< Job 17 >

1 [Spiritus meus attenuabitur; dies mei breviabuntur: et solum mihi superest sepulchrum.
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
2 Non peccavi, et in amaritudinibus moratur oculus meus.
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
3 Libera me, Domine, et pone me juxta te, et cujusvis manus pugnet contra me.
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
4 Cor eorum longe fecisti a disciplina: propterea non exaltabuntur.
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
5 Prædam pollicetur sociis, et oculi filiorum ejus deficient.
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 Posuit me quasi in proverbium vulgi, et exemplum sum coram eis.
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
7 Caligavit ab indignatione oculus meus, et membra mea quasi in nihilum redacta sunt.
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
8 Stupebunt justi super hoc, et innocens contra hypocritam suscitabitur.
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
9 Et tenebit justus viam suam, et mundis manibus addet fortitudinem.
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
10 Igitur omnes vos convertimini, et venite, et non inveniam in vobis ullum sapientem.
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
11 Dies mei transierunt; cogitationes meæ dissipatæ sunt, torquentes cor meum.
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
12 Noctem verterunt in diem, et rursum post tenebras spero lucem.
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
13 Si sustinuero, infernus domus mea est, et in tenebris stravi lectulum meum. (Sheol h7585)
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
14 Putredini dixi: Pater meus es; Mater mea, et soror mea, vermibus.
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
15 Ubi est ergo nunc præstolatio mea? et patientiam meam quis considerat?
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
16 In profundissimum infernum descendent omnia mea: putasne saltem ibi erit requies mihi?] (Sheol h7585)
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)

< Job 17 >