< 1 Matesolonika 1 >

1 Paulusi, Silvanus, ni Timotea ku nkereke i vena Matesolonika mwe Ireza Ishetu ni Simwine Jesu Keresite. Chishemo ni nkozo zive nenwe.
Mimi Paulo, Silwano na Timotheo tunawaandikia ninyi jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambao ni watu wake Mungu Baba, na wa Bwana Yesu Kristo.
2 Inako yonse tuha vu itumero kwa Ireza chenu mwense, chi tu mi sumpa mu ntapero.
Tunamshukuru Mungu daima kwa ajili yenu ninyi nyote na kuwakumbukeni daima katika sala zetu.
3 Tu zeza cha ku sa siya havusu vwa Ireza wetu ni Isi mitendo yenu ye ntumero, mutendo ye rato, ni kuliverera kwe nsepo kwa ku vusu mwa Simwine wetu Jesu Keresite.
Maana, mbele ya Mungu Baba yetu, twakumbuka jinsi mnavyoonyesha imani yenu kwa matendo, jinsi upendo wenu unavyowawezesha kufanya kazi kwa bidii, na jinsi tumaini lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo lilivyo thabiti.
4 Mizwale va sakiiwa kwa Ireza, twizi ku sumpwa kwenu,
Ndugu, twajua kwamba Mungu anawapenda na kwamba amewateua muwe watu wake,
5 mu iveziri ivangeli yetu kwenu isiñi mu liinzwi feela, kono hape ni mu maata, mu Luhoho lu Jolola, ni mu initifazo tota. Mu nzila iswana, nemwe hape mufuta nzi wa vantu mutu ve kalile mu kati kenu ke vaka lyenu.
maana wakati tulipowahubirieni ile Habari Njema haikuwa kwa maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa Roho Mtakatifu, tukiwa na hakika kwamba ujumbe huo ulikuwa wa kweli. Mnajua jinsi tulivyoishi pamoja nanyi; tuliishi kwa manufaa yenu.
6 Mu va sanduki valikanyisi vetu ni vwa Simwine, sina ha muva tambuli liinzwi cha vukukutu ni nyakalalo izwa ku Luhuho lu Jolola.
Ninyi mlifuata mfano wetu, na kumwiga Bwana. Ingawa mliteswa sana, mliupokea ujumbe huo kwa furaha itokayo kwa Roho Mtakatifu.
7 Ku mamani mani mu va sanduki mutala ku vonse mwa Sedoniya ni Achiya va zumina.
Kwa hiyo ninyi mmekuwa mfano mzuri kwa waumini wote wa Makedonia na Akaya.
8 Mukuti kuzwa kwenu liinzwi lya Ireza li va lili hanze, mi insiñi feela mwa Masedoniya ni Achiya. Konohe, ni ku chimwi ni chimwi civaka i ntumero yenu mwa Ireza mu iva hiti. Ma mani mani, katu suni ku wamba cimwi.
Maana, kutokana na bidii yenu ujumbe wa Bwana umesikika si tu huko Makedonia na Akaya, bali imani yenu kwa Mungu imeenea popote. Tena hatuhitaji kusema zaidi.
9 Kakuli avo vene va viha mwiziro u tu vena mukati kenu. Va mu rwilwa mu mu veziri kwa Ireza kuzwa ku siswaniso ku tendera yo hala ni we niti Ireza.
Watu hao wanazungumza juu ya ziara yetu kwenu: jinsi mlivyotukaribisha, jinsi mlivyoziacha sanamu mkamgeukia Mungu aliye hai na wa kweli,
10 Va viha kuti mu lindire Mwanakwe kuzwa kwi wulu, yava vuusi ku va fwire. Uzu nji Jesu, u lukulula iswe ku vukali vu kezite.
na sasa mwamngojea Mwanae ashuke kutoka mbinguni, Yesu, ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu, na ambaye anatuokoa katika ghadhabu ya Mungu inayokuja.

< 1 Matesolonika 1 >