< Makolose 1 >
1 Paulusi, mu apositola wa Jesu Keresite che tanto ya Ireza, ni Timotea muzwale wetu,
Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu:
2 ku va lumere ni mizwale yi sepahala mwa Keresite vena kwa Makolose. Chisemo chive kwenu, ni koozo izwa kwe Ireza i Shetu.
Kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Kristo, waishio Kolosai: Neema na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu ziwe nanyi.
3 Tu ha vuitumero kwa Ireza, Isi wa Simwine we tu Jesu Keresite, mi inako yonse tulaperera inwe.
Siku zote tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, tunapowaombea ninyi,
4 Tuva zuwi ze tumero yenu kwa Keresite Jesu ni ze rato limukwete kwavo vava kauhanyizwa kwe Ireza.
kwa sababu tumesikia kuhusu imani yenu katika Kristo Yesu, na upendo wenu mlio nao kwa watakatifu wote:
5 Mwina ili lato ivaka lye sepo imulindire ivikirwe nwe kwi wulu. Muva zuwi zeyi sepo ilindirwe piri linzwi lye niti, ivangeli,
imani na upendo ule utokao katika tumaini mlilowekewa akiba mbinguni, na ambalo mmesikia habari zake katika neno la kweli, yaani, ile Injili
6 iyo iva kezi kwenu. Iyi ivangeli i vika misero mi ikwete kukula mu kanda zonse. Ivali kupanga izi ni mwenu vulyo kuzwa he zuva limuva lizuwi ni kulituta kuama ni chishemo che Ireza mu niti.
iliyowafikia ninyi. Duniani kote Injili hii inazaa matunda na kuenea kama ilivyokuwa kwenu tangu siku ile mlipoisikia na kuielewa neema ya Mungu katika kweli yote.
7 Iyi nji Ivangeli sina hamu va ilituti iyo kwa Efafarasi, yo sakiwa wetu mutanga, ili yo sepahala muhikana wa Keresite ku mbali yetu.
Mlijifunza habari zake kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu mpendwa, yeye aliye mhudumu mwaminifu wa Kristo kwa ajili yenu,
8 Efafarasi ave zivahazi kwetu i lato lyenu mu Luhuho.
ambaye pia ametuambia kuhusu upendo wenu katika Roho.
9 Ivaka lyeli i lato, kuzwa he zuva litu va zuwi izi kena tuva siyi kulaperera inwe. Tuvali kukumbira kuti mumwi zuziwe che ngana ya cha saka muvutali vonse ni kutwisiso ya zo luhuho.
Kwa sababu hii, tangu siku ile tuliposikia habari zenu, hatujakoma kuomba kwa ajili yenu na kumsihi Mungu awajaze ninyi maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote ya kiroho na ufahamu.
10 Tuvali kulapera kuti mumu yende cho kusepahala kwa Simwine mwi zira zi tavisa. Tuvali kulapera kuti mumu vike misero mwi kenzo indotu ni kuti mumu kule mwi ngana ya Ireza.
Nasi tunaomba haya ili mpate kuishi maisha yanayostahili mbele za Bwana, na mpate kumpendeza kwa kila namna: mkizaa matunda kwa kila kazi njema, mkikua katika kumjua Mungu,
11 Tulapera muwole kukoziwa muzintu zonse cho kuya cha mata e kanya yakwe muku kwatisisa konse ni kulindira.
mkiwa mmetiwa nguvu kwa uwezo wote kwa kadiri ya nguvu yake yenye utukufu, ili mpate kuwa na wingi wa saburi na uvumilivu. Nanyi kwa furaha
12 Tu lapera kuti mumu sangwe ni kuha vuitumero kwe Shetu, yava mi pangi kuwola kuva ni chivaka muku yola ku va zumina mwi seri.
mkimshukuru Baba, ambaye amewastahilisha kushiriki katika urithi wa watakatifu katika ufalme wa nuru.
13 Ava tuhazi kwi kamaiso ye fifi ni kutushimbulwira ku muvuso wa mwanakwe yo sakiwa.
Kwa maana ametuokoa kutoka ufalme wa giza na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa,
14 Ku mwana kwe twina kupulusiwa, ku wonderwa zivi.
ambaye katika yeye tunao ukombozi, yaani msamaha wa dhambi.
15 Mwana chi swaniso che Ireza yasa vonwa. Nji we ntazi kuzonse ziva bumbiwa.
Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
16 Kakuli cha kwe zintu zonse ziva vumbiwa, izo zina mumawulu nezo za hansi, zivoneka ni zisa voneki zintu. Kamba zipura kamba vuyendisi kamba mivuso kamba ziho, zintu zonse ziva vumbiwa nji ye mi zakwe.
