo awali Seiri, lakini wazao wa Esau waliwafuata. Waliwaharibu kutoka mbele yao na kuishi katika eneo lao, kama Israeli ilivyofanya kwa nchi ya umiliki wake ambayo Yahwe aliwapa.)
13 Nu ceļaties un ejat pār Zaredes upi. Tad mēs cēlāmies pār Zaredes upi.
“Sasa inuka na uende kwenye kijito cha Zeredi”. Kwa hiyo tulienda kwenye kijito cha Zeredi.
14 Tad nu tās dienas, cik ilgi no Kādeš Barneas esam gājuši, līdz kamēr esam gājuši pār Zaredes upi, ir trīsdesmit astoņi gadi, tiekams viss tas karavīru dzimums lēģerī bija nobeidzies, itin kā Tas Kungs viņiem bija zvērējis.
Sasa tangu siku ambapo tulikuja kutoka Kadesh Barnea mpaka tukavuka kijito cha Zeredi, ilikuwa miaka thelathini na nane. Ilikuwa kwa wakati huo kizazi chote cha watu waliofaa kupigana walikuwa wamekwisha ondoka kwa watu, kama Yahwe alivyokuwa ameapa kwao.
15 Un Tā Kunga roka bija pret viņiem, viņus izdeldēt no lēģera, tiekams tie bija nobeigti.
Zaidi ya yote, mkono wa Yahwe ulikuwa kinyume na kizazi hicho ili kuweza kuwaangamiza kutoka kwa watu mpaka walipoondoka.
16 Un kad visi tie karavīri bija nobeigti un izmiruši no ļaužu vidus,
Basi ilitokea, wakati watu wote waliofaa kwa kupigana walikuwa wamekufa, na kutoweka miongoni mwa watu,
17 Tad Tas Kungs uz mani runāja sacīdams:
kwamba Yahwe alizungumza nami, kusema,
18 Tev šodien būs iziet caur Moaba robežām pie Ara
Leo mtavuka Ar, mpaka wa Moabu.
19 Un nākt Ammona bērnu tuvumā, bet neuzkrīti tiem un nekaro ar tiem, jo no Ammona bērnu zemes Es tev nedošu mantību, tāpēc ka Es to esmu devis par mantību Lata bērniem.
Wakati mtakapofika karibu na mkabala wa watu wa Ammoni, msiwasumbue au kupigana nao, kwa kuwa sitawapa nchi yoyote ya watu wa Ammoni kama miliki, kwa sababu nimekwisha wapa wazao wa Lutu kama miliki”.
20 (Šī arīdzan top turēta par milžu ļaužu zemi; milži senāk tur dzīvoja, un Ammonieši tos sauca par Zamzumiešiem,
(Hiyo tena ilifikiriwa kuwa nchi ya Rephaimu. Warephaimu waliishi hapo awali-lakini Wammonites wanawaita Zamzummim,
21 Lieli un stipri un gari ļaudis, kā tie Enaķieši, un Tas Kungs tos izdeldēja viņu priekšā, tā ka šie viņus izdzina un tur dzīvoja viņu vietā.
watu kama wakuu, wengi, na warefu kama Anakim. Lakini Yahwe aliwaharibu mbele ya Wammonites na waliwafuata na kuishi katika maeneo yao.
22 Itin kā Viņš darījis Ēsava bērniem, kas Seīrā dzīvo, kuru priekšā Viņš Horiešus izdeldēja, un tie tos izdzina un dzīvoja viņu vietā līdz šai dienai.
Yahwe huyu pia alifanya kwa watu wa Esau ambao wanaishi Seiri, wakati alipowangamiza Wahori kutoka mbele yao, na wazao wa Esau waliwafuata na waliishi katika maeneno yao mpaka leo.
23 Un Aviešus, kas ciemos dzīvoja līdz Gacai, Kaftorieši, kas no Kaftora nāca, ir izdeldējuši un dzīvojuši viņu vietā.)
Na Waavi, walioishi katika vijiji vya mbali ya Gaza, Wakaftori, ambao wanatokana na Kaftori, waliwangamiza na kuishi katika maeneo yao.)
24 Ceļaties, izejat un ejat pāri pār Arnonas upi; redziet, Es esmu devis jūsu rokā Sihonu, Hešbonas ķēniņu, to Amorieti, un viņa zemi; sāc ieņemt un ej karā ar viņu.
Sasa inuka, nenda njia yako na uvuke bonde la Arnoni, tazama, nimekupa mkononi mwako Sihoni ya Amorite, mfalme wa Heshboni, na nchi yake. Anza kuimiliki na pigana naye katika vita.
25 Šodien Es sākšu darīt, ka no tevis iztrūcināsies un bīsies tās tautas, kas apakš visas debess; kas tavu slavu dzirdēs, tiem būs trīcēt un drebēt tavā priekšā.
