< Luka 24 >

1 Haba fuma ku makalo e nviki, ci baya kwi bita ku leta mafuta a nunka a baba lukisi.
Mnamo siku ya kwanza ya juma, alfajiri na mapema, wale wanawake walichukua yale manukato waliyokuwa wameyaandaa, wakaenda kaburini.
2 Baba wani ivwe ci lya pindumunwa kwi bita.
Wakakuta lile jiwe limevingirishwa kutoka kwenye kaburi,
3 Cibe njila mukati, mi kana baba wani citunta ca Jesu.
lakini walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa Bwana Yesu.
4 Ci kwa tendahala bulyo, haba ba kusi lyangene nezo, kapilipili bakwame bobele ciba zimana ha mbali nebo muzizabalo zi benya.
Walipokuwa wanashangaa juu ya jambo hili, ghafula watu wawili waliokuwa wamevaa mavazi yanayongʼaa kama umeme wakasimama karibu nao.
5 Banakazi babe zwile ku tiya ciba kubama hansi cha zi fateho zabo, ci ba wamba ku Banakazi “chinzi hamu saka bahala ku ba fwile?
Wale wanawake, wakiwa na hofu, wakainamisha nyuso zao mpaka chini. Lakini wale watu wakawaambia, “Kwa nini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu?
6 Ka kwina munu, Mi ca buswa, muhupule mwa ba wambili na sina mwa Galilea,
Hayuko hapa; amefufuka! Kumbukeni alivyowaambia alipokuwa bado yuko pamoja nanyi huko Galilaya kwamba:
7 Chati mwana we Ireeza ka hewe mu mayanza aba tenda zibi ni ku mu kokotela, Imi ke zuba lya butatu ka buke.”
‘Ilikuwa lazima Mwana wa Adamu atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi na waovu ili asulubiwe, na siku ya tatu afufuke.’”
8 Banakazi ciba hupula manzwi akwe,
Ndipo wakayakumbuka maneno ya Yesu.
9 ciba zwa kwi bita ni kuka wamba zintu zonse ku balutwana ni bantu bonse.
Waliporudi kutoka huko kaburini, wakawaeleza wale wanafunzi kumi na mmoja pamoja na wengine wote mambo haya yote.
10 Linu, Maria Madgalena, Joana, ni Mary nyina wa James ni bamwi Banakazi ciba biha zintu zonse ku ba Apositola.
Basi Maria Magdalene, Yoana, na Maria mama yake Yakobo, pamoja na wanawake wengine waliofuatana nao ndio waliwaelezea mitume habari hizi.
11 Imi i impiho ciya bonala kusa zuweka hande kuba Apositola, imi kana bab zumini zi baba wambi Banakazi.
Lakini hawakuwasadiki hao wanawake, kwa sababu maneno yao yalionekana kama upuzi.
12 Pitrosi cha zima niku tilila kwi bita, cha zima niku lola mukati, aba boni fela majila fela. Pitrosi aba boli ku Munzi na komoketwe chiba tendahali.
Hata hivyo, Petro akainuka na kukimbia kwenda kule kaburini. Alipoinama kuchungulia, akaona vile vitambaa vya kitani, ila hakuona kitu kingine. Naye akaenda zake akijiuliza nini kilichotokea.
13 Celyo izuba balutwana bobele baba kuya ku munzi uba ku sumpwa Emmaus, ubena makumi ena i yanza ni kumi lyonke lye stadia kwa Jerusalema.
Ikawa siku iyo hiyo, wanafunzi wawili wa Yesu walikuwa njiani wakienda kijiji kilichoitwa Emau, yapata maili saba kutoka Yerusalemu.
14 ciba ambola ni bamwi cezo zi ba tendahali.
Walikuwa wakizungumza wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotukia.
15 Kuba tendahali kuti haba ba ku wamba ni kuli buza Jesu cha li bonahaza ku bali.
Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akaja akatembea pamoja nao,
16 Imi menso abo aba ku kangwa ku mwi ziba.
lakini macho yao yakazuiliwa ili wasimtambue.
17 Jesu aba wambi ku bali, “chinzi inwe mu wamba mu bobele cimu ya buyenda?” Chiba zima ni ku lola ni ba swabite,
Akawauliza, “Ni mambo gani haya mnayozungumza wakati mnatembea?” Wakasimama, nyuso zao zikionyesha huzuni.
