< Psalmorum 87 >

1 filiis Core psalmus cantici fundamenta eius in montibus sanctis
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 diligit Dominus portas Sion super omnia tabernacula Iacob
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 gloriosa dicta sunt de te civitas Dei diapsalma
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 memor ero Raab et Babylonis scientibus me ecce alienigenae et Tyrus et populus Aethiopum hii fuerunt illic
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 numquid Sion dicet homo et homo natus est in ea et ipse fundavit eam Altissimus
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 Dominus narrabit in scriptura populorum et principum horum qui fuerunt in ea diapsalma
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 sicut laetantium omnium habitatio in te
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”

< Psalmorum 87 >