< Piektā Mozus 19 >

1 Kad Tas Kungs, tavs Dievs, izdeldēs tās tautas, kuru zemi Tas Kungs, tavs Dievs, tev dos, un tu tās iemantosi un dzīvosi viņu pilsētās un viņu namos.
Wakati Yahwe Mungu wenu anayafutilia mbali mataifa, yale ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa nchi yao, na wakati mnakuja kwao na kuishi katika miji yao na nyumba,
2 Tad trīs pilsētas tev būs atšķirt savā zemē, ko Tas Kungs, tavs Dievs, tev dos iemantot.
mnapaswa kuchagua miji mitatu kwa ajili yenu katikati mwa nchi yenu ambayo Yahwe Mungu anawapa kuimiliki.
3 Sataisi ceļu uz turieni, un iedali trīs daļās savas zemes robežas, ko Tas Kungs, tavs Dievs, tev liks iemantot, ka uz turieni var bēgt ikviens, kas kādu nokāvis.
Mnapaswa kujenga barabara na kugawa mipaka ya nchi yenu katika maeneo matatu, nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anafanya kuimiliki, ili kwamba kila mmoja anayeua mtu mwingine apate kukimbia hapo.
4 Un tā lai notiek ar to, kas kādu nokāvis: kas uz turieni bēgs, tas dzīvos, ja savu tuvāko netīši nositis un ar to iepriekš nav bijis ienaidā.
Hii ni sheria kwa ajili ya mtu anayeua mwingine na anayekimbilia huko kuishi: yeyote auae jirani yake bila kujua, na hapo awali hakumchukia-
5 Ja kas ar savu tuvāko mežā ietu, malku cirst, un viņš paceltu savu roku ar cirvi, malku cirst, un cirvis nomuktu no kāta un aizķertu viņa tuvāko, ka tas mirtu, tas lai bēg uz vienu no šīm pilsētām, ka paliek dzīvs,
kama wakati mtu aingiapo katika msitu pamoja na jirani yake kukata kuni, na mkono wake ukata mti chini kwa shoka, na kichwa uteleza kutoka kwenye mpini na kumpiga jirani yake mpaka akafa- basi mtu huyu anapaswa kukimbilia katika moja ya miji hii na kuishi.
6 Lai asiņu atriebējs nedzenās pakaļ nokāvējam, kad viņa sirds iekarsusi, un to nepanāk, kad tas ceļš būtu tālu, un viņam neņem dzīvību, jebšu viņš nāvi nav pelnījis, jo viņš ar to iepriekš nebija ienaidā.
Vinginevyo damu ya mlipiza kisasi atamfuata yeye aliyetoa uhai, na kwa hasira kali anampita kwa sababu ilikuwa safari ndefu. Na anampiga na kumuua, ijapokuwa mtu huyo akustahili kufa; na hata akustahili adhabu ya kifo kwa sababu hakumchukia jirani yake kabla hili halijatokea.
7 Tāpēc es tev pavēlu un saku: tev būs sev atšķirt trīs pilsētas.
Basi sasa ninakuamuru kuchagua miji mitatu kwa ajili yako.
8 Un kad Tas Kungs, tavs Dievs, izplatīs tavas robežas, kā Viņš taviem tēviem ir zvērējis, un tev dos visu zemi, ko Viņš solījis dot taviem tēviem,
Kama Yahwe Mungu wenu apanua mipaka yenu, kama alivyoapa kwa mababu zenu kufanya, na kuwapa nchi yote ambayo amewaahadia kuwapa mababu zenu;
9 (Kad tu visu šo likumu turēsi, un darīsi, ko es tev šodien pavēlu, ka tu mīļo To Kungu, savu Dievu, un visu mūžu staigā Viņa ceļos): tad tev vēl sev būs pielikt trīs pilsētas pie šīm trim;
kama mnazishika amri hizi zote kuzifanya, ambazo ninakuamuru leo- amri za kumpenda Yahwe Mungu wenu na daima kutembea katika njia zake, basi mnapaswa kuongeza miji mitatu zaidi kwa ajili yenu, isipokuwa ile mitatu.
