< Mitendo 1 >

1 Imbuka inibañoli kale, Tiofiliusi, ibawambi zonse zabatangi kutenda ni kuluta Jesu,
Katika kitabu changu cha kwanza nilikuandikia, mpendwa Theofilo, kuhusu mambo yote Yesu aliyofanya na kufundisha tangu mwanzo,
2 kutwala izuba lyabatambulwa kwiwulu. Ichi chibatendahali hamana kuha itaelo cha Luhuho Lujolola kuba Apositola babaketi.
hadi siku ile alipochukuliwa kwenda mbinguni, baada ya kuwapa maagizo kupitia kwa Roho Mtakatifu wale mitume aliowachagua.
3 Kuzwa hakunyanda kwakwe, abalileti iye mwine nahala kubali ni bupaki buzuweka. Mumazuba achita makumi wone abalibonahazi kubali, mi abawambi ziamana ni mubuso we Ireeza.
Baada ya mateso yake, alijionyesha kwao na kuwathibitishia kwa njia nyingi kwamba yeye yu hai. Katika muda wa siku arobaini baada ya kufufuka kwake aliwatokea na kunena kuhusu Ufalme wa Mungu.
4 Habali kulikopanya nabo, ababalaeli kuti kanji bazwi mwa Jerusalema, kono balindile insepiso ye Shetu, cheyo, nati, “Mubazuwi kwangu
Wakati mmoja alipokuwa pamoja nao, aliwapa amri hii, “Msitoke Yerusalemu, bali ingojeni ahadi ya Baba, ambayo mmenisikia nikisema habari zake.
5 kuti initi Johani abali kukolobeza ni menzi, kono inwe kamukolobezwe muLuhuho luJolola mumazubazana akezite.”
Yohana aliwabatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.”
6 Munako ibabakungene hamwina babamubuzi, “Simwine, iyi nji nako yeti nolete mubuso kwa Isilaele?”
Mitume walipokuwa wamekusanyika pamoja, wakamuuliza Yesu, “Bwana, je, huu ndio wakati wa kuwarudishia Israeli ufalme?”
7 Abawambi kubali, “kahena njikwenu kuti mwizibe inako kapa inkalulo yabatomi Tayo chamaata akwe.
Yesu akawaambia, “Si juu yenu kujua nyakati na majira ambayo Baba ameyaweka katika mamlaka yake mwenyewe.
8 Kono kamutambule inguzu, munako yaLuhuho Lujolola heti nilwize hehulu lyenu, mi kamube impaki zangu monse mwa Jerusalema ni mwa Judeya ni Samaria, ni kutwala kumamanimani ekanda.”
Lakini mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, Uyahudi kote na Samaria, hadi miisho ya dunia.”
9 Simwine Jesu hamana kuwamba izi zintu, nibalolete kwilu, abatwalwa kwilu, mi ikope ni lyamuwunguli hamenso abo.
Baada ya kusema mambo haya, walipokuwa wanatazama, akachukuliwa juu mbinguni mbele ya macho yao na wingu likampokea wasimwone tena.
10 Habachitutubalile kwiwulu nakaya, hahobulyo, bakwame bobele babazimene hembali ni bazwete zituba.
Walipokuwa bado wakikaza macho yao kuelekea juu alipokuwa akienda zake Mbinguni, tazama ghafula, wanaume wawili waliovaa mavazi meupe wakasimama karibu nao,
11 Nibati, “Inwe mubakwame ba Galileya, chinzi hamuzimene aha ni mulolete kwiwulu? Uzu Jesu wayenda kwiwulu mwakabole munzila iswana sina mumwamubonena nakaya kwiwulu.”
wakasema, “Enyi watu wa Galilaya, mbona mnasimama mkitazama juu angani? Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda Mbinguni, atarudi tena jinsi iyo hiyo mlivyomwona akienda zake Mbinguni.”
12 Kuzwaho nibabola kwa Jerusalema kuzwa kwi Lundu la Olivi, lina hafwihi ni Jerusalema, musipili umana izuba Lesabata.
Ndipo waliporudi Yerusalemu kutoka Mlima wa Mizeituni, uliokuwa karibu na Yerusalemu, umbali wa mwendo wa Sabato kutoka mjini.
13 Habasika, nibatanta mumuzako wina kwiwulu, kubabali kwikala. Ibali nji Pitolosi, Johani, Jacobo, Andriasi, Filipi, Tomasi, Bartolome, Mateu, Jacobo mwana wa Alufeya, ni Simoni Zeloti, ni Juda mwana wa Jacobo.
Walipowasili mjini Yerusalemu, walikwenda ghorofani kwenye chumba walichokuwa wakiishi. Wale waliokuwepo walikuwa: Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Tomaso, Bartholomayo, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo.
