< Proverbiorum 9 >

1 Sapientia aedificavit sibi domum, excidit columnas septem.
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
2 Immolavit victimas suas, miscuit vinum, et proposuit mensam suam.
Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
3 Misit ancillas suas ut vocarent ad arcem, et ad moenia civitatis:
Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
4 Siquis est parvulus, veniat ad me. Et insipientibus locuta est:
“Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
5 Venite, comedite panem meum, et bibite vinum quod miscui vobis.
Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
6 Relinquite infantiam, et vivite, et ambulate per vias prudentiae.
Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 Qui erudit derisorem, ipse iniuriam sibi facit: et qui arguit impium, sibi maculam generat.
Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
8 Noli arguere derisorem, ne oderit te. Argue sapientem, et diliget te.
Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
9 Da sapienti occasionem, et addetur ei sapientia. Doce iustum, et festinabit accipere.
Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
10 Principium sapientiae timor Domini: et scientia sanctorum, prudentia.
Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
11 Per me enim multiplicabuntur dies tui, et addentur tibi anni vitae.
Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
12 Si sapiens fueris, tibimetipsi eris: si autem illusor, solus portabis malum.
Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
13 Mulier stulta et clamosa, plenaque illecebris, et nihil omnino sciens,
Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
14 sedit in foribus domus suae super sellam in excelso urbis loco,
Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
15 ut vocaret transeuntes per viam, et pergentes itinere suo:
Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
16 Qui est parvulus, declinet ad me. Et vecordi locuta est:
Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
17 Aquae furtivae dulciores sunt, et panis absconditus suavior.
Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
18 Et ignoravit quod ibi sint gigantes, et in profundis inferni convivae eius. (Sheol h7585)
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)

< Proverbiorum 9 >