< Mateu 10 >

1 Jesu hasupa balutwana vakwe bonse vena ikumi ni vovele, mi cha vaha ziho za ku kalimela ihuho imbi, ni kuzi laela kuzwa, ni ku hoza matuku, ni mi fokolo yose.
Ndipo Yesu akawaita wanafunzi wake kumi na wawili, naye akawapa mamlaka juu ya pepo wachafu, ili waweze kuwatoa na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila aina.
2 Lyahanu mazina a valutwana vena ikumi ni vovele nji: We ntanzi, Sayimoni yo sumpwa Pitorosi, ni mwachakwe Andreyasi; Jakovo mwan'a Zevediya, ni mwachakwe Joani;
Haya ndiyo majina ya hao mitume kumi na wawili: wa kwanza, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye; Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye;
3 Filipi, ni Vartolome; Tomasi, ni Mateu mulihisi wa mitelo; Jakovo mwan'a Alufeya, ni Tadeya;
Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo mwana wa Alfayo, na Thadayo;
4 Sayimoni yo kanana, ni Judasi Isikariyote, muwuzi wa Jesu.
Simoni Mkananayo, na Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu.
5 Aava vena ikumi ni vo vele Jesu cha va tuma. Cha va layela kuti, “Sanzi va yendi kuzivaka za Machava, mi sanzi mwi njili mwi Tolopo ihi ya Masamariya;
Hawa kumi na wawili, Yesu aliwatuma akawaagiza: “Msiende miongoni mwa watu wa Mataifa, wala msiingie mji wowote wa Wasamaria.
6 Kono muyende kwi Ngu zi zovete ze zunvo ya Isilaele.
Lakini afadhali mshike njia kuwaendea kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea.
7 Mi chi muyenda, mukutaze ni muuti, “Mubuso wa kwiwulu chiwina hafuhi.”
Wakati mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa Mbinguni umekaribia.’
8 Mu hoze valwele, mu vuuse vafwile, mu hooze imbingwa, mu hindike madimona. Mu vahewa bulyo, muhe vulyo.
Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo wachafu. Mmepata bure, toeni bure.
9 Sanzi mu hindi gauda, ni silivera, kapa mashelenyi mu mikotana yenu;
Msichukue dhahabu, wala fedha, wala shaba kwenye vifuko vyenu.
10 Sanzi muhindi mikotana ya zizwato mu misipil yenu, kapa zimwi zizwato, kapa isangu, kapa inkoli, kakuti muveleki u swanelwa zilyo zakwe.
Msichukue mkoba wa safari, wala kanzu mbili, wala jozi ya pili ya viatu, wala fimbo, kwa maana mtendakazi anastahili posho yake.
11 Muleneñi uhi no uhi kapa munzi u mwi njila mwateni, mu buuze yo swanela mwikale mwateni; mwi kale mwateni konji chi mwa funduka.
“Mji wowote au kijiji chochote mtakapoingia, tafuteni humo mtu anayestahili, nanyi kaeni kwake mpaka mtakapoondoka.
12 Chi mwi njila muzuvo, mu ilumelise.
Mkiingia kwenye nyumba, itakieni amani.
13 Heva inzuvo iiswanela, musiye inkozo yenu ishale mwateni; kono heva kayi swaneli, musiye inkozo yenu i voole kwenu.
Kama nyumba hiyo inastahili, amani yenu na iwe juu yake. La sivyo, amani yenu na iwarudie ninyi.
14 Kwabo vasena vava mitambuli kapa kutekeleza liinzwi lyenu, ha mu nyamuka kuzwa muzuvo ya vo kapa mu Muleneñi, mu kunkumune imbundu ya ku matende yenu.
Kama mtu yeyote hatawakaribisha ninyi, wala kusikiliza maneno yenu, kungʼuteni mavumbi kutoka kwenye miguu yenu mtakapokuwa mnatoka kwenye nyumba hiyo au mji huo.
15 Che niti ni ta kwenu: Mu ve ni chisemo chihitilize mwi Nkanda ya Sodoma ni Gomora mwi zuva lye nkatulo kuhita lyowo muleneñi.
Amin, nawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa miji ya Sodoma na Gomora kustahimili katika hukumu kuliko mji huo.
16 Mu vone, ni mi tuma sina Ngu zina mukati ka Valuwawa, muve vena maano sina nzoka mi mu ve sina va sena maano sina Nkwilimba.
“Tazama, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu. Kwa hiyo mwe werevu kama nyoka na wapole kama hua.
17 Mu tokomele Vantu! Mu va mitwale havusu bwa va zekisi, mi ka va mishupe mu zivaka za malapelelo avo.
“Jihadharini na wanadamu; kwa maana watawapeleka katika mabaraza yao na kuwapiga kwenye masinagogi yao.
18 Mi ka muletwe ha vuusu bwa Mangambela ni va Simwine vakeni changu, kuti mu ve ni vupaki kuvali ni ku Machava.
Nanyi mtaburutwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, ili kuwa ushuhuda kwao na kwa watu wa Mataifa.
19 Chini vati chiva mi kwatisa, sanzi ni mu katazehi kuti ka mu wambe inzi, kakuti cheti ni mu wambe ka mu chihewa mwe yeyeyo inako.
Lakini watakapowapeleka humo, msisumbuke kufikiria mtakalosema, kwa maana mtapewa la kusema wakati huo.
20 Ka kuti keti niyi kuvele unwe mu wamba mi kayi kuvele Luhuho lwe Shenu lweti ni lu ku waamba mweenu.
Kwa sababu si ninyi mtakaokuwa mkinena, bali ni Roho wa Baba yenu atakayekuwa akinena kupitia kwenu.