14 Bonse babakopene kuba chintu chimwina, kuzwila habusu kulapela katata. Babena nabo ibali banakazi, Maria nyina Jesu, ni bache bakwe.
Hawa wote waliungana pamoja katika maombi. Pamoja nao walikuwepo wanawake kadha, na Maria mama yake Yesu, pamoja na ndugu zake Yesu.
15 Mwawo mazuba Pitolosi abazimi mukati kabanakwabo, balikana bantu basika ha 120, mi nati,
Katika siku hizo Petro akasimama katikati ya waumini (jumla yao wote walikuwa watu wapatao 120), akasema,
16 Bakwetu, kuyelele kuti chiñoletwe chizuzilizwe, kutalusa kuti Luhuho Lujolola lubawambi itanzi chakaholo ka Davida kuamana ni Judasi, yabaetelele babakasumini Jesu.
“Ndugu zangu, ilibidi Andiko litimie ambalo Roho Mtakatifu alitabiri kupitia kwa Daudi kumhusu Yuda aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.
17 Mukuti ibali zumwi wetu mi abatambuli inkabelo yakwe yempo yelinu iluko.”
Yuda alikuwa mmoja wetu, kwa maana na yeye alichaguliwa ashiriki katika huduma hii.”
18 (Linu uzu mukwame abawuli luwa chentifo zabawani chabubilala bwakwe, mi haho natangisa kuwisa mutwi, mi mumili wakwe niwañatuka kwiyaluka, mi zamwibumo lyakwe zonse nizalongotoka.
(Basi Yuda alinunua shamba kwa zile fedha za uovu alizopata; akiwa huko shambani akaanguka, akapasuka na matumbo yote yakatoka nje.
19 Bonse babalikuhala mwa Jerusalema babazuwi zateni, chobulyo babasumpi ulo luwa muchishobo chabo “Akeldama,” njikuti, “Luwa lwa Malaha.”)
Kila mtu Yerusalemu akasikia habari hizi, kwa hiyo wakapaita mahali hapo kwa lugha yao, Akeldama, yaani Shamba la Damu).
20 Mukuti kuñoletwe mumbuka ya Lisamu, 'Musiye luwa lwakwe lube lusinyehete, mi kanji musiyi nanga muntu umwina kuhala mo'; 'Muleke zumwi ahinde chitulo chabuyenzi bwakwe.'
“Kama vile ilivyoandikwa katika kitabu cha Zaburi, “‘Mahali pake na pawe ukiwa, wala asiwepo yeyote atakayeishi humo,’ na, “‘Mtu mwingine aichukue nafasi yake ya uongozi.’
21 Chobulyo, kusakahala kuti umwina wa bakwame yabali kuyendanga naswe inako yonse Simwine Jesu habali kuyendanga mukati ketu,
Kwa hiyo inatubidi tumchague mtu mwingine miongoni mwa wale ambao wamekuwa pamoja nasi wakati wote Bwana Yesu alipoingia na kutoka katikati yenu,
22 kukatangila hakolobezwa kwa Johani kuya kwizuba lyabazwiswa kwetu, utameha kuba impaki hamwina naswe kuamana nikubuka kwakwe kubafu.”
kuanzia ubatizo wa Yohana mpaka siku aliyochukuliwa kutoka kwetu kwenda Mbinguni. Kwa kuwa mmoja wao inabidi awe shahidi pamoja nasi wa ufufuo wake.”
23 Babaleti habusu bakwame bobele, Josefa yosumpwa Barsabasi, yabali kusumpwa hape kuti nji Justusi, ni Matias.
Wakapendekeza majina ya watu wawili: Yosefu, aitwaye Barsaba (ambaye pia alijulikana kama Yusto) na Mathiya.
24 Babalapeli nibati, “Iwe, Simwine, wizi inkulo zabantu bonse, chobulyo wizibahaze kuti njeni mukati kaba bobele yobaketi.
Kisha wakaomba, wakasema, “Bwana, wewe waujua moyo wa kila mtu. Tuonyeshe ni yupi kati ya hawa wawili uliyemchagua
25 kuhinda chibaka mweli ikolo ni buapositola waba choli Judasi kuya kuchibaka chakwe,”
ili achukue nafasi ya huduma ya utume ambayo Yuda aliiacha ili aende mahali pake mwenyewe.”
26 Babalauli; mi idaula zibawili ha Mateu mi ababikwa hepalo yamuapostola wekumi ni wumwina.
Kisha wakawapigia kura, nayo kura ikamwangukia Mathiya, naye akaongezwa kwenye wale mitume kumi na mmoja.

< Mitendo 1 >