< 2 Makorinte 3 >
1 Chitu tanga ku litemba hape tubene? Katu saki mañolo a ku tuzuminina kwenu kapa azwa kwenu, sina vamwi vaantu, tu swanela?
Je, tumeanza kujisifia wenyewe tena? Hatuhitaji barua ya mapendekezo kwenu au kutoka kwenu, kama baadhi ya watu, je twahitaji?
2 Inwe muvene njenwe mu mañolo etu a tu zuminina, añoletwe mwi nkulo zetu, ezivenkene ni kubaliwa vaantu bonse.
Ninyi wenyewe ni barua yetu ya mapendekezo, iliyoandikwa kwenye mioyo yetu, inayojulikana na kusomwa na watu wote.
3 Imi mutondeza kuti iñolo lizwa kwa Kereste, libaletwa iswe. Kena libañolwa ni inke kono cha Luhuho lye Ireeza yo hala. Kena liva ñoletwe ha matapa a bwe, kono ha matapa e nkulo za vaantu.
Na mnaonesha kwamba ninyi ni barua kutoka kwa Kristo, iliyotolewa na sisi. Iliandikwa siyo kwa wino bali kwa Roho wa Mungu aliye hai. Haikuandikwa juu ya vibao vya mawe, bali juu ya vibao vya mioyo ya wanadamu.
4 Imi iyi nji sepo itukwete kwe Ireeza ka Keresite.
Na huu ndiyo ujasiri tulio nao katika Mungu kupitia Kristo.
5 Ka twina bwizivi vuhitiliza mukati ketu kuti tute izizintu zizwa kwetu. Kono, kwiziva kwetu kuzwila kwe Ireeza.
Hatujiamini wenyewe kwa kudai chochote kama kutoka kwetu. Badala yake, kujiamini kwetu kunatoka kwa Mungu.
6 Nji Ireeza yava tutendi kuti tuwoli kuva vahikana be chikani chihwa. Ichi chilikani kahena cheñolo kono cha Luhuho. Mukuti iñolo lihaya, kono Luhuho luha vuhalo.
Ni Mungu ambaye alitufanya tuweze kuwa watumishi wa agano jipya. Hili ni agano sio la barua bali ni la Roho. Kwa kuwa barua huua, lakini roho inatoa uhai.
7 Hanu isevelezo ivaleti ifu- miñolo i chakwilwe ha mabwe- kuvezi ikanya ku vaantu va Iselaele ichita kuti mane vaantu kana vavali kuwola kulola muchi fateho cha' Mushe. Ibali ibaka lya nkanya ibena ha chifateho chakwe, inkanya ivali kumana kani kani.
Sasa kazi ya kifo iliyokuwa imechongwa katika herufi juu ya mawe ilikuja kwa namna ya utukufu kwamba watu wa Israeli hawakuangalia moja kwa moja kwenye uso wa Musa. Hii ni kwa sababu ya utukufu wa uso wake, utukufu ambao ulikuwa unafifia.
8 Mukusike kuhi kubenya kwe kanya ye nsevelezo ya Luhuho?
Je, kazi ya Roho haitakuwa na utukufu zaidi?
9 Mukuti insevelezo ivali kunyazahala ivena ikanya, mukuvevule kwikanya ye nsevelezo ya kuluka ikwetwa chabungi kwinkanya!
Kwa kuwa kama huduma ya hukumu ilikuwa na utukufu, ni mara ngapi zaidi huduma ya haki huzidi sana katika utukufu!
10 Kavuniti, china chi vapangitwe che nkanya, kachi sina mumukwa we nkanya, vakenyi che kanya ihita ahulu.
Ni kweli kwamba, kile kilichofanywa utukufu kwanza hakina utukufu tena katika heshima hii, kwa sababu ya utukufu unaouzidi.
11 Haiba kuti china chivali kuhita chivena nkanya, mukuve vule kwechina chikalilile kuva ni nkanya!
Kwa kuwa kama kile ambacho kilikuwa kinapita kilikuwa na utukufu, ni kwa kiasi gani zaidi kile ambacho ni cha kudumu kitakuwa na utukufu!
12 Sina hatwina vulyo insepo, tuzwile habusu.
Kwa kuwa tunajiamini hiyo, tunaujasiri sana.
13 Katuswani sina nji Mushe, yavali vikite isila ku chifateho chakwe, mane kuti vaantu va Isilaele kenavavali kuwola kumulola kakumu tulula kevaka lye nkanya ivali kuhita bulyo.
Hatuko kama Musa, aliyeweka utaji juu ya uso wake, ili kwamba watu wa Israel wasiweze kuangalia moja kwa moja kwenye mwisho wa utukufu ambao ulikuwa unatoweka.
14 Kono mihupulo yabo iveyelwe. Mane kwiza kusika lunu luzuva kapayi kaswana kasishele cha kuvala chilikani chakale. Kakeni ku wumbuka, kakuti nji kwa Keresita bulyo kukawolwa kuzwiswa.
Lakini fahamu zao zilikuwa zimefungwa. Hata mpaka siku hii utaji uleule bado unabaki juu ya usomaji wa agano la kale. Haijawekwa wazi, kwa sababu ni katika Kristo pekee inaondolewa mbali.
15 Kono kuli sunu, Mushe havalwa, kapayi kasi zalitwe inkulo zavo.
Lakini hata leo, wakati wowote Musa asomwapo, utaji hukaa juu ya mioyo yao.
16 Kono muuntu havola kwa Simwine kapayi ka wumbulwa.
Lakini mtu anapogeuka kwa Bwana, utaji unaondolewa.
17 Hanu Simwine Luhuho. Hena Luhuho lwa Simwine, kwina intukuluho.
Sasa Bwana ni Roho. Palipo na Roho wa Bwana, kuna uhuru.
18 Hanu tubonse, tuwumbukite tupayi ha meenso, bone inkanya ya Simwine. Tuba sandulwa mwikanya iswana kakuzwa mwinkalulo ye nkanya kuya muyimwi, sina ku zwililila kwa Simwine, Iye ili Luhuho.
Sasa sisi sote, pamoja na nyuso zisizo wekewa utaji, huona utukufu wa Bwana. Tunabadilishwa ndani ya muonekano uleule wa utukufu kutoka shahada moja ya utukufu kwenda nyingine, kama ilivyo kutoka kwa Bwana, ambaye ni Roho.