< Pirmā Samuela 14 >

1 Un kādā dienā Jonatāns, Saula dēls, sacīja uz savu puisi, kas viņa bruņas nesa: nāc, iesim pāri uz Fīlistu vakti, kas viņā pusē. Un viņš to savam tēvam nesacīja.
Siku moja, Yonathani mwana wa Sauli alimwambia mbeba silaha wake aliye mdogo, “Njoo, hebu twende hadi upande mwingine kwenye ngome ya Wafilisti.” Lakini hakumjulisha baba yake.
2 Bet Sauls palika Ģibejas galā apakš tā granāta koka Migronā, un to ļaužu, kas pie viņa, bija pie sešsimt vīru.
Sauli alikuwa akikaa nje ya mji wa Gibea chini ya mti wa mkomamanga ulio katika Migroni. Takribani watu mia sita walikwa pamoja naye,
3 Un Ahijus, Aķitaba dēls, (tas bija Ihaboda brālis, tas Pinehas dēls, tas Elus dēls, kas bija Tā Kunga priesteris iekš Šīlo), nesa to efodu; bet tie ļaudis nezināja, ka Jonatāns bija aizgājis.
akiwemo Ahiya mwana wa Ahitubu (nduguye Ikabodi) mwana wa Finehasi, mwana wa Eli, kuhani wa BWANA huko Shilo, aliyevaa naivera. Watu hao hawakujua kwamba Yonathani ameondoka.
4 Bet tur tai ceļa šaurumā, kur Jonatānam bija cauri jāiet uz Fīlistu vakti, bija divas asas klintis, viena šai pusē, otra viņā pusē, un vienai bija vārds Bocec un otrai bija vārds Zene.
Katikati ya vichochoro, ambavyo Yonathani alinuia kuvipita hadi ngome ya Wafilisti, kulikuwa na mwamba wenye mteremko mkali upande mmoja, na mteremko mkali upande mwingine. Jabali moja liliitwa Bosesi, na jingine liliitwa Sene.
5 Vienai gals cēlās uz ziemeļa pusi pret Mikmasu un otrai uz dienasvidu pret Ģebu.
Lile jabali lenye mteremko mkali zaidi liliinuka upande wa kaskazini mbele ya Mikmashi, na jingine upande wa kusini mbele ya Geba.
6 Un Jonatāns sacīja uz to puisi, kas viņa bruņas nesa: ejam pāri uz šo neapgraizīto ļaužu vakti, vai Tas Kungs priekš mums ko nedarīs, jo Tam Kungam nav grūti atpestīt, vai caur daudz, vai caur maz.
Yonathani akamwambia kijana mbeba silaha, “Njoo, na tuvuke hadi ngome ya hawa wasiotahiriwa. Pengine BWANA atatenda kwa niaba yetu, kwa maana hakuna kitu kiwezacho kumzuia BWANA asiokoe kwa wengi au kwa watu wachache.”
7 Tad viņa bruņu nesējs uz to sacīja: dari visu, kas tavā sirdī; ej tik, redzi, es iešu tev līdz pēc tava prāta.
Mbeba silaha wake akajibu, “Fanya kila kitu kilicho ndani ya moyo wako. Songa mbele, tazama, niko pamoja nawe, nitatii maagizo yako yote.”
8 Tad Jonatāns sacīja: redzi, iesim pāri pie tiem vīriem un parādīsimies viņiem.
Ndipo Yonathani akasema, “Tutavuka twende kwa watu hao, na tutajionesha wenyewe kwao.
9 Ja tie tā uz mums sacīs: stāviet, tiekams mēs pie jums tiksim, tad paliksim stāvot savā vietā un nekāpsim augšā pie viņiem.
Kama watatuambia, 'Subirini hapo hadi tutakapokuja kwenu' - basi tutabaki katika sehemu yetu na hatutavuka kwenda kwao.
10 Bet ja tie tā sacīs: nāciet augšā pie mums, - tad kāpsim augšā, jo Tas Kungs tos ir devis mūsu rokā, un tas mums būs par zīmi.
Lakini kama watajibu, 'Njoni kwetu,' ndipo tutavuka; kwa sababu BWANA amewaweka mkononi mwetu. Hii ndiyo itakuwa ishara yetu.”
11 Kad nu tie abi Fīlistu vakts vīriem parādījās, tad tie Fīlisti sacīja: redzi, Ebreji nāk ārā no tām alām, kur tie bija paslēpušies.
