< Psalm 98 >

1 Yuk soko on sasu nu sin LEUM GOD, Tu El oru ma wolana! Ke ku lal a ke mutal lal El eis kutangla.
Zaburi. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, kwa maana ametenda mambo ya ajabu; kitanga chake cha kuume na mkono wake mtakatifu umemfanyia wokovu.
2 LEUM GOD El fahkak kutangla lal, El fahkak ku in molela lal nu sin mutanfahl uh.
Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.
3 El esam wulela lal nu sin mwet Israel Ke inse pwaye ac lungse kawil lal nu selos. Mwet in acn nukewa elos liye kutangla lun God lasr.
Ameukumbuka upendo wake na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli; miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.
4 On ke engan nu sin LEUM GOD, faclu nufon; Kaksakunul ke pusren on, ac sasa ke engan.
Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote, ipaze sauti kwa nyimbo za shangwe na vinanda;
5 On ac kaksakin LEUM GOD. Fahkak pusren on ke harp u.
mwimbieni Bwana kwa kinubi, kwa kinubi na sauti za kuimba,
6 Uk mwe ukuk, A sasa ke engan nu sin LEUM GOD, su tokosra lasr.
kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume: shangilieni kwa furaha mbele za Bwana, aliye Mfalme.
7 Lela meoa in ngirngir, a ma nukewa loac, Faclu in on, a elos su muta fac!
Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake, dunia na wote wakaao ndani yake.
8 Lela infacl u in paspas, A eol u in tukeni on ke engan ye mutun LEUM GOD,
Mito na ipige makofi, milima na iimbe pamoja kwa furaha,
9 Mweyen El tuku in leumi faclu. El ac fah leum fin mwet faclu Ke suwoswos ac wo.
vyote na viimbe mbele za Bwana, kwa maana yuaja kuhukumu dunia. Atahukumu dunia kwa haki na mataifa kwa haki.

< Psalm 98 >