< Maheberu 8 >

1 Cwale nto yeama seni bulela kise: Nina ni muprisita yomuhulu yabekali kwiyanza lyachilyo lachihuna cha Simwine Yomaniniza mumawulu akwiwulu.
Sasa jambo ambalo tunasema ni hili: tunaye kuhani mkuu aliyekaa chini katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi Mbinguni.
2 Muhikana muchibaka chijolola, itabernakele yeniti ibatomwa ni Simwine, isiñi muntu.
Yeye ni mtumishi katika mahali patakatifu, hema la kweli ambalo Bwana ameliweka, siyo mtu yeyote wa kufa.
3 Mukuti zumwi ni zumwi muprisita mukulwana abahewa chitulo kuha impo ni zitabelo. Chobulyo kuyelele kuba ni chimwi chakuha.
Kwa maana kila kuhani mkuu huwekwa kutoa zawadi na dhabihu; kwa hiyo ni muhimu kuwa na kitu cha kutoa.
4 Linu haiba Kresite abena muchisi, kanabali kuswanela kuba muprisita, mukuti kwina abo baha impo chakuya camulao.
Sasa kama Kristo alikuwa juu ya nchi, yeye asingekuwa kuhani zaidi ya hapo. Kwa kuwa walikuwa tayari wale waliotoa vipawa kulingana na sheria.
5 Basebeza muchibaka ni muzunde wazintu zakwiwulu. Kukola fela sina nji Mushe mwabakalimelwe kwe Ireeza munako yasake natange kuzaka itabernakele: “Ubone kuti,” Ireeza nati, “upanga zintu zonse chakuya chamazimo abatondezwa kwako helundu.”
Walihudumu kitu ambacho kilikuwa nakala na kivuli cha vitu vya mbinguni, sawa kama Musa alipoonywa na Mungu wakati alipotaka kujenga hema. “Ona,” Mungu akasema, “kwamba tengeneza kila kitu kulingana na muundo ulioonyeshwa juu ya mlima”.
6 Kono hanu Kresite abatambuli ikolo lina nenza ni kuhita. Liswanela sina hali hape yokaupa zetumelelano yina neza, izimene hesepiso yina nenza.
Lakini sasa Kristo amepokea huduma bora zaidi kwa sababu yeye pia ni mpatanishi wa agano zuri, ambalo limekwisha kuimarishwa kwa ahadi nzuri.
7 Mukuti haiba yina itumelelano yetanzi kanaibena bubilala, kana kubali kuyelele kuti kube ni yimwi itumelelano yabubeli.
Hivyo kama agano la kwanza lisingekuwa na makosa, ndipo hakungekuwa na haja kutafuta agano la pili.
8 Mukuti munako Ireeza hawana bubilala kubantu, abati, “Mutekeleze, mazuba akezite — kuwaba Simwinw — heti ninipange itumelelano inhya ni zubo ya Isilaele hamwina ni zubo ya Juda.
Kwa kuwa wakati Mungu alipogundua makosa kwa watu alisema, “Tazama, siku zinakuja, 'asema Bwana, 'wakati nitakapotengeneza agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.
9 Ketiniswane ni swane sina nji tumelelano inibapangi ni bazazi babo betazi mwizuba linibahinda chamayanza abo kubaetelela kubazwisa mukanda ya Egepita. Mukuti kanababazwili habusi ni tumelelano yangu, mi nibabasiyi — kuwamba Simwine.
Halitakuwa kama agano nililofanya pamoja na baba zao siku ambayo niliwachukua kwa mkono kuwaongoza kutoka nchi ya Misri. Kwa kuwa hawakuendelea katika agano langu, nami sikuwajali tena,' asema Bwana.
10 Mukuti iyi nji tumelelano yeti ninitende ni zubo ya Isilaele muasule aana mazuba — kuwamba Simwine. Kanibike milao yangu muboko bwabo, imi hape kaniziñole munkulo zabo. Kanibe Ireeza wabo, imi kababe bantu bangu.
Kwa kuwa hili ndilo agano nitafanya kwa nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,' asema Bwana. 'nitaweka sheria zangu mawazoni mwao, na nitaziandika mioyoni mwao. Nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
11 Ketinibalute zumwi kuyabambene naye ni kumwi kumwina kwabo, nati, 'Izibe Simwine.' Mukuti bonse kabanizibe, kuzwa kuyofokola, kutwala kumukando hahulu mukati kabo.
Hawatafundishana kila mmoja na jirani yake, na kila mmoja na ndugu, yake, akisema, “Mjue Bwana,” hivyo wote watanijua mimi, kutoka mdogo hadi mkubwa wao.
12 Mukuti kanifwile inse zitandantu zabo zisalukite, imi ketininihupule zive zabo ni kamuta.”
Hivyo nitaonyesha rehema kwa matendo yao yasiyo ya haki, na sizitazikumbuka dhambi zao tena.”
13 Chakuwamba “chihya,” abachiti chilikani chentazi kuba cha kale, mi chisasina mussebezi ni kusupala chichina hafuhi niku mana.
Kwa kusema “Mpya,” amelifanya agano la kwanza kuwa kuukuu. Na hilo ambalo amelitangaza kuwa kuukuu liko tayari kutoweka.

< Maheberu 8 >