Leo nitaanza kuweka woga na hofu yenu kwa watu ambao wako chini ya anga lote, watasikia habari kuhusu ninyi na watatemeka na kuwa na shida kwa sababu yenu'.
26 Tad Es sūtīju vēstnešus no Ķedemot tuksneša pie Sihona, Hešbonas ķēniņa, ar miera vārdiem sacīdams:
Nilituma wajumbe toka jangwa la Kedemothi kuelekea Sihoni, mfalme wa Heshbon, pamoja na maneno ya amani, kusema,
27 Ļauj man iet caur tavu zemi, es pa ceļu vien iešu, es neatkāpšos ne pa labo, ne pa kreiso roku.
Hebu nipite katika nchi yako; nitapita kwenye barabara kuu, sitageuka mkono wa kulia wala kushoto.
28 Pārdod man par naudu barību, ko ēst, un dod man par naudu ūdeni, ko dzert; tikai kājām es iešu cauri,
Mtaniuzia mimi chakula kwa pesa, ili kwamba niweze kula, nipe maji kwa pesa, ili kwamba niweze kunywa, peke niruhusu kupitia kwa miguu yangu,
29 Kā man ir darījuši Ēsava bērni, kas Seīrā dzīvo, un Moabieši, kas Arā dzīvo, tiekams es nāku pāri pār Jardāni tai zemē, ko Tas Kungs, mūsu Dievs, mums dos.
kama wazao wa Esau wanaoishi Seiri, na Moabu wanaoishi Ari, walifanya kwangu, mpaka nivuke Yordani ndani ya nchi ambayo Yahwe Mungu wetu anatupa sisi'.
30 Bet Sihons, Hešbonas ķēniņš, mums negribēja ļaut iet cauri, jo Tas Kungs, tavs Dievs, viņa prātu apcietināja un viņa sirdi drošināja, lai Viņš to nodotu tavā rokā, itin kā tas šodien ir.
Lakini Sihon, mfalme wa Heshbon, asingeturuhusu kupitia kwake; kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ameifanya ngumu akili yake na kufanya moyo wake kuwa ukaidi, ili kwamba aweze kumshinda kwa nguvu zake, ambayo amekwisha kufanya leo.
31 Un Tas Kungs sacīja uz mani: redzi, Es esmu iesācis tev nodot Sihonu un viņa zemi; sāc ieņemt viņa zemi.
Yahwe alisema kwangu, “tazama, Nimeanza kumuokoa Sihoni na nchi yake mbele yako; kuanza kuimiliki, ili kusudi muweze kumiliki nchi yake.
32 Un Sihons izgāja mums pretī, pats ar visiem saviem ļaudīm, karot pie Jācas.
Kisha Sihon alikuja dhidi yetu, yeye na watu wote wake, kupigana huko Jahazi.
33 Bet Tas Kungs, mūsu Dievs, to mums nodeva, un mēs to sakāvām un viņa dēlus un visus viņa ļaudis.
Yahwe Mungu wetu alimtoa kwetu na tulimshinda, tulimpiga mpaka kufa, watoto wake, na watu wake wote.
34 Un tanī laikā uzņēmām visas viņa pilsētas un izdeldējām visas pilsētas, vīrus un sievas un bērniņus, mēs neatlicinājām neviena.
Tulichukua miji yake yote kwa wakati huo na kuharibu kabisa kila mji- wanaume na wanawake na watoto wadogo; hatukuacha aliyenusurika.
35 Tikai tos lopus mēs sev esam paņēmuši un to laupījumu tais pilsētās, ko uzņēmām.
Ng'ombe peke tulichukua kama mateka kwa ajili yetu, sambamba na mateka ya miji tuliochukua.
36 No Aroēra pie Arnonas upes krasta, un no tās pilsētas, kas pie upes, līdz Gileādai, nevienas pilsētas nebija, kas pret mums varēja turēties; visu to Tas Kungs, mūsu Dievs, mums nodeva.
Kutoka Aroer, ambayo iko kwenye ukingo wa bonde la Arnon, na kutoka kwenye mji ambao uko bondeni, yote kwa njia ya kuelekea Galeadi, hapakuwa na mji uliokuwa mrefu kwetu. Yahwe Mungu wetu alitupa ushindi dhidi ya maadui zetu mbele yetu.
37 Tikai uz Ammona bērnu zemi tu neesi gājis, uz visu to pusi gar Jabokas upi, nedz uz tām pilsētām kalnos, nedz kaut kur, kurp (iet) Tas Kungs, mūsu Dievs, bija aizliedzis.
Ilikuwa nchi ya wazao wa Ammoni peke yake ambayo hamkuingia, sambamba na sehemu zote za mto Jabboki, na miji ya nchi ya milima- popote pale Yahwe Mungu wetu ametukataza sisi kwenda.

< Piektā Mozus 2 >