< Mareka 2 >
1 Hakaboola kwaKapernauma kuzwa hamazubazana, kubazuweekete kuti abena kumunzi.
Aliporudi Kaperinaumu baada ya siku chache, ilisikika kwamba alikuwa nyumbani.
2 Chobulyo buungi bubakungene kwateni kuti mane kanakubasina ni chibaka, mane nanga hamulyango, mi Jesu nawamba liinzwi kubali.
Watu wengi sana walikuwa wamekusanyika pale na haikuwepo nafasi tena, hata ile ya pale mlangoni, na Yesu alisema neno kwao.
3 Linu bakwame babezi kwali babaletete mukwame yabazuminine luñañali; bantu boone babamuyengete.
Kisha baadhi ya watu walikuja kwake waliomleta mtu aliyekuwa amepooza; watu wanne walikuwa wamembeba.
4 Habakangwa kusika hafuhi naye chebaka lyachisi, chibazwisa chituwa hewulu lyamwabalikwina. Chinga basha ilindi mwateni, ni bashulumuna bulo habalele yozuminine luñañali.
Wakati waliposhindwa kumkaribia kwa sababu ya umati wa watu, waliondoa paa juu ya mahali pale alipokuwa. Na walipokuwa wamekwishatoboa tundu, walishusha kitanda ambacho mtu aliyepooza alikuwa amelala.
5 Chakubona intumelo yabo, Jesu chati kumuntu yozuminine luñañali, “Mwanangu, zive zako zawondelwa.”
Alipoiona imani yao, Yesu alimwambia mtu aliyepooza, “mwanangu, dhambi zako zimesamehewa.”
6 Linu bamwi bañoli babekele mo, chibalichiula munkulo zabo,
Lakini baadhi ya waandishi wale waliokuwa wamekaa pale walijihoji mioyoni mwao,
7 “Kwizabule kuti uzu muntu awambe cheyi nzila? Unyefula! Yowola kuswalela zive mbwiteri Ireeza yeyena?”
“Anawezaje mtu huyu kusema hivi? Anakufuru! Nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”
8 Mi Jesu hahobulyo neziba muluhuho lwakwe zibabali kuzeza munkulo zabo. Nichati kubali, “Chinzi hamukwete kuzeza bulyo munkulo zenu?
Mara Yesu alijua rohoni mwake walichokuwa wakifikiri miongoni mwao wenyewe. Aliwaambia, “Kwa nini mnafikiri hivi mioyoni mwenu?
9 Njechihi chihuba kuwamba kuyozuminine luñañali, 'Zive zako zawondelwa' kamba kuwamba kuti, 'Zime, hinde bulo bwako, mi uyende'?
Lipi ni jepesi zaidi kusema kwa mtu aliyepooza, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema 'Simama, chukua kitanda chako, na utembee?'
10 Imi kuti mwizibe kuti Mwana Muntu wina maata hansi okuwondela zive,” nawambila yozuminine luñañali,
Lakini ili wapate kujua ya kuwa Mwana wa Adamu ana mamlaka ya kusamehe dhambi katika dunia, alimwambia yule aliyepooza,
11 “Niwamba kwako, zime, hinde bulo bwako, mi uyende kunzubo yako.”
“Nakuambia wewe, inuka, chukua mkeka wako, na uende nyumbani kwako.”
12 Chazima mi hahobulyo nahinda bulo, ni kuzwa munzubo habusu bwazumwi ni zumwi, kokuti bonse babamakali mi nibaha intumbo kwa Ireeza, mi nibati, “Kana tubeeni kubona chintu chiswana nechi.”
Alisimama na mara moja akachukua mkeka wake, na alikwenda nje ya nyumba mbele ya kila mtu, hivyo wote walishangaa na walimpa Mungu utukufu, na wakasema “Kamwe, hatujawahi kuona jambo kama hili.”
13 Nayenda hape kumbali yewate, mi chisi chonse nicheza kwali, mi na baruta.
Alienda tena kando ya ziwa, na umati wote wa watu walikuja kwake, na akawafundisha.
14 Mukuhita kumbali, nabona Levi mwana wa Alufeya nekele hetente lya mutelisi, mi nati kwali, “Nichilile.” chazima ni kumwichilila.
Alipokuwa akipita alimwona Lawi mwana wa Alfayo ameketi kwenye sehemu ya kukusanyia kodi na akamwambia, “Nifuate.” Alisimama na kumfuata.
15 Mi Jesu habali kulya zilyo munzuvo ya Levi, Batelisi baangi ni bantu bezwile zive babali kulya ni Jesu ni barutwana bakwe, mukuti babali baangi mi nibamwichilila.
Na wakati Yesu alipokuwa akipata chakula katika nyumba ya Lawi, wakusanya kodi wengi na watu wenye dhambi walikuwa wakila na Yesu na wanafunzi wake, kwa kuwa walikuwa wengi nao walimfuata.
16 Linu bañoli bamulao, babali baFalisi, hababona kuti Jesu ukwete kulya ni batendi bazive ni batelisi, nibawamba kubarutwana bakwe, “Chinzi halya ni batelisi ni bantu bezwile zive?”
