< Psalmorum 2 >
1 Quare fremuerunt Gentes, et populi meditati sunt inania? Astiterunt reges terræ, et principes convenerunt in unum adversus Dominum, et adversus Christum eius.
Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?
2 Dirumpamus vincula eorum: et proiiciamus a nobis iugum ipsorum.
Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
3 Qui habitat in cælis irridebit eos: et Dominus subsannabit eos.
Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
4 Tunc loquetur ad eos in ira sua, et in furore suo conturbabit eos.
Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
5 Ego autem constitutus sum rex ab eo super Sion montem sanctum eius, prædicans præceptum eius.
Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
6 Dominus dixit ad me: Filius meus es tu, ego hodie genui te.
“Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 Postula a me, et dabo tibi Gentes hereditatem tuam, et possessionem tuam terminos terræ.
Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
8 Reges eos in virga ferrea, et tamquam vas figuli confringes eos.
Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
9 Et nunc reges intelligite: erudimini qui iudicatis terram.
Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
10 Servite Domino in timore: et exultate ei cum tremore.
Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
11 Apprehendite disciplinam nequando irascatur Dominus, et pereatis de via iusta.
Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
12 Cum exarserit in brevi ira eius, beati omnes, qui confidunt in eo.
Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.