18 Zumwi kubali we zina lya Cleopas ca mwi taba, “Kana njewe u muntu wenke mwa Jerusalema ya sezi zintu zi ba tendahali mwa anu mazuba?”
Mmoja wao, aliyeitwa Kleopa, akamuuliza, “Je, wewe ndiye peke yako mgeni huku Yerusalemu ambaye hufahamu mambo yaliyotukia humo siku hizi?”
19 Jesu ca wamba ku bali, “zintu zihi”? Ciba mwi taba, Zintu zi amana ni Jesu wa Nazareta, yabali Mupolofita, we misebezi mu manzwi, habusu bwa mulimu ne chisi.
Akawauliza, “Mambo gani?” Wakamjibu, “Mambo ya Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii, mwenye uwezo mkuu katika maneno yake na matendo yake, mbele za Mungu na mbele ya wanadamu wote.
20 Lyahanu ba Prisita ba kulwana ni Bayendisi, mumu baba mubetekeli ni ku mu nyansa kuti a kokotelwe ni kwi haiwa.
Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.
21 Imi tuba hupwile kuti njete na lukulule Israele. yee, nihakuba bulyo izi celi izuba lyo butatu kuzwa zonse zintu ha zi tendahala.
Lakini tulikuwa tumetegemea kwamba yeye ndiye angelikomboa Israeli. Zaidi ya hayo, leo ni siku ya tatu tangu mambo haya yatokee.
22 Kono banakazi bamwi be nkopano baba tukomokisi, kaku pakelela kwi bita,
Isitoshe, baadhi ya wanawake katika kundi letu wametushtusha. Walikwenda kaburini leo alfajiri,
23 Imi kana baba ka mu wani chitunta, baba boli chi bakati nabo ba ba boni impono ya Mangeloi baba wambi kuti u hala.
lakini hawakuukuta mwili wake. Walirudi wakasema wameona maono ya malaika ambao waliwaambia kwamba Yesu yu hai.
24 Bamwi ba Kwame mukati ketu baba yendi kwi bita, ciba kawana muba ba teli Banakazi, kono kana baba ka mu wani.”
Kisha baadhi ya wenzetu walikwenda kaburini wakalikuta kama vile wale wanawake walivyokuwa wamesema, lakini yeye hawakumwona.”
25 Jesu aba wambi kubali kuti, Mawe inwe bantu musa zuwisisi bene inkulo zi lyeha ku lemuha ziwambo za ba wambi mupolofita.
Yesu akawaambia, “Ninyi ni wajinga kiasi gani, nanyi ni wazito mioyoni mwenu kuamini mambo yote yaliyonenwa na manabii!
26 Kana kena kubali kwa butokwa kuti Jesu a nyandiswe ni kwi njila mwi kanya,
Je, haikumpasa Kristokuteswa kwa njia hiyo na kisha aingie katika utukufu wake?”
27 Kwi ntazi ku zwa kwa Mushe ku ya ku baprofita bonse, Jesu caba tolokela zintu ku amana naye mu mañolo.
Naye akianzia na Sheria ya Mose na Manabii wote, akawafafanulia jinsi Maandiko yalivyosema kumhusu yeye.
28 Hachi ba ba sutelele ku munzi ku baba kuya, Jesu aba tendi ubu aba kusi zwila habusu,
Nao walipokaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, Yesu akawa kama anaendelea mbele.
29 kono chiba mu cho kuti, “wi kale neswe, imi celi chitengu ni zuba chiliya kuku mina” linu Jesu cha bola mukati kwi kala nabo.
Lakini wao wakamsihi sana akae nao, wakisema, “Kaa hapa nasi, kwa maana sasa ni jioni na usiku unaingia.” Basi akaingia ndani kukaa nao.
30 Ku ba tendahali kuti haba kala naye ku lya, cha hinda chinkwa ku chi fuyola ni ku chi komauna cha baha,
Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.
31 Linu menso abo aba tondi ni chi ba mwi ziba, Imi cha zwa mu menso abo,
Ndipo macho yao yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena.
32 Chiba wamba kuzumwi ni zumwi, “kana inkulo kazi bili mukati ketu? Ha wamba kwetu munzila, ha tu wumbwila mañolo.”
Wakaulizana wao kwa wao, “Je, mioyo yetu haikuwakawaka kwa furaha ndani yetu alipokuwa anazungumza nasi njiani na kutufafanulia Maandiko?”