Kwa hiyo wote wawili wakajifunua mbele ya ngome ya Wafilisti. Wafilisti wakasema, “Angalia, Webrania wanakuja kutokea kwenye mashimo walimojificha.”
12 Un tie vakts vīri sauca Jonatānam un viņa bruņu nesējam un sacīja: nāciet pie mums augšā, mēs jums ko teiksim. Tad Jonatāns uz savu bruņu nesēju sacīja: kāp man pakaļ, jo Tas Kungs tos ir devis Israēla rokās.
Ndipo watu wa ile ngome wakamwita Yonathani na mbeba silaha wake, wakisema, “Njoni huku kwetu, tutawaonesha jambo fulani.” Na Yonathani akamwambia mbeba silaha wake; “Nifuate nyuma yangu, kwa sababu BWANA amewaweka katika mkono wa Israeli.”
13 Tad Jonatāns ar rokām un kājām uzrāpās, un viņa bruņu nesējs viņam pakaļ.
Yonathani alipanda juu kwa mikono na miguu yake, na mbeba silaha akimfuata nyuma yake. Wafilisti waliuwawa mbele ya Yonathani, na mbeba silaha wake akiwaua baadhi nyuma yake.
14 Un tie krita Jonatāna priekšā, un viņa bruņu nesējs tos kāva viņam pakaļ, tā ka šinī pirmā kaušanā Jonatāns un viņa bruņu nesējs nokāva pie divdesmit vīru, tik ne pusbirzuma vietā.
Hilo shambulio la kwanza walilofanya Yonathani na mbeba silaha wake, waliua watu wapatao ishirini katika urefu wa nusu handaki kwenye eka moja ya ardhi.
15 Un tur izbailes cēlās lēģerī, uz lauka un starp tiem ļaudīm, un tā vakts un tie sirotāji paši, pat tie drebēja, un zeme trīcēja, un tās bija izbailes no Dieva.
Kukawa na hofu kubwa katika kambi, uwandani, na katika watu. Hata ngome ya jeshi na watekaji nyara nao wakawa na hofu kubwa
16 Kad nu Saula sargi Benjamina Ģibejā redzēja, ka tas pulks izšķīda un izklīda šurp un turp,
Ndipo walinzi wa Sauli huko Gibea ya Benyamini wakaona kundi la askari wa Wafilisti likitawanyika, wakienda kule na huku.
17 Tad Sauls sacīja uz tiem ļaudīm, kas pie viņa bija: skaitāt jel un redziet, kas no mums ir nogājis. Tad tie skaitīja, un redzi, Jonatāna un viņa bruņu nesēja nebija.
Kisha Sauli akawaambia watu aliokuwa nao, “Mjihesabu ili muone nani hayupo hapa.”Walipokuwa wamehesabu, wakagundua kuwa Yonathani na mbebaji wa silaha zake hawapo.
18 Tad Sauls sacīja uz Ahiju: atnes Dieva šķirstu šurp! (jo Dieva šķirsts to laiku bija pie Israēla bērniem).
Sauli akamwambia Ahiya, “Lete hapa naivera ya Mungu”- kwa maana siku hiyo Ahiya alivaa naivera akiwa pamoja na askari wa Israeli.
19 Un kamēr Sauls vēl uz to priesteri runāja, tad troksnis Fīlistu lēģerī auga un vairojās. Un Sauls sacīja uz to priesteri: apturi savu roku.
Wakati Sauli akiongea na kuhani, kelele na ghasia kubwa iliendelea na kuongezeka katika kambi ya Wafilisti. dipo sauli akamwambia kuhani, “Acha kazi unayofanya.”
20 Tad Sauls un visi ļaudis, kas pie viņa bija, sasaucās un gāja kauties un redzi, tur bija zobens pret zobenu, un bija liels troksnis.
Sauli na watu wote aliokuwa nao wakajipanga na kwenda kwenye mapigano. Upanga wa kila Mfilisti ulikwa juu ya Mfilisti mwenzake, na kulikuwa na ghasia kubwa.
21 Un tie Ebreji, kas līdz šim bija pie Fīlistiem lēģerī bijuši un tiem bija līdz nākuši, tie arīdzan pārgāja pie Israēla, kas bija pie Saula un pie Jonatāna.
Basi Waebrania ambao mwanzoni walijiunga na Wafilisti, na kwenda kwenye kambi yao, wao pia waliungana na Waisraeli waliokuwa pamoja na Sauli na Yonathani.
