< 1 Petorosi 5 >

1 Ni lumba va vakulwana mukati kenu, Ime, neme ni mukulwana. Neme ni mpaki ya masukuluko a Keresite, neme ni zumwi mu nkanya yete ni i wulwe.
wazee! Mimi niliye mzee ninalo ombi moja kwenu wazee wenzangu. Mimi mwenyewe nilishuhudia kwa macho yangu mateso ya Kristo na natumaini kuushiriki ule utukufu utakaofunuliwa. Mimi nawaombeni
2 Cwale, ni mi kuteka, vakulwana, mu lise nenza muraka we ngu za Ireza zina mukati kenu. Muzi lole, insiñi kevaka lya kuti mu saka vulyo, kono akuli nanwe mu saka, che ntato ya Ireza. Mu zi lole, isiñi cha kusa sepa masheleñi, kono chaku saka.
mlichunge lile kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mlitunze si kwa kulazimika, bali kwa hiari kama atakavyo Mungu. Fanyeni kazi hiyo si kwa tamaa ya fedha, bali kwa moyo wenu wote.
3 Kanji mu chitì sina muvusa hewulu lya vantu vena mu mpabalelo yenu. kono, muve mutala ku mutapi.
Msiwatawale kwa mabavu hao waliowekwa chini ya ulinzi wenu, bali muwe mfano kwa hilo kundi.
4 Cwale Mulisani Mukulwana cha wumbulwa, mu mu tambule vu simwine vwe nkanya.
Na wakati Mchungaji Mkuu atakapotokea, ninyi mtapokea taji ya utukufu isiyofifia.
5 Mu nzila iswana, inwe muva hwire, muli voze hansi ku va kulwana vakwame. Mwense vulyo, muli zwatike muvuikokovezo ni ku tusana zumwi cha zumwi. Kakuli Ireza ukanina valikumusa, kono uha chishemo kwa vana vali kokoveza.
Kadhalika nanyi vijana mnapaswa kujiweka chini ya mamlaka ya wazee. Ninyi nyote mnapaswa kuwa na unyenyekevu mpate kutumikiana; maana Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwajalia neema wanyenyekevu.”
6 Cwalehe mulikokoveze mwikonde lya manza eziho e Ireza iri kuti nawole kumi nyemuna mwinako ikeza.
Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa enzi wa Mungu, ili awainue wakati ufaao.
7 Muvike impiraelo zenu hali, kakuli u virela kuamana na nwe.
Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni.
8 Muve ni muhupulo u chena, mu tondere. Chila chenu, iye diavulusi, uvu undavu ukwete kulira nazimboka, ku gana zumwi weta halole.
Muwe macho; kesheni! Maana adui yenu, Ibilisi, huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mawindo.
9 Muzimane cho kumulwisa. Muve va kolete mwi ntumero yenu. Mwizi kuti manyando a swana akwete kuhitiwa mu ali kuva lumeri kuninenu mu nkanda.
Muwe imara katika imani na kumpinga, mkijua kwamba ndugu zenu pote duniani wanapatwa na mateso hayohayo.
10 Chimwa mana kunyanda kavaka zana, Ireza we chishemo chonse, yava misupi mwikanya ina mwa Keresite, kami kondise, kumi zimika ni kumi koza. (aiōnios g166)
Lakini mkisha teseka muda mfupi, Mungu aliye asili ya neema yote na ambaye anawaiteni muushiriki utukufu wake wa milele katika kuungana na Kristo, yeye mwenyewe atawakamilisheni na kuwapeni uthabiti, nguvu na msingi imara. (aiōnios g166)
11 Kwali kuve ni vulena kuya kwi ire ni ire. Ameni. (aiōn g165)
Kwake uwe uwezo milele! Amina. (aiōn g165)
12 Ni zuminina Silvanus sina muzwale yo sepahala, mi chi ni va miñolera chovu fuhi chakwe. Ni mi lumerisa mi nipaka kwenu kuti ziniva miñoleri njo vuniti bwe chishemo che Ireza. Muzimane mwateni.
Nimewaandikieni barua hii fupi kwa msaada wa Silwano, ndugu ambaye namjua na kumwamini. Nataka kuwapeni moyo na kushuhudia kwamba jambo hili ni neema ya Mungu kweli. Kaeni imara katika neema hiyo.
13 Mukulwakazi wina mwa Vavilona, yo ketetwe hamwina nanwe, umi lumerisa. Hamwina ni Mareka, mwanangu we chikwame, umi lumerisa.
Jumuiya ya wenzenu walioteuliwa na Mungu hapa Babuloni wanawasalimuni. Vilevile mwanangu Marko anawasalimuni.
14 Mulumerise zumwi ni zumwi che michuchuno ye rato. Mi inkozo ive kwenu mwense vena mwa Keresite.
Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani ninyi mlio wake Kristo.

< 1 Petorosi 5 >