< Psalmorum 124 >

1 Canticum graduum. Nisi quia Dominus erat in nobis, dicat nunc Israel:
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
2 nisi quia Dominus erat in nobis, Cum exurgerent homines in nos,
kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
3 forte vivos deglutissent nos: Cum irasceretur furor eorum in nos,
wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
4 forsitan aqua absorbuisset nos.
mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
5 Torrentem pertransivit anima nostra: forsitan pertransisset anima nostra aquam intolerabilem.
maji yaendayo kasi yangalituchukua.
6 Benedictus Dominus qui non dedit nos, in captionem dentibus eorum.
Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
7 Anima nostra sicut passer erepta est de laqueo venantium: Laqueus contritus est, et nos liberati sumus.
Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
8 Adiutorium nostrum in nomine Domini, qui fecit caelum et terram.
Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.

< Psalmorum 124 >