Kwake yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya nchi viliumbwa: vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, viwe ni viti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala; vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
17 Wina havusu bwezitu zonse, mi kwali zintu zonse zikwatana hamwina.
Yeye alikuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
18 Mi nji mutwi wo muviri, i kereke. Nji yena matangiro ni we mweri kuvamwi va fwire, jokuti wina chi vaka cha matangiro muzintu zonse.
Yeye ndiye kichwa cha mwili, yaani kanisa, naye ndiye mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, ili yeye awe mkuu katika vitu vyote.
19 Kakuli Ireza avali kusangitwe kuti konse kulizuziriza kwa kweke mwali,
Kwa kuwa ilimpendeza Mungu kwamba utimilifu wake wote ukae ndani yake,
20 ni kuzumizanisa cho mwana zonse zintu kwali mwine. Ireza ivapangi inkozo cha malaha e chifapano chakwe. Ireza ava zumizanisi zintu zonse kwali mwine, kamba zintu hanu hasi kamba zintu mwi wulu.
na kwa njia yake aweze kuvipatanisha vitu vyote na yeye mwenyewe, viwe ni vitu vilivyo duniani au vilivyo mbinguni, kwa kufanya amani kwa damu yake, iliyomwagika msalabani.
21 Mi nanwe vulyo, he nako yimwi, muvali muma zwahule kwe Ireza ni zila zakwe mwi ngana ni mwi nkenzo zivi.
Hapo kwanza mlikuwa mmetengana na Mungu, na mlikuwa adui zake katika nia zenu kwa sababu ya mienendo yenu mibaya.
22 Kono hanu chava mizumizanisi cho muviri wakwe u voneka che fu. Ava pangi ichi iri kuti a mivonahaze ku jolola, kusa nyazahala, ni kusavi ni vuvi havusu bwakwe,
Lakini sasa Mungu amewapatanisha ninyi kwa njia ya mwili wa Kristo kupitia mauti, ili awalete mbele zake mkiwa watakatifu, bila dosari wala lawama,
23 haiva ni mu zwira havusu mwi tumero, kuzakwa ni kukozwa, kusa zwiswa kule ni sepo kuliverera kwe ivageri i muva zuwi. Iyi nje ivangeri iva wambiwa ku muntu yense ya vavumbwa mwi konde lye wulu, Iyi nje ivageri iyo Ime, Paulusi, niva sanduki muhikana.
ikiwa mnaendelea katika imani yenu mkiwa imara na thabiti, pasipo kuliacha tumaini lililoahidiwa katika Injili. Hii ndiyo ile Injili mliyoisikia, ambayo imehubiriwa kwa kila kiumbe chini ya mbingu, na ambayo mimi Paulo nimekuwa mtumwa wake.
24 Hanu ni sanga muma sukuluko chenu. Mi ni nyemuna mwi wulu mumu viri wangu chinzi chisa mwina muma sikuluko a Keresite che vaka lyo muviri wakwe, iyo ikereke.
Sasa nafurahia kule kuteseka kwangu kwa ajili yenu, na katika mwili wangu ninatimiliza yale yaliyopungua katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.
25 Ivaka lyeyi i kereke hanili ni muhikana, cho kuya cha musevezi uzwa kwe Ireza uva hewa kwangu chenu, kwi zuziriza manzwi a Ireza.
Mimi nimekuwa mtumishi wa kanisa kwa wajibu alionipa Mungu ili kuwaletea ninyi Neno la Mungu kwa ukamilifu:
26 Iyi nje kunutu ye niti ivali ku patitwe che zirimo zingi ni ku masika. Kono hanu chiye zivahazwa kwavo va zumina kwa li. (aiōn )
Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn )
27 Nji kuvali Ireza avali kusaka kwi zivahaza vufumu bwe kanya bwe yi nkunutu mukanti kava Machava. Nji yena zuna Keresite wina mwenu, i nsepo ye nkaya i kezite.
Kwao, Mungu amechagua kujulisha miongoni mwa watu wa Mataifa utukufu wa utajiri wa siri hii, ambayo ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu.
28 U zu njiyena utu wamba. Tu wambira muntu yense, mi tu ruta muntu yense cho vutali vonse, iri kuti tuvonise muntu yense kuva hande mwa Keresite.
Yeye ndiye tunayemtangaza, tukimwonya kila mtu na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote ili tuweze kumleta kila mmoja akiwa amekamilika katika Kristo.
29 Che chi ni seveza ni kukwatisa kuya che ziho zakwe ziseveza mwangu cha mata.
Kwa ajili ya jambo hili, ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri ya nguvu zake ambazo hutenda kazi ndani yangu kwa uweza mwingi.