< Amosa 6 >
1 Ak vai, tiem, kas droši dzīvo Ciānā un bez bēdām uz Samarijas kalna, tiem vareniem pirmajā tautā, pie kuriem nāk tie no Israēla nama.
Ole wao wanaostarehe katika Sayuni, na kwa wale ambao wameokoka katika nchi ya mlima wa Samaria, watu mashuhuri bora wa mataifa, ambao nyumba ya Israeli huja kwa ajili ya msaada!
2 Ejat uz Kalni un skatāties, un no turienes ejat uz Hamatu, to lielo pilsētu, tad noejat uz Gadu Fīlistos, vai tās ir labākas nekā šīs valstis, jeb vai viņu robežas lielākas nekā jūsu robežas.
Viongozi wenu husema, “Pita kwenda Kalne na mkatazame; kutoka huko nendeni hadi Hamathi, mji mkubwa; kisha nendeni chini hata Gathi ya Wapelestina. Je ni wabora kuliko falme zenu mbili? Je kuna mpaka mkubwa kuliko mpaka wenu?”
3 Jūs, kam šķiet nelaimes dienu tālu esam un kas tuvu ceļat varasdarba krēslu,
Ole wao wale waiwekao siku ya majanga na kufanya ufalme kuwa kinyume kusogea karibu.
4 Kas guļat uz ziloņkaulu gultām un staipāties savās guļās un ēdat jērus no ganāmā pulka un barotos teļus no laidaru vidus,
Wamelala juu ya vitanda vya pembe na kupumzika juu ya viti vyao. Wakala wana kondoo kutoka kwenye kundi na ndama kutoka kwenye zizi.
5 Kas pūšat somastabules un izdomājat mūzikas rīkus kā Dāvids,
Wanaimba nyimbo za kijinga kwenye muziki wa kinubi; wanatunga kwenye vyombo kama vya Daudi.
6 Kas vīnu dzerat no kausiem un svaidāties ar visdārgāko eļļu, bet nebēdājaties par Jāzepa vainu!
Wanakunywa mvinyo kutoka kwenye bakuli na kujipaka mafuta wenyewe kwa mafuta ya marahamu, lakini hawahuzuniki juu ya mateso ya Yusufu.
7 Tādēļ tie nu ies cietumā paši pirmie starp cietumniekiem, un plītnieku kliegšana mitēsies.
Hivyo sasa watakwenda utumwani pamoja na watumwa wakwanza, na kelele za hao waliojinyoosha zitapita.
8 Tas Kungs Dievs ir zvērējis pie savas dvēseles, saka Tas Kungs, tas Dievs Cebaot: Man riebj Jēkaba lepnība un Es ienīstu viņa skaistos namus, tādēļ Es to pilsētu nodošu ar visu, kas tur iekšā.
“Mimi Bwana Yahwe, nimeapa kwa nafsi yangu -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi, naizira fahari ya Yakobo; nachukia boma zake. Kwa hiyo nitautoa huo mji pamoja vyote vilivyomo humo.”
9 Un notiks, ja tur desmit vīri būs atlikuši vienā namā, tie mirs.
Itakuja kuhusu kwamba kama kuna wanaume kumi waliobakia kwenye nyumba moja, watakufa.
10 Un kad ko ņems viņa svainis vai viņa dedzinātājs, un iznesīs tos kaulus no nama un sacīs uz to, kas nama kambarī: vai tur vēl kāds pie tevis? Un tas sacīs: nav neviena. Tad viņš sacīs: ciet klusu! Jo Tā Kunga vārdu nebūs pieminēt.
Wakati ndugu wa mtu huyo atakapokuja kuchukua miili yao-yule ambaye awachomaye baada ya kuleta maiti katika nyumba-kama akisema kwa mtu katika nyumba, “Je kuna mtu yuko pamoja nawe?” Vipi kama yule akisema, “Hapana.” Kisha atasema, “Kaa kimya, kwa kuwa hatulitaja jina la Yahwe.”
11 Jo redzi, Tas Kungs dod pavēli, un sitīs to lielo namu, ka sagrūs, un to mazo namu, ka sadrups.
Tazama, Yahwe atatoa amri, na nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande, na nyumba ndogo kuwa na nyufa.
12 Vai zirgi var skriet pa klintīm? Vai tur virsū var art ar vēršiem? Jo jūs esat pārvērtuši tiesu par žulti un taisnības augļus par vērmelēm?
Je farasi watakimbia juu ya mteremko wa miamba? Je mtu atalima huko na ng'ome? Bado mmegeuza haki kuwa sumu na tunda la haki kuwa uchungu.
13 Jūs, kas priecājaties par nieku un sakāt: Vai mēs caur savu stiprumu sev neesam varu dabūjuši?
Ninyi mnaofurahia juu ya Lo Debari, msemao, “Je hatukuchukua Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”
14 Jo redzi, pret jums, jūs Israēla nams, saka Tas Kungs, tas Dievs Cebaot, Es celšu vienu tautu, - un tā jūs nospaidīs no Hamatas ceļa līdz tuksneša upei.
Lakini tazama, nitainua juu yenu taifa, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe, Mungu wa majeshi. Watawatesa ninyi kutoka Lebo Hamathi hata kijito cha Araba.”