< Psalmorum 100 >

1 Psalmus in confessione.
Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2 Iubilate Deo omnis terra: servite Domino in laetitia. Introite in conspectu eius, in exultatione.
Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
3 Scitote quoniam Dominus ipse est Deus: ipse fecit nos, et non ipsi nos: Populus eius, et oves pascuae eius:
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
4 introite portas eius in confessione, atria eius in hymnis: confitemini illi. Laudate nomen eius:
Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
5 quoniam suavis est Dominus, in aeternum misericordia eius, et usque in generatione et generationem veritas eius.
Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.

< Psalmorum 100 >