< Psalmorum 124 >
1 Canticum graduum. [Nisi quia Dominus erat in nobis, dicat nunc Israël,
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
2 nisi quia Dominus erat in nobis: cum exsurgerent homines in nos,
kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
3 forte vivos deglutissent nos; cum irasceretur furor eorum in nos,
wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
4 forsitan aqua absorbuisset nos;
mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
5 torrentem pertransivit anima nostra; forsitan pertransisset anima nostra aquam intolerabilem.
maji yaendayo kasi yangalituchukua.
6 Benedictus Dominus, qui non dedit nos in captionem dentibus eorum.
Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
7 Anima nostra sicut passer erepta est de laqueo venantium; laqueus contritus est, et nos liberati sumus.
Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
8 Adjutorium nostrum in nomine Domini, qui fecit cælum et terram.]
Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.