22 Un visi Israēla vīri, kas bija apslēpušies uz Efraīma kalniem, kad tie dzirdēja Fīlistus bēgam, arī dzinās tiem pakaļ kaudamies.
Waisraeli wote waliokuwa wamejificha katika milima karibu na Efraimu waliposikia kwamba Wafilisti wamekimbia, nao pia wakawafuata Wafilisti nakuwafukuza kwenye hiyo vita.
23 Tā Tas Kungs tai dienā Israēli atpestīja, un tā kaušanās stiepās līdz Bet-Avenai.
Hivyo siku hiyo BWANA aliwaokoa Israeli, na mapigano yalivuka kupitiliza Beth aveni.
24 Un Israēla vīri nogura tai dienā, un Sauls tiem ļaudīm piekodināja sacīdams: nolādēts tas vīrs, kas maizi ēdīs, pirms vakars nāks un es būšu atriebies pie saviem ienaidniekiem. Un neviens no tiem ļaudīm maizes neēda.
Siku hiyo watu wa Israeli walifadhaika kwa sababu Sauli aliwaweka watu chini ya kiapo akasema, “Na alaaniwe mtu atakaye kula chakula kabla ya jioni na kabla sijalipiza kisasi kwa maadui zangu.” Hivyo hakuna hata mmoja kati ya watu wote aliyeonja chakula.
25 Un visi ļaudis nāca mežā, un tur bija medus pa zemes virsu.
Ndipo watu wote wakaingia msituni na kuona asali ikiwa juu ya ardhi.
26 Kad nu tie ļaudis nāca mežā, redzi, tur tecēja medus. Bet neviens nelika savu roku pie mutes, jo tie ļaudis bijās no tā zvēresta.
Watu walipoingia humo msituni, asali ilitiririka, lakini hakuna aliyeweka mkono wake kinywani kwa maana watu waliogopa kiapo.
27 Bet Jonatāns to nebija dzirdējis, ka viņa tēvs tos ļaudis ar zvērestu bija apdraudējis, un viņš izstiepa sava zižļa galu, kas bija viņa rokā, un iemērca to tai medū, un grieza savu roku atkal pie mutes, tad viņa acis tapa skaidras.
Lakini Yonathani alikuwa hajasikia kwamba baba yake amewaagiza watu kwa kiapo. Akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake na kuichovya kwenye sega la asali. Kisha akanyoosha mkono wake hadi kinywani mwake, na macho yake yakaangaziwa.
28 Un viens no tiem ļaudīm bildināja(ieminējās) un sacīja: tavs tēvs tos ļaudis ar zvērestu gauži apdraudējis sacīdams: nolādēts lai ir tas vīrs, kas šodien ko ēd! Un tā tie ļaudis nogurst.
Ndipo mmoja wa watu hao, akamwambia, “Baba yako aliwaagiza watu kwa mkazo na kwa kiapo, kwa kusema, 'Alaaniwe mtu atakaye kula chakula kwa siku ya leo,' ingawa watu wamedhoofika kwa ajili ya njaa.”
29 Tad Jonatāns sacīja: mans tēvs to zemi ir sajaucis; redziet jel, kā manas acis palikušas skaidras, kad es maķenīt no šī medus esmu baudījis.
Baadaye Yonathani alisema, “Baba yangu amefanya matatizo katika nchi. Angalia jinsi macho yangu alivyotiwa nuru kwa sababu nilionja asali hii kidogo.
30 Cik vairāk, kad tie ļaudis būtu ēdin ēduši no savu ienaidnieku laupījuma, ko tie atraduši; bet nu Fīlistu sakaušana nav bijusi tik liela.
Je, siyo vivuri sana kama leo watu wangekula bila kizuizi nyara walizopata kutoka kwa maadui zao? Kwa sababu sasa mauaji hayakuwa makubwa katikati ya Wafilisti.”
31 Taču tai dienā tie Fīlistus kāva no Mikmasas līdz Ajalonai, un tie ļaudis bija ļoti noguruši.
Siku hiyo waliwashambulia Wafilisti kutoka Mikmashi hadi Aiyaloni. Na watu walikuwa wamechoka sana.
32 Tad tie ļaudis taisījās uz laupīšanu, un ņēma avis un vēršus un teļus, un tos kāva zemē, un tie ļaudis tos ēda ar asinīm.
Hivyo watu wakazivamia nyara na kuchukua kondoo, ng'ombe na ndama na kuwachinja hapo chini. Watu walikula nyama zao pamoja na damu.
