< Otra Laiku 2 >
1 Un Salamans nodomāja celt namu Tā Kunga vārdam un namu savai ķēniņa valdībai.
Solomoni akatoa amri kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.
2 Un Salamans noskaitīja septiņdesmit tūkstoš vīrus pie nastu nešanas un astoņdesmit tūkstoš cirtējus uz kalniem un trīs tūkstoš sešsimt uzraugus pār viņiem.
Solomoni akaandika watu 70,000 kuwa wachukuzi wa mizigo, na watu 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na watu 3,600 kuwa wasimamizi wao.
3 Un Salamans sūtīja pie Hirama, Tirus ķēniņa, un lika sacīt: kā tu esi darījis manam tēvam Dāvidam un tam sūtījis ciedru kokus, sev namu celt, kur dzīvot, -
Solomoni akapeleka ujumbe huu kwa Mfalme Hiramu wa Tiro: “Unitumie magogo ya mierezi kama ulivyomfanyia baba yangu Daudi wakati ulipompelekea mierezi ya kujenga jumba lake la kifalme la kuishi.
4 Redzi, es gribu namu celt Tā Kunga, sava Dieva, vārdam un Viņam to svētīt, Viņa priekšā kvēpināt ar saldām kvēpināmām zālēm un nolikt vienmēr priekšliekamas maizes un upurēt dedzināmos upurus ik rītu un ik vakaru, svētdienās un jaunos mēnešos un Tā Kunga, mūsu Dieva, augstos svētkos, kā Israēlim mūžīgi pienākas.
Sasa ninakaribia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana Mungu wangu na kuliweka wakfu kwake kwa ajili ya kufukizia uvumba wenye harufu nzuri mbele zake, mahali pa kuweka mikate ya Wonyesho kwa kufuata utaratibu na kwa ajili ya mahali pa kutolea sadaka za kuteketezwa kila siku asubuhi na jioni, siku za Sabato na Mwezi Mwandamo pia katika sikukuu zilizoamriwa za Bwana Mungu wetu. Hili ni agizo la kudumu kwa ajili ya Waisraeli.
5 Un tas nams, ko es celšu, būs liels, jo mūsu Dievs ir lielāks nekā visi dievi.
“Hekalu nitakalolijenga litakuwa kubwa, kwa sababu Mungu wetu ni mkuu kuliko miungu mingine yote.
6 Bet kam tad tik daudz spēka, Viņam namu celt? Jo debesis un visu debesu debesis nespēs Viņu saņemt; kas tad es esmu, ka varētu Viņam celt namu? Bet ka tik vien Viņa priekšā varētu kvēpināt.
Lakini ni nani awezaye kumjengea Hekalu, maadamu mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kumtosha? Mimi ni nani basi hata nimjengee Hekalu, isipokuwa liwe tu mahali pa kutolea dhabihu za kuteketezwa mbele zake?
7 Un nu sūti man gudru vīru, kas māk izstrādāt zeltu un sudrabu un varu un dzelzi, purpuru, karmezīnu un zilumu, un kas prot strādāt izrakstītu darbu kopā ar tiem gudriem, kas pie manis iekš Jūda un Jeruzālemē, ko mans tēvs Dāvids gādājis.
“Hivyo basi nitumie mtu mwenye ustadi wa kufanya kazi ya kutengeneza dhahabu na fedha, shaba na chuma, nyuzi za rangi ya zambarau, nyekundu na buluu, mwenye uzoefu wa kutia nakshi, ili afanye kazi Yuda na Yerusalemu pamoja na mafundi wangu wenye ustadi, ambao baba yangu Daudi aliwaweka.
8 Sūti man arī ciedru kokus, priedes un algumim kokus no Lībanus; jo es zinu, ka tavi kalpi prot cirst Lībanus kokus. Un redzi, mani kalpi būs pie taviem,
“Pia nitumie magogo ya mierezi, miberoshi na misandali kutoka Lebanoni kwa maana najua kwamba watu wako wanao ujuzi wa kupasua mbao huko. Watu wangu watafanya kazi pamoja na watu wako
9 Man sacirst kokus lielā vairumā; jo tas nams, ko es celšu, būs liels un apbrīnojams.
ili wanipatie mbao kwa wingi kwa sababu Hekalu nitakalojenga lazima liwe kubwa na zuri kabisa.
