< Otra Samuela 1 >
1 Un notikās pēc Saula miršanas, kad Dāvids no Amalekiešu kaušanas bija atpakaļ griezies, tad Dāvids palika divas dienas Ciklagā.
Baada ya kifo cha Sauli, Daud alirudi kutoka kuwashambulia Waamaleki na akakaa Siklagi kwa siku mbili.
2 Un redzi, trešā dienā viens vīrs nāca no lēģera, no Saula, un viņa drēbes bija saplosītas, un zeme bija uz viņa galvas. Un kad viņš pie Dāvida nāca, viņš klanījās pie zemes mezdamies.
Siku ya tatu, mtu mmoja alikuja kutoka kambi ya Sauli nguo zake zikiwa zimeraruliwa na akiwa na vumbi juu ya kichwa chake. Alipofika kwa Daudi alinamisha uso wake chini akajifanya yeye mwenyewe kuwa si kitu.
3 Un Dāvids uz to sacīja: no kurienes tu nāci? Un tas uz viņu sacīja: no Israēla lēģera esmu izbēdzis.
Daudi akamuliza, “Unatoka wapi?” Yeye akajibu, “Nimeponyoka kutoka kambi ya Israeli.”
4 Tad Dāvids uz to sacīja: kā tur iet? Teic man jel! Un tas sacīja: tie ļaudis no kaušanās ir bēguši un daudz no tiem ļaudīm krituši un miruši, arī Sauls un Jonatāns, viņa dēls, ir miruši.
Daudi akamwambia, “Tafadhari nieleze jinsi mambo yalivyokuwa.” Akajibu, “Watu walikimbia kutoka vitani. Wengi wameanguka, na wengi wao wameuawa. Sauli na Yonathani mwanawe pia wameuawa.”
5 Tad Dāvids sacīja uz to puisi, kas viņam to teica: kā tu zini, ka Sauls un Jonatāns, viņa dēls, miruši?
Daudi akamwuliza kijana, “unajuaje kuwa Sauli na Yonathani mwanawe wameuawa?”
6 Tad tas puisis, kas viņam to teica, sacīja: nejauši es nācu uz Ģilboas kalniem un redzi, Sauls bija atspiedies uz savu šķēpu, un redzi, rati un jātnieki tam lauzās virsū.
Yule kijana akajibu, “Kwa bahati nilikuwa juu ya Mlima Gilboa, na pale alikuwepo Sauli ameegemea mkuki wake, na magari ya farasi na waongozaji walikuwa karibu kumkamata.
7 Tad viņš griezās atpakaļ un mani ieraudzīja un mani sauca. Un es sacīju: še es esmu.
Sauli alipogeuka aliniona na akaniita. Nikajibu, 'Mimi hapa.'
8 Un viņš uz mani sacīja: kas tu esi? Un es uz to sacīju: esmu Amalekietis.
Akaniuliza, 'Wewe ni nani?' Nikamjibu, 'Mimi ni Mwamaleki,'
9 Un viņš uz mani sacīja: nāc šurp pie manis un nokauj mani, jo izbailes mani pārņēmušas, un mana dzīvība vēl ir vesela iekš manis.
Akaniambia, Tafadhari simama juu yangu uniuwe, kwa kuwa shida kubwa imenipata, lakini uhai ungalimo ndani yangu.'
10 Tad es pie tā piegāju un to nokāvu, jo es gan zināju, ka viņš pēc savas krišanas nevarēja dzīvot, un es paņēmu to kroni, kas bija uz viņa galvas, un viņa rokas greznumu un to nesu šurp pie sava kunga.
Hivyo nilisimama juu yake nikamuuwa, kwa maana nilijua kwamba asingeweza kuishi baada ya kuwa ameanguka. Ndipo nikachukuwa taji iliyokuwa juu ya kichwa chake na kikuku kilichokuwa mkononi mwake, na nimevileta hapa kwako, bwana wangu.”
11 Tad Dāvids sakampa savas drēbes un tās saplēsa, tāpat arī visi tie vīri, kas pie viņa bija.
Kisha Daudi akararua mavazi yake, na watu wote waliokuwa pamoja naye wakafanya vilevile.
12 Un tie žēlojās un raudāja un gavēja līdz vakaram par Saulu un par viņa dēlu Jonatānu un par Tā Kunga ļaudīm un par Israēla namu, tāpēc ka tie caur zobenu bija krituši.
Walilia, wakaomboleza na kufunga mpaka jioni kwa ajili ya Sauli, Yonathani mwanawe, watu wa Yahwe, na kwa ajili ya nyumba ya Israeli kwa maana wameanguka kwa upanga.
13 Un Dāvids sacīja uz to puisi, kas viņam to bija teicis: no kurienes tu esi? Un viņš sacīja: es esmu sveša vīra, viena Amalekieša, dēls.
