< Insinulo 20 >
1 Kuzwa aho china bona iñiloi nilizwa kwi wulu liza hansi. Libakwina i nki ye lindi lisena ma manimani, mi libakwete incheni inkando mwi yanza. (Abyssos )
Kisha niliona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa na ufunguo wa shimo lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
2 Chilya kwata i dilagoni, inzoka ya kale, isumpwa diabulusi, kamba Satani, mi ni kumusumina ka myaka ikwana wani sauzandi.
Alimshika yule joka, nyoka wa zamani, ambaye ni ibilisi au Shetani, na kumfunga miaka elfu.
3 Cha musohela mwilindi lisena ma manimani, chali yala ni kuli lamika hewulu lya kwe. Ku babi bulyo kuti ka nji a chengi macaba hape kusikila myaka itenda wani sauzandi chiya mana. Kuzwa aho, uswanela ku lukululwa mwi nako zana. (Abyssos )
Alimtupa kwenye shimo lisilo na mwisho, akalifunga na kulitia mhuri juu yake. Hii ilikuwa hivyo ili kwamba asiwadanganye mataifa tena mpaka miaka elfu itakapoisha. Baada ya hapo, ataachiwa huru kwa muda mchache. (Abyssos )
4 Linu china bona mabona. Ba bekele hateni njabana baba hewa ziho zaku atula. Hape china bona myoyo ya bana baba kosolwa mitwi chebaka lya bupaki bwa Krisite mi ni inzwi lya Ireeza. Kena baba lumbeki chi batana kamba chi bumbeho cha cho mi baba kani kutambula luswayo lwa cho ha bulubi bwabo kamba he yanza. Baba bolelwa buhalo, mi baba busi ni Kriste myaka ina sauzandi.
Kisha niliona viti vya enzi. Waliokuwa wamevikalia ni wale ambao walikuwa wamepewa mamlaka ya kuhukumu. Vilevile niliona nafsi za wale ambao walikuwa wamekatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda kuhusu Yesu na kwa neno la Mungu. Walikuwa hawajamwabudu mnyama au sanamu yake, na walikataa kupokea alama juu ya paji za nyuso zao au mkono. Walikuja uzimani, na wakatawala pamoja na Kristo kwa miaka elfu.
5 Bungi bwa bantu kahena baba bolelwa buhalo konji ha kumana myaka itenda wani sauzandi. uku nji kubuka kwa matangilo.
Wafu waliobaki hawakuja uzimani mpaka miaka elfu ilipokuwa imeisha. Huu ndio ufufuo wa kwanza.
6 U fuyoletwe ni ku jolola iye yo wanika mu kubuka kwa matangilo! he wulu lyechi ifu lya bubeli kalina ziho. Ka babe ma prista ba Ireeza ni Krisite mi kaba buse naye mu myaka itenda wani sauzandi.
Mbarikiwa na mtakatifu ni mtu yeyote ambaye achukua nafasi katika ufufuo wa kwanza! Mauti ya pili haina nguvu juu ya watu kama hawa. Patakuwa na makuhani wa Mungu na wa Kristo na watatawala na yeye kwa miaka elfu.
7 Myaka ina wani sauzandi chiyeza kuma manimani, Satani mwa lukululwe kuzwa mwi ntolongo.
Wakati miaka elfu itakapofikia mwisho, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.
8 Mwa yende ni ku chengelela mishobo mu nkona zone ze fasi-Gogo ni Magogo-kuba leta hamwina mwi nkondo. Ka babe bangi ubu isekese lye wate.
Atakwenda nje kuwadanganya mataifa katika kona nne za dunia -Gogu na Magogu - kuwaleta pamoja kwa ajili ya vita. Watakuwa wengi kama mchanga wa bahari.
9 Baba yendi he baala liyalukite lye fasi ni kuzimbuluka malapa aba lumeli, muleneñi usakahala. Kono mulilo uba soki kuzwa mwi wulu ni kuba hisa.
Walikwenda juu kwenye tambarare ya nchi nao walizunguka kambi ya waumini, mji upendwao. Lakini moto ulikuja kutoka mbinguni na kuwaangamiza.
10 Diabulusi, ya baba chengeleli, aba sohelwa mwi wate lya mulilo wa silufula, umo mubasohelwa chibatana ni ba tanikizi ba mapa. muba nyandiswe musihali ni masiku ka kuya kusamani. (aiōn , Limnē Pyr )
Shetani, ambaye aliwadanganya, alitupwa ndani ya ziwa liwakalo kiberiti, ambamo mnyama na nabii wa uongo walikuwa wameshatupwa. Watateswa mchana na usiku milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
11 Kuzwa aho china bona lubona lukando lutuba mi ni ya bekeele hateni. Inkanda ni wulu ziba tiyi kuzwa mubusu bwa kwe, kono kahena kubena chibaka kuziwola kuya.
Kisha niliona kiti cha enzi kikubwa cheupe na yule ambaye alikaa juu yake. Dunia na mbingu zilikimbia mbali kutoka katika uwepo wake, lakini hapakuwako nafasi ya wao kwenda.
12 Ni ba boni bafwile—ba kolete ni basa sepahali— nibazimene habusu bwa lubona, mi imbuka zi be yalwilwe. Linu imwi imbuka chi ye yalulwa— Imbuka ya Buhalo. Bafwile baba atulwa kachi ba ñoletwe mwi mbuka, ka kuya cha mitendo yabo.
Niliwaona waliokufa - hodari na wasio wa muhimu wamesimama katika kiti cha enzi, na vitabu vilifunuliwa. Kisha kitabu kingine kilifunguliwa - Kitabu cha Uzima. Wafu walihukumiwa kwa kile kilichoandikwa ndani ya vitabu, matokeo ya kile walichokifanya.
13 Iwate liba lekezi bonse ba bena mwateni. Ifu ni makumbu ziba lukululi bafwile ba bena mwa teni, mi bafwile ba ba atulwa chakuya ka mitendo yabo. (Hadēs )
Bahari iliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake. Kifo na kuzimu viliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake, na wafu walihukumiwa kulingana na walichofanya. (Hadēs )
14 Ifu ni makumbu zi ba sohelwa mwi wate lya mulilo. Ili ifu lya bubeli—i wate lya mulilo. (Hadēs , Limnē Pyr )
Kifo na kuzimu zilitupwa ndani ya ziwa la moto. Hii ni mauti ya pili - ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
15 Izina lya zumwi ni zumwi haiba kali waniki ni liñoletwe mwi Mbuka ya Buhalo, aba kusohelwa mwi wate lya mulilo. (Limnē Pyr )
Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa ndani ya Kitabu cha Uzima, alitupwa ndani ya ziwa la moto. (Limnē Pyr )