10 Un redzi, taviem kalpiem, kas tos kokus cērt, es došu divdesmit tūkstoš koru samaltu kviešu un divdesmit tūkstoš koru miežu, un divdesmit tūkstoš batus vīna un divdesmit tūkstoš batus eļļas.
Nitawapa watumishi wako, yaani, maseremala wakatao mbao, kori 20,000 za unga wa ngano, kori 20,000 za shayiri, bathi 20,000 za mvinyo, na bathi 20,000 za mafuta ya zeituni.”
11 Tad Hirams, Tirus ķēniņš, atbildēja caur grāmatām un sūtīja pie Salamana: tāpēc ka Tas Kungs Savus ļaudis mīļo, Viņš tevi licis pār tiem par ķēniņu.
Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro akamjibu Solomoni kwa barua: “Kwa sababu Bwana anawapenda watu wake, amekufanya wewe kuwa mfalme wao.”
12 Un Hirams sacīja: slavēts lai ir Tas Kungs, Israēla Dievs, kas radījis debesi un zemi, kas ķēniņam Dāvidam devis gudru, prātīgu un apdomīgu dēlu, kas namu uztaisīs Tam Kungam un namu savai ķēniņa valdībai.
Naye Hiramu akaongeza kusema: “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli aliyezifanya mbingu na nchi! Amempa Mfalme Daudi mwana mwenye hekima, aliyejaliwa maarifa na ufahamu, ambaye atajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.
13 Tad es nu sūtu gudru pratēju vīru, Huramu Abivu;
“Mimi nitamtuma kwako Huramu-Abi, mtu mwenye ustadi mwingi,
14 Viņa māte ir no Dana meitām, un viņa tēvs Tiriešu vīrs. Tas māk izstrādāt zeltu un sudrabu, varu, dzelzi, akmeņus, kokus, purpuru un zilumu un smalkas dzijas, audeklu un karmezīnu, un darīt visādu izrakstītu darbu, izdomāt visādas gudras lietas, ko tam liek, ar taviem gudriem un ar tava tēva, mana kunga, Dāvida, gudriem.
ambaye mama yake alitoka Dani na baba yake alitoka Tiro. Yeye ni stadi wa kutengeneza vitu, kufanya kazi zote za dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe na mbao pamoja na kufuma. Ni stadi katika kutia rangi ya zambarau, buluu, nyekundu na nguo za kitani safi. Yeye ana ujuzi katika aina zote za kutia nakshi na anaweza kufuatiliza mchoro wowote wa kazi anayopewa. Atafanya kazi na mafundi wako na wale wa bwana wangu, Daudi baba yako.
15 Tad nu lai sūta taviem kalpiem tos kviešus un miežus un eļļu un vīnu, ko mans kungs minējis.
“Sasa basi bwana wangu na awapelekee watumishi wake ngano, shayiri, mafuta ya zeituni na mvinyo kama alivyoahidi,
16 Tad mēs cirtīsim Lībanus kokus, cik tev vajag un pie tevis novedīsim ar plostiem pār jūru uz Joppi, tad tu tos varēsi likt vest uz Jeruzālemi.
nasi tutakata magogo yote yale unayohitaji kutoka Lebanoni nasi tutayafunga pamoja na kuyaweka yaelee baharini mpaka Yafa. Kisha utaweza kuyachukua mpaka Yerusalemu.”
17 Un Salamans skaitīja visus svešiniekus Israēla zemē, pēc tās skaitīšanas, kā viņa tēvs Dāvids tos bija skaitījis, un tur atradās simt piecdesmit trīs tūkstoši seši simti.
Ndipo Solomoni akaamuru ifanyike hesabu ya wageni wote waliokuwa katika Israeli, baada ya ile hesabu iliyofanywa na Daudi; wakapatikana watu 153,600.
18 Un viņš no tiem ņēma septiņdesmit tūkstoš nastu nesējus un astoņdesmit tūkstoš cirtējus uz kalniem un trīs tūkstoš sešsimt uzraugus, ļaudis dzīt pie darba.
Akawaweka watu 70,000 miongoni mwao kuwa wachukuzi wa mizigo, na 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na 3,600 wakiwa wasimamizi juu yao ili wawahimize watu kufanya kazi.