< Psalmorum 114 >

1 alleluia in exitu Israhel de Aegypto domus Iacob de populo barbaro
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 facta est Iudaea sanctificatio eius Israhel potestas eius
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 mare vidit et fugit Iordanis conversus est retrorsum
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 montes exultaverunt ut arietes colles sicut agni ovium
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 quid est tibi mare quod fugisti et tu Iordanis quia conversus es retrorsum
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 montes exultastis sicut arietes et colles sicut agni ovium
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 a facie Domini mota est terra a facie Dei Iacob
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 qui convertit petram in stagna aquarum et rupem in fontes aquarum
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.

< Psalmorum 114 >