< Juda 1 >

1 Juda, muhikana wa Jesu Chrisite, ni mwanche wa Jakobo, kwabo bansumpitwe, Basakiwa kwa Ireeza Fumwetu, mi babikilwe Jesu Chrisite:
Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, na ndugu yake Yakobo, kwa wale ambao wameitwa, wapendwao katika Mungu Baba, na waliotunzwa kwa ajili ya Yesu Kristo:
2 Mi chisemo ni nkozo, lato zibe zingi kwenu.
rehema na amani na upendo viongezwe kwenu.
3 Yosakiwa, niba kutabele kuku ñolela choku hazwa kutu kopanelwe, Ni swanela kuku ño kukolisa kwa ko kunyanda choku tundamena kulyila i ntumelo iba kenzi kuba lumeli bose. Bamwi bakwame bali kopenye mukati kenu.
Wapenzi, wakati nilipokuwa nikifanya kila juhudi kuwaandikia ninyi kuhusu wokovu wetu sote, ilinilazimu kuwaandikia kwa ajili ya kuwashauri ili mshindanie kwa uaminifu imani ambayo ilikuwa imekabidhiwa mara moja tu kwa waamini.
4 Aba bakwame ba swaitwe kuya kuku nyaziwa. Aba bakwame basena Ireeza basinya chisemo cha Ireeza mubukata, mi bakana Muyendisi ni Simwine, Chrisite Jesu.
Kwa sababu watu fulani wamejiingiza kwa siri kati yenu - watu ambao walitiwa alama kwa ajili ya hukumu - watu wasio wataua ambao hubadili neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, na kumkana Bwana wetu pekee na Bwana Yesu Kristo.
5 Hanu nimi lakaleza-niha kuba bulyo maba kuzizi hande-linu Simwine aba hazi batu mwi nkanda ya Egepita, mi kuma mani mani aba shinyi abo nsena baba kuzumina.
Sasa napenda kuwakumbusha ninyi ingawa kuna wakati mlijua kwa ukamilifu kwamba Bwana aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri, lakini baadaye kuwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6 Ni mañiloi sena aba liwongozi mubunduna bwa mata awo, kono aba siiyi chibaka china hande chawo-Ireeza wa sumine ni mawenge akuya kusamani, mwi fifi luli, kulindila izuba lye nkatulo inkando. (aïdios g126)
Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios g126)
7 Kuswana feela sina nji Sodoma ni Gomorrah ni mileneñi iva zimbulukite, Awo alikopene mumu hupulo obushahi nikuzwila habusu nimi hupulo ye chivi. Batondeza mutala wavo vanyanda ikoto yamulilo we kuya kusamani. (aiōnios g166)
Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios g166)
8 Ili mwinzila iswana, ava mwakulota kwavo va silafaza mibili ya bo. Ba lyisa mata, mi bawamba zintu zamapa zilwisa mubuso we nkanya.
Hali kadhalika, kwa njia ile ile waota ndoto hawa pia huchafua miili yao, na hukataa mamlaka, na wananena uongo dhidi ya mtukufu.
9 Linu Mikaele induna ya mañiloi, haba ku kanana ni Diabulosi zomu bili wa mushe chamu kalimela, sazi uliki kuleta ikatulo ya mapa ku amana naye. Kono chowamba, “Linu Simwine aku kalimele!”
Lakini hata Mikaeli malaika mkuu, wakati alipokuwa akishindana na ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kuleta hukumu ya uongo dhidi yake, lakini badala yake alisema, “Bwana akukemee!”
10 Linu aba bantu bawamba mapa kuzintu sonse zibasa zuwisisi. Niziba zuwisisa-chinzi zinyolozi zisa hupuli hande chezizi-izi njizona zi baba sinyi.
Lakini watu hawa huleta uongo dhidi ya chochote wasicho kifahamu. Na kile wasicho kifahamu- kile ambacho wanyama wasio na akili hujua kwa silika- haya ndiyo yaliyo waharibu.
11 Bumai kubali! Linu baba yendi mwinzila ya Kaine, hape baba bikwa mwa Balaam ma fosisa kuwana. Baba fwili mwa kora musandukili.
Ole wao! Kwa kuwa wametembea katika njia ya Kaini, na kulifuata kosa la Balaamu. Wameangamia katika uasi wa Kora.