Daudi akamwambia yule kijana, “Unatokea wapi?” Akajibu, mimi ni kijana wa mgeni Mwamaleki.”
14 Un Dāvids uz to sacīja: kā tu neesi bijies izstiept savu roku, nomaitāt Tā Kunga svaidīto?
Daudi akamwambia, “Kwa nini haukuogopa kumwua mfalme, mtiwa mafuta wa Yahwe kwa mkono wako?”
15 Un Dāvids sauca vienu no tiem puišiem un sacīja: nāc, nokauj viņu. Un tas to kāva, ka tas nomira.
Daudi akamwita mmojawapo wa vijana na akamwambia, “Nenda ukamuue.” Hivyo kijana huyo akaenda na kumpiga hata ata chini, Mwamaleki akafa.
16 Un Dāvids uz to sacīja, tavas asinis lai paliek uz tavas galvas, jo tava paša mute pret tevi ir liecinājusi sacīdama: es Tā Kunga svaidīto esmu nokāvis.
Ndipo Daudi akamwambia Mwamaleke aliyekufa, “Damu yako iwe juu ya kichwa chako kwa kuwa kinywa chako kimeshuhudia dhidi yako kusema, Nimemuua mfalme mtiwa mafuta wa Yahwe.
17 Tad Dāvids dziedāja šo vaidu dziesmu par Saulu un par viņa dēlu Jonatānu,
Ndipo Daudi akaimba wimbo wa maombolezo juu ya Sauli na Yonathani mwanawe.
18 Un pavēlēja lai Jūda bērniem to stopa dziesmu mācītu (redzi, tā ir rakstīta tā taisnā grāmatā):
Akawaamuru watu kuufundisha wimbo wa Bow kwa wana wa Yuda, ambao umeandikwa katika Kitabu cha Yashari.
19 Israēla glītums uz taviem kalniem nokauts! Kā tie varenie krituši!
“Utukufu wako, Israel, umeondolewa, umeondolewa juu ya mahali pako pa juu! Jinsi mwenye nguvu alivyoanguka!
20 Nestāstat to Gatā, neteiciet to Askalonas ielās, ka Fīlistu meitas nepriecājās, ka neapgraizīto meitas nelīksmojās!
Msiiseme katika Gathi, msiitangaze katika mitaa ya Ashikeloni, ili binti za wafilisti wasifurahi, ili binti za wasiotailiwa wasisherehekee.
21 Ģilboas kalni, lai rasa un lietus vairs nav uz jums, nedz tīrumi upuru dāvanām, jo tur to vareno priekšturamās bruņas ir nomestas, Saula priekšturamās bruņas ar eļļu nesvaidītas.
Milima ya Gilboa, kusiwe na umande au mvua juu yenu. wala mashamba yasitoe nafaka kwa ajili ya sadaka, kwa maana hapo ngao ya mwenye nguvu imeharibiwa. Ngao ya Sauli haiwezi tena kutiwa mafuta.
22 Jonatāna stops nekad nav dzīts atpakaļ un Saula zobens nekad nav pārnācis bez nokauto asinīm un vareno taukiem.
Kutoka katika damu ya waliouawa, kutoka katika miili ya wenye nguvu, upinde wa Yonathani haukurudi nyuma, na upanga wa Sauli haukurudi patupu.
23 Sauls un Jonatāns, mīlīgi un laipni, dzīvībā un nāvē tie nav šķirti; tie bija vieglāki nekā ērgļi un stiprāki nekā lauvas.
Sauli na Yonathani walikuwa wakipendwa na walikuwa wenye neema maishani, hata wakati wa mauti yao walikuwa pamoja. Walikuwa na kasi kuliko tai, walikuwa na nguvu kuliko simba.
24 Israēla meitas, raudiet par Saulu, kas jūs krāšņi tērpa ar purpuru, kas jūsu drēbes pušķoja ar zelta glītumiem.
Enyi binti wa Israeli lieni juu ya Sauli, aliyewavika mavazi ya thamani pamoja na vito vya thamani, na aliyetia mapambo ya dhahabu katika mavazi yenu.
25 Kā tie varenie ir krituši kara vidū! Jonatāns ir nokauts uz taviem kalniem.
Jinsi wenye nguvu walivyoanguka vitani! Yonathani ameuawa juu ya mahali pako pa juu.
26 Man ir žēl pēc tevis, mans brāli Jonatān! Tu man biji ļoti mīļš, tava mīlestība man bija saldāka, nekā sievas mīlestība.
Nimesikitishwa sana kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu. Ulikuwa mpendwa wangu sana. Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, ukipita upendo wa wanawake.
27 Kā tie varenie krituši un kara ieroči gājuši bojā!
Jinsi wenye nguvu walivyoanguka na silaha za vita zimeteketea!”