< Otra Samuela 4 >
1 Kad nu Saula dēls dzirdēja, ka Abners Hebronē bija miris, tad viņa rokas nogura un viss Israēls iztrūkās.
Ish-Boshethi mwana wa Sauli aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, akakosa ujasiri, nayo Israeli yote wakatiwa hofu kuu.
2 Un Saula dēlam bija divi vīri, sirotāju virsnieki, un vienam bija vārds Baēna un otram Rekabs, Rimona dēli, no Beērotas, no Benjamina bērniem, (jo Beērota arīdzan Benjamina bērniem top pieskaitīta;
Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa vikundi vya uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni, Mbeerothi, kutoka kabila la Benyamini. Beerothi alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini,
3 Un tie Beērotieši bija bēguši uz Ģetaīm un bija tur piemitēji līdz šai dienai.)
kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.
4 Un Jonatānam, Saula dēlam, bija dēls, tas bija tizls uz abējām kājām; pieci gadus viņš bija vecs, kad tā vēsts no Jezreēles nāca par Saulu un Jonatānu, un viņa emma viņu bija uzņēmusi un bēgusi, un tai steigšus bēgot viņš bija kritis un par kropli palicis, un viņa vārds bija Mefibošets.
(Yonathani mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa mlemavu miguu yote miwili. Alikuwa na miaka mitano wakati habari kuhusu Sauli na Yonathani zilipofika kutoka Yezreeli. Yaya wake akambeba ili kukimbia, lakini yaya alipokuwa anaharakisha kuondoka, mtoto alianguka akawa kiwete. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.)
5 Un Rimona, tā Beērotieša, dēli, Rekabs un Baēna, nogāja un nāca uz Išbošeta namu pašā dienas karstumā un viņš gulēja uz gultas dienasvidū.
Basi Rekabu na Baana, wana wa Rimoni Mbeerothi wakaenda nyumbani kwa Ish-Boshethi, nao walifika huko wakati alipokuwa kwenye mapumziko yake ya mchana.
6 Un tie gāja namā iekšā, tā kā kviešus ņemt, un iedūra viņam vēderā, un Rekabs un Baēna, viņa brālis, aizbēga.
Wakaingia kwenye chumba cha ndani kana kwamba wanachukua ngano, wakamchoma Ish-Boshethi mkuki wa tumboni. Ndipo Rekabu na Baana nduguye wakatoroka.
7 Tie nāca namā, viņam uz gultas guļot savā guļamā istabā, un to sita un nokāva, un viņam nocirta galvu, un tie ņēma viņa galvu un gāja pa klajuma ceļu visu nakti.
Walikuwa wameingia ndani ya nyumba wakati alipokuwa amelala kitandani chumbani kwake. Baada ya kumchoma mkuki na kumuua, walikata kichwa chake. Wakiwa wamekichukua, walitembea usiku kucha kwa njia ya Araba.
8 Un tie nesa Išbošeta galvu pie Dāvida uz Hebroni un sacīja uz ķēniņu: redzi, še ir Išbošeta, Saula dēla, tava ienaidnieka, galva, kas tavu dzīvību meklēja. Tā Tas Kungs manu kungu, to ķēniņu, šodien ir atriebis pie Saula un viņa dzimuma.
Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-Boshethi huko Hebroni, wakamwambia mfalme, “Hiki hapa kichwa cha Ish-Boshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyejaribu kuondoa uhai wako. Siku hii ya leo Bwana amemlipia kisasi mfalme bwana wangu dhidi ya Sauli na mzao wake.”
9 Bet Dāvids atbildēja Rekabam un viņa brālim Baēnam, Rimona, tā Beērotieša, dēliem, un uz tiem sacīja: tik tiešām, kā Tas Kungs dzīvs, kas manu dvēseli ir atpestījis no visām bēdām,
Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama Bwana aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote,
10 Kas man to vēsti nesa, sacīdams: redzi, Sauls ir nomiris! Un šķitās labu vēsti nesot, to es sagrābu un nokāvu Ciklagā, dot tam vēstneša algu;
yule mtu aliponiambia, ‘Sauli amekufa,’ akadhani ananiletea habari njema, nilimkamata, nikamuua huko Siklagi. Hiyo ndiyo zawadi niliyompa kwa ajili ya taarifa yake!
11 Jo vairāk, kad bezdievīgi vīri taisnu vīru viņa namā uz viņa gultas nokāvuši, - un nu, vai man nebūs meklēt viņa asinis no jūsu rokām un jūs izdeldēt no zemes?
Je, ni mara ngapi zaidi wakati watu waovu wamemuua mtu asiye na hatia akiwa ndani ya nyumba yake mwenyewe na kwenye kitanda chake mwenyewe? Je, sasa nisidai damu yake mikononi mwenu na kuwaondoa duniani?”
12 Un Dāvids pavēlēja saviem puišiem, un tie tos nokāva un nocirta viņiem rokas un kājās un tos uzkāra pie Hebrones dīķa. Bet Išbošeta galvu tie ņēma un apraka Abnera kapā Hebronē.
Kwa hiyo Daudi akawaamuru watu wake, wakawaua. Wakakata mikono yao na miguu, na kutundika viwiliwili vyao kando ya dimbwi huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ish-Boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.