33 Chiba zima che nako iyo ni ku yenda kwa Jerusalema, chi ba wana Balutwana bena ikumi ni yenke ni bamwi ba bena nabo,
Wakaondoka mara, wakarudi Yerusalemu. Wakawakuta wale wanafunzi kumi na mmoja na wale waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika
34 chi bati initi Jesu aba buki ni ku libonekisa kwa Simoni,
wakisema, “Ni kweli! Bwana amefufuka, naye amemtokea Simoni.”
35 chi ba wamba zintu zonse ziba tendahali mwi nzila, ni Jesu mwa ba tondelezwa ni kamo Jesu haba ku komauna chinkwa.
Kisha wale wanafunzi wawili wakaeleza yaliyotukia njiani na jinsi walivyomtambua Yesu alipoumega mkate.
36 Haba ba ku wamba bulyo, Jesu cha zima mukati kabo, cha wamba ku bali chati “Ku sanga kube ne nwe”.
Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Yesu mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!”
37 Kono baba bi ni sabo niku tiya ahulu, ni ku bonala kuti ba bona luhuho lu jolola.
Wakashtuka na kuogopa wakidhani kwamba wameona mzuka.
38 Jesu aba wambi ku bali, “Chinzi hamu bilela, ni kuba ni puzo mwi nkulo zenu?
Lakini Yesu akawauliza, “Kwa nini mnaogopa? Kwa nini mna shaka mioyoni mwenu?
39 Mu bone mu mayanza angu ni matende kuti njeme. Muni wonde niku ni lola, sina luhuho lu jolola halu sena inyama ne zi fuha sina muni kalile me”.
Tazameni mikono yangu na miguu yangu, mwone kuwa ni mimi hasa. Niguseni mwone; kwa maana mzuka hauna nyama na mifupa, kama mnionavyo kuwa navyo.”
40 Ha wamba bulyo aba ba tondezi mayanza ni matende a kwe.
Aliposema haya, akawaonyesha mikono na miguu yake.
41 Haba ba kwina mu ku sa zumina bakeñisa cha ku sanga bulyo niku komokwa Jesu cha wamba ku bali mwina chimwi chete mulye?
Wakashindwa kuamini kwa ajili ya furaha na mshangao waliokuwa nao. Akawauliza, “Mna chakula chochote hapa?”
42 Chiba muha chiyemba che nswi zi jichitwe,
Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa,
43 Jesu cha hinda ni kulya mubusu bwa bo.
naye akakichukua na kukila mbele yao.
44 Aba wambi ku bali, “kuti hani bena nenwe, ni ba mi wambile kuti zonse ziba ñolwa ka mulawo wa Mushe ni we chiprofita ni manolo a Lisamu e zuzilizwe”.
Akawaambia, “Haya ndiyo yale niliyowaambia nilipokuwa bado niko pamoja nanyi, kwamba yote yaliyoandikwa kunihusu mimi katika Sheria ya Mose, Manabii na Zaburi hayana budi kutimizwa.”
45 Cwale che yalula ingana zabo, kuti ba zuwisise mañolo.
Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko.
46 Aba wambi kubali kuti, “chiba ñoletwe kuti Jesu u swanela ku nyandiswa ni ku buka ku ba fwile che zuba lyo butatu.
Akawaambia, “Haya ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu.
47 Niku bakila zibi zetu kuti tu swalele, zi swanela kukutazwa mwi zina lyakwe ku zisi zonse, ku matango a Jerusalema.
Toba na msamaha wa dhambi zitatangaziwa mataifa yote kupitia jina lake kuanzia Yerusalemu.
48 Mumpaki wezi zintu.
Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.
49 Mubone, nimi tumina zaba sepisi Tayo. Kono mu shale mu Muleneñi konji chi mwa bwikwa ni inguzu zi zwa kwi wulu.”
“Tazama nitawatumia ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini hadi mtakapovikwa uwezo utokao juu.”
50 Cwale Jesu cha ba hitila mane kuka sika ha fwihi ni Bethani. Mi cha zimika mayanza no ku ba fuyaula.
Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.
51 Ku ba tendahali kuti haba kuba fuyola aba siyi ni ku hindwa kwi wulu.
Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
52 Linu chiba mu lapelela kaku sanga ni ku bola kwa Jerusalema ke cha ku sanga.
Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu.
53 Chiba zwila ha busu mwi inkeleke ku temba Ireeza.
Nao wakadumu ndani ya Hekalu wakimtukuza Mungu. Amen.

< Luka 24 >