10 Lai nenoziedzīgas asinis netop izlietas tavā zemē, ko Tas Kungs, tavs Dievs, tev dos par īpašumu, un lai nepaliek asins vainas uz tevis.
Fanya hivi ili kwamba damu isiyo na hatia isimwangwe katikati ya nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kwa ajili ya urithi, ili kwamba pasiwepo hatia ya damu kwenu.
11 Bet ja kāds būs, kas savu tuvāko ienīst un uz viņu glūn un pret viņu ceļas un viņu sit, ka mirst, un bēg uz vienu no šīm pilsētām,
Lakini kama yeyote anamchukia jirani yake, uongo unamsubiri, uinuka dhidi yake, na majeraha ya kufa kwake ili kwamba anakufa, na kama basi anakimbia katika moja ya miji hii-
12 Tad viņa pilsētas vecajiem būs sūtīt un viņu no turienes paņemt, un nodot asiņu atriebējam rokā, lai mirst.
basi wazee wa mji wake wanapaswa kumtoa na kumrudisha toka huko, na kumkabizi katika mkono wa ndugu mhusika, ili kwamba amuue.
13 Lai tava acs viņu nežēlo, bet tev būs atņemt tā nenoziedzīgā asinis no Israēla, lai tev labi klājās. -
Jicho lako halipaswi kumuonea huruma; badala yake; unapaswa kuondoa hatia ya damu kutoka Israel, ili kwamba iwe vizuri kwako.
14 Tev nebūs pārcelt sava tuvākā ežas (robežas), ko tie tēvi likuši tavā daļā, ko tu iemantosi tai zemē, ko tev Tas Kungs, tavs Dievs, dos iemantot.
Haupaswi kuondoa alama ya jirani yako ambayo wameweka katika eneo muda mrefu, katika urithi wako ambao utarithi, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupa kumiliki.
15 Vienam vienīgam lieciniekam nebūs celties pret nevienu par kādu noziegumu jeb par kādu grēku, ko tas būtu darījis; uz divu vai treju liecinieku vārda lai tā lieta pastāv.
Shahidi moja peke hapaswi kuinuka dhidi ya mtu kwa ajili ya uovu wowote, au kwa ajili ya dhambi yoyote, katika jambo lolote ambalo amefanya dhambi; kwa kinywa cha mashahidi wawili, au kwa kinywa cha mashahidi watatu, kunapaswa jambo lolote lilithibitishwe.
16 Kad blēdīgs liecinieks ceļas pret kādu, pret viņu apliecināt pārkāpumu,
Kama ushuhuda wa mtu asiye na haki anainua dhidi ya mtu yeyote kushuhudia dhidi yake kwa mambo mabaya.
17 Tad tiem diviem vīriem, kam tā ķilda, būs stāties Tā Kunga priekšā, priekš tiem priesteriem un tiem soģiem, kas to brīdi būs,
Basi watu wote wawili, mmoja kati ya yule utata upo, anapaswa kusimama mbele ya Yahwe, mbele ya makuhani na waamuzi ambao wanatumika siku hizo.
18 Un tiem soģiem būs labi izvaicāt, un redzi, ja tas liecinieks ir viltīgs liecinieks un devis nepatiesu liecību pret savu brāli,
Waamuzi wanapaswa kuchunguza kwa uangalifu; ona, kama ushahidi ni ushahidi wa uongo na umeshuhudiwa kwa uongo dhidi ya ndugu yake,
19 Tad jums būs viņam darīt, itin kā viņš nodomāja darīt savam brālim, un tev to ļaunumu no sevis būs izdeldēt,
basi unapaswa kufanya kwake, kama alivyokusudia kufanya kwa ndugu yake, na utaondoa uovu kutoka miongoni mwenu.
20 Lai tie citi to dzird un bīstas, un vairs nedara tādu ļaunu darbu tavā vidū.
Basi wale wanaobaki watasikia na kuogopa, na kuanzia hapo na kuendelea hawatafanya tena aina ya ouvu miongoni mwao.
21 Tad nu lai tava acs nežēlo: dzīvība pret dzīvību, acs pret aci, zobs pret zobu, roka pret roku, kāja pret kāju.
Macho yako hapaswi kuona huruma; maisha yatalipa kwa maisha, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.

< Piektā Mozus 19 >