33 Tad Saulam to teica un sacīja: redzi, tie ļaudis apgrēkojās pret To Kungu, asinis ēzdami. Un tas sacīja: jūs noziedzāties; atveļat man tagad šurp vienu lielu akmeni.
KIsha wakamwambia Sauli, “Tazama, watu wanamtenda BWANA dhambi kwa kula pamoja na damu.” Sauli akasema, “Mmetenda isivyo haki. Sasa, viringisheni jiwe kubwa kwangu.” Sauli akasema,
34 Un Sauls sacīja: ejat šurp un turp pa tiem ļaudīm un sakāt tiem: atvediet pie manis ikviens savu vērsi un ikviens savu avi, un nokaujiet tos šeit un ēdiet un neapgrēkojaties pret To Kungu, ar asinīm ēzdami. Tad visi ļaudis naktī atveda ikviens savu vērsi ar savu roku un tos tur nokāva.
“Nendeni kati watu, na muwaambie, 'Kila mtu alete ng'ombe na kondoo wake, wawachinje hapa, na kuwala. Msimtende BWANA dhambi kwa kula na damu.”' Kwa hiyo watu wote wakaleta kila mtu na ng'ombe wake usiku huo na kuwachinja mahali hapo.
35 Tad Sauls Tam Kungam uztaisīja vienu altāri. Šis bija tas pirmais altāris, ko viņš Tam Kungam cēla.
Sauli akamjengea BWANA madhabahu, ambayo ilikuwa ya kwanza kwake kumjengea BWANA.
36 Un Sauls sacīja: dzīsimies Fīlistiem pakaļ pa nakti un aplaupīsim tos, līdz kamēr gaisma metās, un neatlicināsim no tiem neviena. Tie sacīja: dari visu, kas tavām acīm patīk. Bet tas priesteris sacīja: iesim še pie Dieva.
Ndipo Sauli akasema, “Haya tuwafukuze Wafilisti usiku na kuwateka nyara hadi asubuhi; tusimwache hata mtu mmoja akiwa hai.” Nao wakamjibu, “Fanya unaloona linakupendeza.” Lakini kuhani akasema, “Hebu na tumkaribie Mungu mahali hapa.”
37 Tad Sauls vaicāja Dievu: vai man Fīlistiem būs dzīties pakaļ? Vai tu tos dosi Israēla rokā? Bet Viņš tam tai dienā neatbildēja.
Sauli alitaka kumuuliza Mungu maswali zaidi, “Je, inanipasa kuwafukuza Wafilisti? Je, utawaweka katika mkono wa Israeli?” Lakini siku hiyo BWANA hakumjibu kitu.
38 Tad Sauls sacīja: nāciet šurp visi ļaužu virsnieki, un izmeklējiet un raugiet, pie kā tas grēks ir šim brīžam.
Ndipo Sauli akasema, “Njoni hapa, viongozi wote wa watu; mjue na kuona jinsi dhambi hii ilivyotokea leo.
39 Jo tik tiešām kā Tas Kungs dzīvo, kas Israēli atpestījis, jebšu tas būtu pie mana dēla Jonatāna, tad tam tiešām būs mirt. Un neviens no visiem ļaudīm tam neatbildēja.
Kwa maana, kama BWANA aishivyo, aliyewaokoa Israeli, hata kama angekuwa mwanangu Yonathani, atapaswa kufa.” Lakini hakuna hata mtu mmoja miongoni mwa watu aliye mjibu neno.
40 Atkal tas sacīja uz visu Israēli: jums būs vienā pusē stāvēt, un es un mans dēls Jonatāns stāvēsim otrā pusē. Tad tie ļaudis sacīja uz Saulu: dari, kā tev patīk.
Basi akawaambia Waisraeli wote, “Simameni upande mmoja, na mimi na Yonathani tutasimama upande mwingine.” Kisha watu wakamwambia Sauli, “Fanya lile unaloona jema kwako.”
41 Tad Sauls sacīja uz To Kungu, Israēla Dievu: parādi taisnību. Tad Jonatāns un Sauls tapa iezīmēti, bet tie ļaudis izgāja bez vainas.
Kwa hiyo, Sauli akamwambia BWANA, Mungu wa Israeli, “Tuoneshe Thumimu.” Yonathani na Sauli wakatwaliwa, lakini watu walinusurika kuchaguliwa.
42 Tad Sauls sacīja: metiet par mani un par manu dēlu Jonatānu. Tad Jonatāns tapa iezīmēts.
Basi Sauli akasema, “Tupa mawe ya bahati nasibu tuone kati yangu na mwanangu Yonathani.” Ndipo Yonathani akatwaliwa.
