< Psalmorum 109 >

1 In finem, Psalmus David.
Zaburi ya Daudi. Mungu ninaye msifu, usinyamaze kimya.
2 Deus laudem meam ne tacueris: quia os peccatoris, et os dolosi super me apertum est.
Kwa maana waovu na wadanganyifu wananishambulia; wanazungumza uongo dhidi yangu.
3 Locuti sunt adversum me lingua dolosa, et sermonibus odii circumdederunt me: et expugnaverunt me gratis.
Wananizunguka na kusema mambo ya chuki, na wananishambulia bila sababu.
4 Pro eo ut me diligerent, detrahebant mihi: ego autem orabam.
Wananilipa kashfa badala ya upendo, lakini mimi ninawaombea.
5 Et posuerunt adversum me mala pro bonis: et odium pro dilectione mea.
Wananilipa uovu badala ya mema, na wanachukia upendo wangu.
6 Constitue super eum peccatorem: et diabolus stet a dextris eius.
Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
7 Cum iudicatur, exeat condemnatus: et oratio eius fiat in peccatum.
Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi.
8 Fiant dies eius pauci: et episcopatum eius accipiat alter.
Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine.
9 Fiant filii eius orphani: et uxor eius vidua.
Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane.
10 Nutantes transferantur filii eius, et mendicent: et eiiciantur de habitationibus suis.
Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia.
11 Scrutetur fœnerator omnem substantiam eius: et diripiant alieni labores eius.
Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake.
12 Non sit illi adiutor: nec sit qui misereatur pupillis eius.
Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake.
13 Fiant nati eius in interitum: in generatione una deleatur nomen eius.
Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho.
14 In memoriam redeat iniquitas patrum eius in conspectu Domini: et peccatum matris eius non deleatur.
Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike.
15 Fiant contra Dominum semper, et dispereat de terra memoria eorum:
Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani.
16 pro eo quod non est recordatus facere misericordiam.
Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo.
17 Et persecutus est hominem inopem, et mendicum, et compunctum corde mortificare.
Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake.
18 Et dilexit maledictionem, et veniet ei: et noluit benedictionem, et elongabitur ab eo. Et induit maledictionem sicut vestimentum, et intravit sicut aqua in interiora eius, et sicut oleum in ossibus eius.
Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake.
19 Fiat ei sicut vestimentum, quo operitur: et sicut zona, qua semper præcingitur.
Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku.
20 Hoc opus eorum, qui detrahunt mihi apud Dominum: et qui loquuntur mala adversus animam meam.
Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu.
21 Et tu Domine, Domine, fac mecum propter nomen tuum: quia suavis est misericordia tua.
Yahwe Bwana wangu, unishughulikie kwa wema kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni mwema, uniokoe.
22 Libera me quia egenus, et pauper ego sum: et cor meum conturbatum est intra me.
Kwa maana ni mnyonge na muhitaji, na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.
23 Sicut umbra cum declinat, ablatus sum: et excussus sum sicut locustæ.
Ninatoweka kama kivuli cha jioni; ninapeperushwa kama nzige.
24 Genua mea infirmata sunt a ieiunio: et caro mea immutata est propter oleum.
Magoti yangu ni dhaifu kutokana na kufunga; ninakuwa mwembamba na mifupa.
25 Et ego factus sum opprobrium illis: viderunt me, et moverunt capita sua.
Nimedharauliwa na washitaki wangu; wanionapo; hutikisa vichwa vyao.
26 Adiuva me Domine Deus meus: salvum me fac secundum misericordiam tuam.
Nisaidie, Yahwe Mungu wangu; uniokoe kwa uaminifu wa agano lako.
27 Et sciant quia manus tua hæc: et tu Domine fecisti eam.
Nao wajue kuwa wewe umefanya haya, kwamba wewe, Yahwe, umetenda haya.
28 Maledicent illi, et tu benedices: qui insurgunt in me, confundantur: servus autem tuus lætabitur.
Ingawa wananilaani, tafadhali unibariki; wanishambuliapo, waaibishwe, lakini mtumishi wako afurahi.
29 Induantur qui detrahunt mihi, pudore: et operiantur sicut diploide confusione sua.
Washitaki wangu na wavishwe kwa aibu; wavae aibu yao kama vazi.
30 Confitebor Domino nimis in ore meo: et in medio multorum laudabo eum.
Kwa kinywa changu ninatoa shukrani kuu kwa Yahwe; nitamsifu yeye katikati ya kusanyiko.
31 Quia astitit a dextris pauperis, ut salvam faceret a persequentibus animam meam.
Maana nitasimama mkono wa kuume wa mhitaji, ili nimuokoe dhidi ya wale wanao muhukumu.

< Psalmorum 109 >