Wakati waandishi, ambao walikuwa Mafarisayo, walipoona kwamba Yesu alikuwa akila na watu wenye dhambi na wakusanya kodi, waliwaambia wanafunzi wake, “Kwa nini anakula na wakusanya kodi na watu wenye dhambi?”
17 Linu Jesu hazuwa bulyo nacho kubali, “Bantu bakolete mumubili kabasuni iñanga; mbwiteli balwala njibaisaka. Kananibakezi kukusumpa bantu bashiyeme, kono kubantu bezwile zive.”
Wakati Yesu aliposikia hivi aliwaambia, “Watu walio na afya katika mwili hawamhitaji tabibu; ni watu wagonjwa pekee ndio wanamhitaji. Sikuja kuwaita watu wenye haki, lakini watu wenye dhambi.”
18 Barutwana ba Johani ni baFalisi babali kulinyima zilyo. Imi bantu bamwi babezi kwali ni kumuti, “Chinzi barutwana ba Johani ni barutwana babaFalisi habalinyima zilyo, mi bako barutwana kabalinyimi zilyo?”
Wanafunzi wa Yohana na Mafarisayo walikuwa wakifunga. Na baadhi ya watu walikuja kwake na kumwambia, “Kwa nini wanafunzi wa Yohana na mafarisayo hufunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?
19 Jesu chacho kubali, “Kana kuwoleka kuti bantu bena hamukiti wamaseso balinyime zilyo musesi nasina nabo? Kubona bulyo musesi uchina nabo, kabawoli kulinyima zilyo.
Yesu aliwaambia, “Je waliohudhuria harusini wanaweza kufunga wakati bwana harusi bado akiwa pamoja nao? Kwa vyovyote bwana harusi akiwa bado yuko pamoja nao hawawezi kufunga.”
20 Kono mazuba akezite akuti musesi nazwiswe kubali, mi mwao mazuva, kabalinyime zilyo.
Lakini siku zitakuja wakati bwana harusi atakapoondolewa kwao, na katika siku hizo wao watafunga.
21 Kakwina muntu yolukila kabbali kakajira kanhya hejira ikulukulu, kundeyobulyo chikamba chinhya muchihaluke ko, chinhya kuchikulukulu. Mi kakube muhalukilo mubilala.
Hakuna mtu ashonaye kipande kipya cha nguo kwenye vazi kuukuu, vinginevyo kiraka kitabanduka kutoka katika hilo, kipya kubanduka kutoka katika kikuukuu, na kutakuwepo mpasuko mbaya.
22 Kakwina muntu yobika iwaine inhya muchibikilo chewaine chikulkulu chamadalo, kundeyobulyo iwaine muiñatule madalo, mi bubeli bwewaine ni madalo ewaine kazisinyehe. Chovulyo, mubike iwaine inhya mwidalo inhya lyewaine.”
Hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu, vinginevyo divai itavipasua viriba na vyote viwili divai na viriba vitapotea. Badala yake, weka divai mpya katika viriba vipya.”
23 Lensabata Jesu nichahita muluwa lwabuheke, mi barutwana bakwe nibatanga kutola mitwi yabuheke.
Katika siku ya Sabato Yesu alipita kwenye baadhi ya mashamba, na wanafunzi wake walianza kuchukua baadhi ya masuke ya ngano.
24 Mi bafalisi nibamucho, “Lole, chinzi habachita chintu chisali chamulao mwizuba Lensabata?”
Na Mafarisayo walimwambia, “Tazama, kwa nini wanafanya kitu ambacho ni kinyume cha sheria katika siku ya Sabato?”
25 Nacho kubali, “Kana chimubabalite chabachiti Dafita hababulite ni kufwa inzala—iye ni bakwame baabena nabo—
Aliwaambia, “Hamkusoma kile alichofanya Daudi alipokuwa katika uhitaji na njaa—yeye pamoja na watu waliokuwa pamoja naye?
26 Mwabenjilili munzubo ya Ireeza Abbiyatare habali mupurisita yohanzi, mi abaali chinkwa chakubako, ili chisali chamulao kuti zuhi no zuhi alye kunde yamapurisita, mi mane naha kwateni amwi kwabana babena naye?”
Jinsi alivyoenda katika nyumba ya Mungu wakati Abiathari alipokuwa kuhani mkuu na akala mkate uliowekwa mbele—ambao ilikuwa kinyume cha sheria kwa mtu yeyote kula isipokuwa makuhani—na aliwapa hata baadhi ya wale waliokuwa pamoja naye?”
27 Jesu nati, “Insabata ibalundilwa bantu, isinyi bantu kulundilwa Insabata.
Yesu alisema, “Sabato ilifanywa kwa ajili ya mwanadamu, siyo mwanadamu kwa ajili ya Sabato.
28 Chobulyo, Mwana muntu Simwine, nanga weNsabata.”
Kwa hiyo, Mwana wa Adamu ni Bwana, hata kwa Sabato.”