12 Aba chibona balipatite beyalila mu mikiti yenu ye lato. Linu mukiti iswabisisa, balilela abo bene. Linu makope asena mezi, ahindiwa luhuho. Linu zikuni zamaliha zisena zichalantu-zifwile tobele, zi zwile kumihisi.
Hawa ni miamba katika sherehe zenu za upendo, wakisherehekea bila aibu, wakijilisha tu wenyewe. Ni mawingu yasiyo na maji, yanayobebwa na upepo, ni miti iliyopukutika isiyo na matunda iliyo kufa mara mbili, iliyong'olewa mizizi
13 Vaswana ili mandinda omwi wate akalihite, apanga ziswabisisa awo ene. Inkani zilyangene, linu kusiha kwe fifi kuba kubikilwe kuya kule. (aiōn g165)
Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn g165)
14 Enoke, yokwana iyanza limwina kuzwilila kwa Adama, baba polofitwa ku amana nabo, Kuwamba, “Lole! Simwine ukeza ni zikiti kiti zabakwe zijolola.
Enoko, wa saba katika orodha ya Adamu, alitabiri kuhusu wao, akisema, “Tazama! Bwana anakuja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,
15 Ukeza kukuntenda inkatulo kuzumwi ni zumwi. Ukeza kuku kalimela bantu bose basena Ireeza chamisebezi yose iba bapangi mwinzila isali ya Ireeza, nimazwi ose mabi ababa wambi bantu bavi basena Ireeza ku amana naye.”
ili afanye hukumu juu ya kila mtu, na kutia hatia wote wasiomcha Mungu juu ya matendo yao yote waliyokwishafanya katika njia zisizo za kitauwa, na kwa maneno yote ya ukali ambayo wasio watauwa wameyanena dhidi yake.”
16 Aba jiba kanana, batongoka, bechilila mihupulo yabo mibi. Bakuhuweleza chakuli tundubula, abo, balumba bantu kuti bawane, zibasaka.
Hawa ni wale wanung'unikao, walalamikao ambao hufuata tamaa zao za uovu, wajivunao mno, ambao kwa faida yao hudanganya wengine.
17 Kono inwe, yosakwa, muhupule manzi aba wambiwa kale cha muapositola wa Simwine Chirisite Jesu watu.
Lakini ninyi, wapenzi, kumbukeni maneno ambayo yalinenwa zamani na mitume wa Bwana Yesu Kristo.
18 Baba wambi kwako, “Mwinako zama mani mani mukube niba nyefuli be chilila intakazo zabo zisena Ireeza.”
Walisema kwenu, “Katika wakati wa mwisho kutakuwa na watu wanaodhihaki ambao hufuata tamaa zao zisizo za kitauwa.”
19 bantu kabena luhuho. Abo be fasi, mi kabena luhuho.
Watu hawa ni watenganishaji, wanatawaliwa na tamaa za asili, na hawana Roho.
20 Kono inwe, yosakwa, mulizake inwe mubene che ntumelo i jolola, mi mulapele cho luhuho lujolola.
Lakini ninyi, wapenzi, kama mjijengavyo katika imani yenu takatifu sana, na kama muombavyo katika Roho Mtakatifu,
21 Mulibike mwi lato lya Ireeza, nikulindila i lato la Simwine Chrisite Jesu iku letela buhalo busamani. (aiōnios g166)
jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios g166)
22 Chisemo cheve kwabo basa zumini.
Onesheni rehema kwa wale walio na shaka.
23 Muhaze bamwi kakuba zwisa mu mulilo. Mutoye nihaiba chizwato che nyama.
Waokoeni wengine kwa kuwanyakua kutoka katika moto. Kwa wengine onesheni huruma kwa hofu, mkichukia hata vazi lililotiwa doa na mwili.
24 Linu kwali yenki yo wola kuti tusa kuku sawa, mi niku tuwolisa kuzimana habusu ye nkanya yakwe, nikusena kunyazahala nimwi ntabo,
Sasa kwake awezaye kuwalinda msijikwae, na kuwasababisha msimame mbele ya utukufu wake, bila mawaa na kuwa na furaha kuu,
25 Kwa Ireeza yenke ni muhazi kuya ka Chrisite Jesu Simwine wetu, kube ni kanya, bulena, kubusa, ni mata, inako yose yamamani mani, linu, ni kuya kuma mani mani. Amen. (aiōn g165)
kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn g165)

< Juda 1 >