< Otra Ķēniņu 20 >
1 Tanī laikā Hizkija palika slims uz miršanu, un pravietis Jesaja, Amoca dēls, nāca pie viņa un uz to sacīja: tā saka Tas Kungs: apkopi savu namu, jo tu mirsi un nepaliksi vesels.
Katika siku hizo Hezekia aliugua akawa kwenye hatari ya kufa. Hivyo Isaya mwana wa Amozi, akaja, na kumwambia, “Yahwe asema, 'Weka nyumba yako kwenye mpangilio; kwa kuwa utakufa, na hutapona.'”
2 Tad Hizkija savu vaigu pagrieza pret sienu un pielūdza To Kungu un sacīja:
Kisha Ahazi akageuza uso wake kwenye ukuta na kumuomba Yahwe, akisema,
3 Ak Kungs, piemini lūdzams, ka es Tavā priekšā esmu staigājis patiesībā no visas sirds un darījis, kas tev patīk. Un Hizkija gauži raudāja.
“Tafadhali, Yahwe, ukumbuke jinsi nilivyo mwaminifu kutembea mbele yako kwa moyo wangu wote, na jinsi nilivyofanya yaliyo mazuri usoni kwako.” Kisha Hezekia akalia kwa sauti.
4 Un kad Jesaja vēl nebija izgājis ne pusceļa caur pilsētu, tad Tā Kunga vārds uz viņu notika un sacīja:
Kabla ya Isaya hajatoka nje kwenye mji wa kati, neno la Yahwe likamjia, kusema,
5 Ej atpakaļ un saki uz Hizkiju, Manas tautas valdnieku: tā saka Tas Kungs, tava tēva Dāvida Dievs: Es tavu lūgšanu esmu klausījis, Es tavas asaras esmu redzējis, redzi, Es tevi darīšu veselu, trešā dienā tu iesi Tā Kunga namā.
'“Rudi, na umwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, 'Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi babu yako, asemavyo: “Nimesikia maombi yako, na nimeyaona machozi yako. Nitakuponya katika siku ya tatu, na utapanda juu kwenye nyumba ya Yahwe.
6 Un pie tavām dienām Es vēl pielikšu piecpadsmit gadus, un tevi un šo pilsētu Es izpestīšu no Asīrijas ķēniņa rokas un pasargāšu šo pilsētu Sevis labad un Sava kalpa Dāvida labad.
Nitakuongeza miaka kumi na tano ya maisha yako, na nitakulinda na huu mji kwa ajili yangu na kwa ajili ya mtumishi wangu."”'
7 Un Jesaja sacīja: ņemiet vīģu rausi. Un tie to ņēma un uzlika uz to trumu, tad viņš palika vesels.
Hivyo Isaya akasema, “Chukueni mkate wa tini.” Walifanya hivyo na kuweka kwenye jipu lake, na akapona.
8 Un Hizkija sacīja uz Jesaju: kāda ir tā zīme, ka Tas Kungs mani darīs veselu, un ka es trešā dienā iešu Tā Kunga namā?
Hezekia akamwambia Isaya, “Je kutakuwa na alama gani ambayo Yahwe ataniponya, na kwamba nitapanda juu hadi kwenye hekalu la Yahwe katika siku ya tatu?”
9 Un Jesaja sacīja: šī būs tā zīme no Tā Kunga, ka Tas Kungs šo lietu darīs, ko viņš runājis. Vai ēnai būs iet desmit kāpienus uz priekšu, vai desmit kāpienus atpakaļ?
Isaya akajibu, “Hii ndiyo itakuwa ishara kwako kutoka kwa Yahwe, kwamba Yahwe atafanya kitu amacho alichokisema. Je kivuli kitaenda mbele hatua saba, au kurudi nyuma hatua saba?”
10 Tad Hizkija sacīja: tas ir viegli, ēnai iet desmit kāpienus uz priekšu, - to ne, bet lai ēna iet desmit kāpienus atpakaļ.
Hezekia akajibu, “Ni kitu chepesi kwa kivuli kwenda mbele hatua kumi. Hapana, hicho kivuli kirudi nyuma hatua kumi.”
11 Un pravietis Jesaja piesauca To Kungu, un Tas tai ēnai lika iet desmit kāpienus atpakaļ pa tiem pašiem kāpieniem, ko tā bija gājusi uz priekšu pie Ahaza saules stundeņa.
Hivyo Isaya nabii akamlilia Yahwe, na akaleta kivuli hatua kumi nyuma, kutoka pale ambapo zilikuwa zimevuka kwenye ngazi za Ahazi.