21 Muntu mwa kwatise mukwakwe kwifu, mi muzazi a kwatise mwan'a kwe. Vaana mubalwise vazazi va vo, mi va va letele kufwa.
“Ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe, naye baba atamsaliti mtoto wake. Watoto nao wataasi dhidi ya wazazi wao na kusababisha wauawe.
22 Mu va mitoye vakeñi che zina lyangu. Mi yata sike ku ma manimani, uzo muuntu mwa puluswe.
Watu wote watawachukia kwa ajili ya Jina langu. Lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.
23 Chi va minyandise bulyo mu Muleneñi, muyende ku mwi ku Muleneñi, Initi ni wamba kuti, ke se mu mane Mileneñi yoose ye Isilaele pili Mwana Muntu na seni kusika.
Wakiwatesa katika mji mmoja, kimbilieni mji mwingine. Amin, amin nawaambia, hamtamaliza miji yote ya Israeli kabla Mwana wa Adamu kuja.
24 Mulutwana kahiti Muluti wa kwe, kapa mutanga kuhita Nfumwe.
“Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake, wala mtumishi hamzidi bwana wake.
25 Ku swanela kuti mulutwana a swane ni muluti wa kwe, ni mutanga ni Nfumwe. Heba vasumpa mukulwana we nzuvo Beelzebule, ka kuve vule venzuvo ya kwe chi va nyasilizwa!
Yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. Ikiwa mkuu wa nyumba ameitwa Beelzebuli, je, si watawaita zaidi wale wa nyumbani mwake!
26 Linu sanzi mu va tiyi; kakuti kakwina chifupikitwe chi se chi shale ni chi fupikitwe mi ka kwina chipatitwe chi se chipale kwi zibwa.
“Kwa hiyo msiwaogope hao, kwa maana hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna siri ambayo haitajulikana.
27 Chi ni mi wambila mwififi, mu chi wambe mwiseli; mi chi muzuwa mu matwi yenu, mu chi wambe mpatalaza ku Vantu.
Ninalowaambia gizani, ninyi lisemeni mchana peupe. Na lile mnalosikia likinongʼonwa masikioni mwenu, lihubirini juu ya nyumba.
28 Sanzi mu tiyi Vantu ve haya muvili; kono ka va woli kwi haya luhuho. Insini, mu tiye ve haya zoose luhuho ni muvili mwi hele. (Geenna g1067)
Msiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. Afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanamu. (Geenna g1067)
29 Heva, tutiti to vele twina heteko ye peene yoke? Kanti ka kwina katiti, niheva konke, ka wila hansi Ireeza wenu na se zivi.
Je, shomoro wawili hawauzwi kwa senti moja tu? Lakini hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini pasipo Baba yenu kujua.
30 Ni heva nsuki za ku mitwi yenu zibalitwe zoose.
Hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa.
31 Sanzi mutiyi. Mu va vu tokwa kuhita tutiti tungi.
Hivyo msiogope; kwa maana ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.
32 Muntu ye se yo wamba nzina lyangu ku Vantu, name kani muwambi kwa Tayo wina kwiwulu.
“Kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, mimi nami nitamkiri yeye mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
33 Kono yo ni sampula ku vantu, name, kani mu sampule kwa Tayo wina kwiwulu.
Lakini yeyote atakayenikana mimi mbele ya watu, mimi nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.”
34 Sanzi muhupuli kuti ni valete inkozo mwi kaanda. Kena ni va leti inkozo, kono mulinga.
“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.
35 Cwale ni va kezi kwiza kufapanya muntu ni veesi, mi mwnakana ni nyiina, mi mukwenyani wa mwana kazana ni nyinazaala.
Kwa maana nimekuja kumfitini “‘mtu na babaye, binti na mamaye, mkwe na mama mkwe wake;
36 Muntu zilazakwe, mu va ve, venzubo yakwe.
nao adui za mtu watakuwa ni wale watu wa nyumbani kwake.’
37 I ye yo saka Sii kapa Nyina kuhitiliza mwani sakila, ka ni swaneli. Mi yo saka mwan'akwame kapa mwan'akazana kuhitiliza kani swaneli.
“Yeyote ampendaye baba yake au mama yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu. Yeyote ampendaye mwanawe au binti yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu.
38 I ye ya sa hindi chifapano cha kwe ni ku ni chilila ka ni swaneli. Yo tokomela vuhalo bwa kwe mwa vu sinyehelwe.
Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.
39 Kono yo sinyehelwa vuhalo vwa kwe vakeñi cangu, mwa vuwane.
Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.
40 Yo mi tambula, u tambula ime, mi yoni tambula ime u tambula yoni tumite.
“Mtu yeyote atakayewapokea ninyi atakuwa amenipokea mimi, na yeyote atakayenipokea mimi atakuwa amempokea yeye aliyenituma.
41 I ye yo tambula mupolofita kakuti mupolofita ka wane mpo ya vupolofita. Mi yo tambula muntu yo shiyeme vakeñi cha kuta kuti muntu yo shiyeme ka wane mpo ya kushiyama.
Mtu yeyote anayempokea nabii kwa kuwa ni nabii atapokea thawabu ya nabii, naye mtu anayempokea mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki atapokea thawabu ya mwenye haki.
42 Ye nse yoha ku muntu munini menzi a kuñwa a tontola, chevaka lya kuwamba kuti mulutwana, ni mi wambila kuti, ka kwina mwi se na kangilwe ku wana mpo ya kwe.”
Kama yeyote akimpa hata kikombe cha maji baridi mmoja wa hawa wadogo kwa kuwa ni mwanafunzi wangu, amin, nawaambia, hataikosa thawabu yake.”

< Mateu 10 >