43 Un Sauls sacīja uz Jonatānu: saki man, ko tu esi darījis? Tad Jonatāns viņam teica un sacīja: es tikai maķenīt medus esmu baudījis ar sava zižļa galu, kas bija manā rokā; redzi, man nu jāmirst.
Kisha Sauli akamwambia Yonathani, “Niambie umefanya nini.” Yonathani akamwambia baba yake, “Nilionja asali kidogo kwa kutumia ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwangu. Niko hapa; Nitakufa.”
44 Tad Sauls sacīja: lai Dievs man šā un tā dara, Jonatān, - tev tiešām jāmirst.
Sauli akasema, “Mungu afanye hivyo na kuzidi hata kwangu, kama Yonathani hautakufa.”
45 Tad tie ļaudis sacīja uz Saulu: vai Jonatānam būs mirt, kas šo lielo pestīšanu iekš Israēla padarījis. Nebūt ne! Tik tiešām kā Tas Kungs dzīvo, ne matam no viņa galvas nebūs zemē krist, jo viņš to šodien ir izdarījis ar Dievu. Tā tie ļaudis Jonatānu izpestīja, ka tam nebija jāmirst.
Basi watu wakamuuliza Sauli, “Je, inampasa Sauli afe, ni nani aliyetekeleza ushindi huu mkubwa kwa ajili ya Israeli? Mbali na hayo! Kama BWANA aishivyo, hata unywele mmoja wa kichwa chake hautaanguka chini, kwa maana leo amefanya kazi pamoja na Mungu.” Hivyo hao watu walimuokoa Yonathani ili asife.
46 Un Sauls no Fīlistiem atstājās un griezās atpakaļ, un Fīlisti gāja atkal uz savu vietu.
Basi Sauli akasita kuwafuatia Wafilisti, nao wakarudi katika makao yao.
47 Bet Sauls valdību bija uzņēmis pār Israēli un karoja visapkārt ar visiem saviem ienaidniekiem, arī pret Moabu un pret Amona bērniem un pret Edomu un pret Cobas ķēniņiem un pret Fīlistiem, un visiem, kurp viņš griezās viņš lika just savu bardzību.
Sauli alipoanza kutawala juu ya Israeli, alipigana na adui zake wote kila upande. Alipigana dhidi ya Moabu, dhidi ya watu wa Amoni, Edomu, wafalme wa Zoba, na Wafilisti. Popote alipogeukia aliwapiga kwa adhabu adui zake.
48 Un viņš parādīja spēku un sakāva Amalekiešus un izpestīja Israēli no viņu laupītāju rokas.
Alitenda kwa ushujaa mkubwa na kuwashinda Waamaleki. Aliwaokoa Israeli kutoka mikono ya watu ambao waliwateka nyara.
49 Un Saula dēli bija Jonatāns, Izvus un Malķizuūs, un viņa abu meitu vārdi - tās pirmdzimtās vārds bija Merabe un tās jaunākās vārds bija Mikale.
Basi wana wa Sauli walikuwa ni hawa Yonathani, Ishvi, na Malkishua. Na majina ya binti zake wawili yalikuwa ni haya, Merabu mzaliwa wa kwanza, na mdogo aliitwa Mikali.
50 Un Saula sievas vārds bija Akinoame, Aķimaāca meita; un viņa kara virsnieka vārds bija Abners, Nera, Saula tēva brāļa, dēls.
Jina la mke wa Sauli aliitwa Ahinoamu; naye alikuwa binti Ahimaasi. Na jina la Jemedari wa jeshi lake aliitwa Abneri mwana wa Neri, baba mdogo wa Sauli.
51 Un Ķis, Saula tēvs, un Ners, Abnera tēvs, bija Abiēļa dēli.
Kishi alikuwa baba yake Sauli; na Neri alikuwa baba yake na Abneri, wote walikuwa wana wa Abieli.
52 Un karš bija briesmīgs pret Fīlistiem, kamēr Sauls dzīvoja. Un kad Sauls redzēja kādu stipru un varenu vīru, tad viņš to ņēma pie sevis.
Kulikuwa na mapigano makali dhidi ya Wafilisti katika siku zote za Sauli. Naye alipomwona mtu yeyote mwenye nguvu, au mtu yeyote jasiri, alimuunganisha kwake.

< Pirmā Samuela 14 >