12 Tanī laikā Berodaks Baladans, Baladana dēls, Bābeles ķēniņš, sūtīja grāmatas un dāvanas pie Hizkijas, jo tas bija dzirdējis, ka Hizkija bijis slims.
Katika kipindi hicho Merodak Baladani mfalme wa Babeli alituma barua na zawadi kwa Hezekia, kwa kuwa alisikia kwamba Hezekia alikuwa anaumwa.
13 Un Hizkija par tiem priecājās un tiem radīja visu savu mantas namu, sudrabu un zeltu un dārgās zāles un to smalko eļļu un visu savu bruņu namu un visu, kas viņa mantās bija; nekas nebija viņa namā un visā viņa valstī ko Hizkija tiem nebūtu rādījis.
Hezekia akasikiliza hizo barua, na kisha kuwaonyesha wajumbe sehemu zote na sehemu zake za thamani, fedha, dhahabu, manukato na marhamu na nyumba yenye ghala la silaha zake, na yote yaliyokutwa kwenye ghala za nyumba zake. Hapakuwa na kitu kwenye nyumba, wala kwenye ufalme wake wote, ambao Hezekia hakuwaonyesha.
14 Tad pravietis Jesaja nāca pie ķēniņa Hizkijas un uz to sacīja: ko šie vīri sacījuši un no kurienes tie pie tevis nākuši? Un Hizkija sacīja: tie no tālas zemes atnākuši, no Bābeles.
Kisha Isaya akaja kwa Hezekia na kumuuliza, “Hawa watu walikuwa wanakwambiaje? Wanatokea wapi?” Hezekia aksema, “Wamekuja kutoka nchi ya mbali ya Babeli.
15 Un tas sacīja: ko tie laba redzējuši tavā namā? Un Hizkija sacīja: tie visu redzējuši, kas manā namā; nekā nav no manām mantām, ko es tiem nebūtu rādījis.
Isaya akauliza, “Wameona nini kwenye nyumba yako?” Hezekia akajibu, “Wameona kila kitu kwenye nyumba yangu. Hakuna kitu miongoni mwa vitu vyangu vya thamani ambavyo sijawaonyesha.”
16 Tad Jesaja sacīja uz Hizkiju: klausies Tā Kunga vārdu:
Basi Isaya akamwambia Hezekia, “Sikiliza neno la Yahwe:
17 Redzi, dienas nāks, ka viss, kas ir tavā namā un ko tavi tēvi līdz šai dienai sakrājuši, taps novests uz Bābeli, nekas netaps atlicināts, saka Tas Kungs.
'Tazama siku zinakuja wakati kila kitu kwenye kwenye nyumba yako ya kifalme, vitu ambavyo babu zako walivitunza huko hadi leo, vitabebwa kwenda Babeli. Hakuna kitakachobakia, Yahwe asema.
18 Un no taviem bērniem, kas no tevis nāks, ko tu dzemdināsi, taps ņemti, ka tie būs par kambarjunkuriem Bābeles ķēniņa pilī.
Watoto waliozaliwa na wewe, ambao umewazaa wewe mwenyewe-watawachukua mbali, na watakuwa matowashi kwenye nyumba ya kifalme ya mfalme wa Babeli.'”
19 Un Hizkija sacīja uz Jesaju: Tā Kunga vārds ir labs, ko tu runājis. Un viņš sacīja: lai notiek, kad tikai miers un drošība pastāv manā laikā.
Hezekia akamwambia Isaya, “neno la Yahwe uliloliongea ni jema.” Kwa kuwa alifikiri, Je sivyo ikiwapo amani na kweli katika siku zangu?”
20 Un kas vēl par Hizkiju stāstāms, un viss viņa spēks, un ko viņš darījis, un par to dīķi un ūdens grāvi, un ka viņš ūdeni vadījis pilsētā, tas viss ir rakstīts Jūda ķēniņu laiku grāmatā.
Kama kwa mambo mengine yanamuhusu Hezekia, na ushujaa wake wote, na jinsi alivyotengeza bwawa la maji na mfereji, na kuleta maji kwenye mji-hayakuandikwa kwenye kitabu cha ya matukio ya wafalme wa Yuda?
21 Un Hizkija aizmiga saviem tēviem pakaļ, un Manasus, viņa dēls, palika par ķēniņu viņa vietā.
Hezekia akalala na babu zake, na Manase mwanae akawa mfalme katika sehemu yake.